chaumma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Benson Kigaila: CHAUMMA ni chama cha kutenda, na si kelele mitandaoni

    Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Tanzania Bara Benson Kigaila amedai kuwa chama hicho kinaweza kushika nafasi ya pili kwa kuwa na idadi kubwa ya wanachama na wafuasi baada ya chama tawala (CCM), ingawa katika matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliopita wamepata Viti vichache vya...
  2. Mkalukungone Mwamba

    CHAUMMA, CUF, ACT Wazalendo waungana katika iftari maalumu iliyoandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD)

    Viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa pamoja na wadau wa demokrasia nchini wamekutana katika iftari maalumu iliyoandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) leo Machi 13, 2026 katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuimarisha mshikamano na majadiliano ya kisiasa nchini...
  3. Joshua Mbezi

    Je Hii Ndiyo Kazi Waliyopewa Wanachama wa Chaumma (G55) Baada ya Kuukosa Ubunge?

    Kabla ya Uchaguzi Mkuu wote ni mashuhuda wa mitifuano ya kisiasa iliyotokea kwenye Vyama vya Siasa hasa Vyama hivi Chadema CCM ACT Wazalendo Chaumma Uchaguzi umeisha na kila mmoja amevuna alichopanda ata ambaye hakupanda kitu yawezekana kipo alichokivuna Lengo la Uzi huu ni maajabu ya kundi...
  4. Mkalukungone Mwamba

    Mbowe akiwa na vijana wake wa CHAUMMA

    Mwenyekiti wazamani wa CHADEMA Freeman Mbowe akiwa na vijana na makada wa zamani wa CHADEMA ambapo walihamia kwenye chama Cha CHAUMMA . Vijana wanajichekesha tu wenyewee
  5. Mafyangula

    Salum Mwalim kuongoza ujumbe wa CHAUMMA kwenye msiba wa Mzee Mtei Januari 24, 2026

    Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) ndugu Salum Mwalim ataongoza ujumbe wa viongozi na wanachama wa Chama hicho kwenda katika maziko ya Hayati Edwin Mtei yatakayofanyika Tengeru,Mkoani Arusha siku ya Jumamosi tarehe 24 Januari,2026. Soma Pia: Mwasisi wa CHADEMA, Edwin Mtei...
  6. Erythrocyte

    Wasaliti waanza kujuta, James Mbowe awa wa kwanza

    Kijana Huyo Tayari amejitokeza mitandaoni akikiri hadharani kwamba uamuzi wa Chadema wa kususia uchaguzi wa kizushi wa oktoba 29 ulikuwa sahihi. Taarifa zingine zinaeleza kwamba anayefuatia kuja kapiga goti hadharani ni Yerricko Nyerere ambaye inaelezwa kwamba huko Kigamboni aliambulia namba za...
  7. Robert Heriel Mtibeli

    Kiko wapi chama kikuu cha upinzani CHAUMMA?

    Hamjambo! Kwa yeyote anayejua anijibu Hilo swali hapo juu. Itapendeza wafuasi wa chaumma wakiwa mstari wa mbele kujibu. Natanguliza shukrani
  8. Yericko Nyerere

    CHAUMMA imefanikiwa kisiasa kwa zaidi ya 100%

    Tuliingia katika uchaguzi huku tukijua wazi matatizo yaliyopo katika mfumo wa Uchaguzi nchini hasa Tume ya Uchaguzi, Tunajua mazingira ya kisiasa yalivyo magumu, Na Msimamo wetu kama Chamma tunaamini kuwa njia ya kupambana nayo ni meza ya Maridhiano/majadiliano tu, Katika hili tunaamini...
  9. K

    GE2025 Je, ACT Wazalendo na CHAUMMA wamelinda kura?

    Je ACT Wazalendo na Chauma wamelinda kura? Walisema watalinda kura sisi tulisema hapa huwezi kwenda kulinda kura ambazo hata hazitahesabiwa. Sasa tujiulize ukiacha kufuata posho walizopewa walienda kwenye uchaguzi kufanya nini zaidi ya kuuwa vijana wetu tu na kuchochea hasira za wananchi...
  10. DuaZaMama

    PostGE2025 Tume Uhuru ya Taifa ya Uchaguzi INEC yatoa orodha wabunge viti maalum CCM wapo 113, CHAUMMA 2

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetoa orodha ya majina ya wabunge wanawake wa viti maalum 115 kati ya 116, huku ikibakiza nafasi moja ambayo jina litatangazwa baada ya kufanyika uchaguzi jimbo la Fuoni na jimbo la Siha uliohairishwa. Katika orodha iliyotolewa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepata...
  11. Mto wa mbu

    GE2025 Vipi CHAUMMA wameshinda viti vingapi vya ubunge?

    It is a dark history in our country kuwapoteza ndugu zetu, poleni saaaana Watanzania wenzangu. Back to the topic G55 walijitoa Chadema na Kila siku walikuwa wanaitisha ma press conference kuiponda Kwa kugomea kushiriki uchaguzi. Waliamua kushiriki uchaguzi, naomba kuuliza wameshinda majimbo...
  12. tonicimmobility

    GE2025 Njombe: Mgombea wa CHAUMMA aibukia mkutano wa ACT

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Njombe Mjini kupitia Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Sigrada Mligo jana Oktoba 26, 2025 alitumia Jukwaa la ACT kuzungumza na wakazi wa Njombe mjini pamoja na kumnadi Mgombea Udiwani wa Kata ya Mji Mwema kupitia Chama Cha ACT Wazalendo, Abuu Mtamike. Sigrada...
  13. PAYE

    GE2025 Kimati: Najivua uanachama wa CHAUMMA, narudi CHADEMA

    “NARUDI ZANGU CHADEMA” Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Jimbo la Arusha Mjini, Amani Kimati, ametangaza kujivua rasmi uanachama wa chama hicho na kuhamia CHADEMA, chama ambacho awali alikihudumia katika nyadhifa mbalimbali ikiwemo kuwa Katibu Mwenezi wa Kata ya...
  14. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mwalimu: Morogoro ni mkoa wa kimkakati kwa ajili ya viwanda kwa sababu uko katikati ya Bandari ya Dar na Tanga

    Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimewataka wananchi wa Mkoa wa Morogoro kujiandaa kunufaika na neema ya sera ya viwanda, kikiahidi kurejesha hadhi ya mkoa huo kuwa kitovu cha viwanda kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu Julius Nyerere. “Morogoro ni mkoa wa kimkakati kwa ajili ya viwanda kwa...
  15. Mafyangula

    GE2025 Moza: Nitasimamia huduma ya mama na mtoto iwe bure kweli

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kinondoni kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma(CHAUMMA), Moza Ally amesema akichaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo atahakikisha anasimamia huduma ya mama na mtoto kuwa bure kikamilifu kama ambavyo inatakiwa. Moza ameyasema hayo leo Septemba 29, 2025 akizungumza na...
  16. Mafyangula

    GE2025 Mwalimu: Tukapige kura tuchague viongozi wa upinzani ambao watakuwa watetezi wetu

    "Tusifanye makosa hayo, kwa sababu tukifanya hivyo tutakuwa tumewaambia CCM watambe lakini pia ukiachilia nafasi ya urais, tutaacha bunge la wapiga makofi bungeni na hakutokuwa mtu wa kuwatetea wananchi," amesema Mwalimu. "Tusifanye hayo makosa, tukapige kura tuchague viongozi wa upinzani ambao...
  17. Mafyangula

    GE2025 Wavuvi Lindi: Mama Samia hatuna cha kukulipa zaidi Octoba 29 tunatiki kwako tu!

    Naona wasanii wakiendelea kutumika kweli kweli na CCM, najiuliza muafaka wao ni upi baada ya uchaguzi huu? Lakini wananchi baadhi yao wameonyesha kumuunga mkono Samia na kusema amefanya mengi sana na wao hawana cha kumlipa zaidi ni kumpa kura za ndio Oktoba 29, 2025 ili aendeele kuwaletea...
  18. Waufukweni

    GE2025 Salma Kikwete arahisishiwa Kazi Jimboni, Mgombea Ubunge CHAUMMA, Mchinga, Yusuph Tamba atimkia CCM

    Aliyekuwa mgombea ubunge kupitia tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Jimbo la Mchinga, mkoani Lindi, Yusuph Tamba, amejiunga rasmi leo, tarehe 25 Septemba 2025, na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkutano wa kampeni za mgombea urais kupitia Chama hicho, Samia Suluhu Hassan, mkoani...
  19. Mafyangula

    GE2025 Devotha Minja aahidi Chaumma kufufua zao la Kahawa Kilimanjaro

    Mgombea mwenza wa urais Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja amesema chama hicho kikiingia madarakani kitafufua zao la kahawa Vunjo na Kilimanjaro kwa ujumla ili uchumi wa watu ukue. Aidha amelaumu changamoto ya ukosefu wa ajira kwa vijana wa Kilimanjaro akisema imekuwa sababu...
  20. DuaZaMama

    SI KWELI Sugu awaomba CHADEMA kuiunga mkono CHAUMMA kutafuta kura za urais

    Wakuu Ni kweli Sugu amesema CHADEMA iwaunge mkono CHAUMMA kutafuta kura za urais au ni uzushi? mwenye ukweli wa wa hizi taarifa naomba msaada.
Back
Top Bottom