chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. Mfalme_wa_Nyika

    CCM Kufanya uchaguzi bila CHADEMA ni kujitekenya na kujichekesha

    Hii nchi washaifanya kama ya bibi yao, ila kweli Lissu fundi na kiboko yao...CCM wanajua huu uchaguzi sio mkuu bali uchaguzi wakiduwanzi kuwahi kutokea.... Sijui watashangilia kuwa wameshinda uchaguzi kutoka kwa nani!? Yaani wamemshinda mpinzani gani!? Hili ndo linawauma ccm na Lissu kapiga...
  2. Allen Kilewella

    Ukitaka kujua nguvu ya CHADEMA fuatilia Kampeni za CCM

    Iwe ni moja kwa moja ama kwa mafumbo, utagundua kuwa ingawa CCM imo kwenye uchaguzi inashindana na vyama vingine, lakini wana CCM wenyewe wanajua msindani wao halisi ni CHADEMA. Fuatilia hotuba zao na jitihada wanazofanya ionekane mgombea wao anapendwa kwa kusomba watu na kupeleka kwenye...
  3. Vugu-Vugu

    PICHA: Sasa nimeelewa kwanini CHADEMA walikataa Kata Kata.

    Hata kama ungekuwa ni wewe lazima ungefanya walichofanya CHADEMA.
  4. R

    GE2025 Actually, to be sincere, hata wagombea wote wa CCM kwa nafasi za Ubunge/udiwani hawana ushindani wa kupoteza resources as long as Chadema haipo

    Mshindani wa kweli ni chdema. As long as chadema haipo, basi hakuna mshindani wa nguvu. Hawa wengine ni mpango wa kando ambao hauna nguvu kwenye ndoa kisheria na kimila...ni mdabwada so to say!
  5. Waufukweni

    GE2025 Makada: CHAUMMA hawana tofauti na CCM ni Wezi tu, tunarudi CHADEMA

    CHAUMMA yazidi kugawanyika vipande, vipande wengine watangaza kurudi CHADEMA wadai Chama hicho ni cha Mchongo. Soma > Waliohamia CHAUMMA warudi CHADEMA na kuomba viongozi wawapokee
  6. Tlaatlaah

    Hekaya za Polepole vyaanza kudoda

    Sote ni mashuhuda kwamba, hivi sasa muungwana anaonekana dhahiri ana tapatapa maneno ya mkosaji mithili ya mtu alieachwa kwenye mahusiano, hana contents kabsaa. Hata waliokua wakimfuatilia na kumsifu Polepole, hasa chadema masalia, nao hivi sasa taratibu wameanza kumshtukia na kuthibitisha...
  7. Sales man

    Unakumbuka nini ukiona hii picha ?

    CUF CHADEMA
  8. Getrude Mollel

    Kwanini CHADEMA haina hadhi ya kuitwa chama kikuu cha upinzania

    Historia Fupi ya vyama vingi Tanzania Tanzania ilirudia mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 baada ya mabadiliko ya Katiba ya mwaka 1977 kuruhusu ushindani wa kisiasa. Kabla ya hapo, Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho kilichokuwa chama pekee, kikiwa na mizizi kutoka TANU ya Tanganyika na ASP ya...
  9. S

    GE2025 All in all, kwa CHADEMA kugoma kushiriki huu uchaguzi, kunawatesa na kuwafedhehesha sana CCM

    Ukweli mchungu ni kuwa, hawa watu wameshafanya makosa mengi sana yakiwemo ya jinai kama vile tuhuma za wizi na ufisadi, mauji,kuteka na kupoteza watui na nyingine nyingi. Hivyo, si rahisi kwa wao kuaachia madaraka kwa hofu ya kushughulikiwa na kwahiyo wanalazimika kuhakikisha wanabaki madarakani...
  10. R

    Bado nina imani na mapambano ya CHADEMA kupata Reforms

    Wakuu habari, Kwa hali inayoendelea ya Kampeni za CCM ni dhahiri bado watanzania njaa inatusumbua sana, yaani jana watu wameacha shughuli zao wanaenda kawe kungaa macho kwa Kiongozi anayeshindwa kujinadi kama mwanasiasa badale yake anatoa hotuba ya kawaida kama tayari ameteuliwa na ndiye...
  11. Superbug

    GE2025 Pamoja na madhaifu yake Magufuli, alishindana na CHADEMA kwenye box la kura pamoja na udhaifu wa Katiba yetu lakini SAMIA amezuia Kila kitu

    CCM hii ni aibu mnajitia wenyewe Yani chama kikuu Cha upinzani CHADEMA mnakizuia kupitia Dola halafu mnagombea wenyewe hii ni aibu Kwa taifa. Yani Magufuli wa worse but mama Samia is worst hakika na atakumbukwa hivyo na historia. Maskini mama hajui kuna watu wanaomtumia ila ni jina lake ndio...
  12. S

    GE2025 Uchaguzi mkuu kuhusisha CCM na vyama vingine bila CHADEMA, ni sawa na ligi kuu huku mmoja kati ya Simba au Yanga akiwa amefungiwa

    Huu ndio ukweli mchungu na ni aibu na fedheha kwa CCM . Yaani kama ambavyo ligi kuu haiwezi kunoga ikiwa mojawapo ya timu kati ya Simba au Yanga ikiwa haishiriki kwa kufungiwa au kususia ligi. Tunaamini wazee ndio watu wenye busara na hekima, ila hii CCM imetu- prove wrong kabisa. Wazee...
  13. Samia atosha tukutane2030

    Nasikitika sana CHADEMA kushindwa kuruka mtego mdogo wa kesi ya mgawanyo wa mali za chama

    Mtu mmoja anatumika na watu wahuni kukwamisha mambo ya chama, CHADEMA inaingia kwenye mtego kirahisi. CHADEMA ilipaswa kukubali siku ya kwanza kabisa mali kugawana sawa kwa amri ya mahakama. Zoezi lingeisha ndani ya wiki moja. Mali zenyewe ni magari na majengo machache yasiyohamishika. Hata...
  14. Dalton elijah

    Waende kwa CAG kwa sasa CHADEMA imefungiwa inaweza leta hizo document na haina wafanyakazi

    Watu wote wamezuiwa kutumia resources za CHADEMA kama wanataka nyaraka wafungulie CHAMA kishwa waende kwa Katibu Mkuu John Mnyika na kamati tendaji yake waulize maswali kuhusu hizo financial report wanataka Unafungia chama kisifanye kazi halafu unaomba nyaraka za kihasibu huyo mhasibu...
  15. E

    Mahakama Kuu yafuta amri za Msajili wa vyama vya Siasa kwa CHADEMA, hukumu nzima hii hapa

    Mahakama kuu Kanda ya Manyara imefuta amri ya Msajili wa Vyama vya Siasa ya kuzuia ruzuku ya CHADEMA na kutowatambua Katibu Mkuu na maibu wake wawili na wajumbe wa Kamati Kuu waliothitishwa na Baraza Kuu Januari 22, 2025 baada ya uchaguzi wa ndani wa chana hicho. Hukumu hiyo imetolewa leo...
  16. D

    Halafu Inawezekana hii CCM ikawa ni mpango wa chadema mjue

    Kuna mambo kadhaa yananipa mashaka mjue, Kila siku hisia za kwamba hii CCM inaweza kuwa ni project ya chadema zinazidi kujaa akilini mwangu. Hebu angalieni vizuri mambo haya machache makubwa; 1. Mbona viongozi wote wa chadema baada ya muda wanajiunga ccm?!! Hii CCM sio project ya chadema...
  17. Waufukweni

    GE2025 Kesi ya Said Issa dhidi ya CHADEMA yaahirishwa hadi Septemba 10, 2025; nyaraka za mali na fedha zaombwa Mahakamani

    Kesi ya madai namba 8323/2025 iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar Said Issa Mohamed na wenzake wawili (2) dhidi ya Bodi ya Wadhamini na Katibu Mkuu wa chama hicho imeendelea tena leo, Alhamisi Agosti 28.2025 Mahakama Kuu ya...
  18. Pascal Mayalla

    GE2025 If not lip services, Lissu anaachiwa, Chadema inashiriki uchaguzi, TAL Mgombea Urais, tunafanya uchaguzi mkuu huru na wa haki kweli

    Wanabodi Kufuatia mazungumzo ya rais wa TLS juzi kuomba kuonana na Rais Samia,kumuomba pamoja na mambo mengine,ni kuomba Lissu aachiwe,kanuni za uchaguzi zirekebishwe,Chadema ishiriki uchaguzi. Kiukweli,sijawahi kuona rais msikivu kama Samia!,siku ya Jumanne mtu aombe kumuona rais,kesho yake...
  19. Dr Adam Francis

    Je, Lembrus Mchome na Monalisa Ndala bado ni wanachama wa CHADEMA na ACT?

    Lembrus Mchome na Monalisa Ndala watakumbukwa kuwa ni viongozi wa upinzani walioshirikiana na Msajili wa vyama vya siasa kuvuruga vyama vyao. Lembrus Mchome aliishitaki CHADEMA kwa msajili, secretariat yote ya chama chake ikafukuzwa. Kadhalika, Monalisa Ndala ameshitaki ACT kwa msajili...
  20. Idugunde

    Hakuna tume huru. Luhaga Mpina angeanika ufisadi wa serikali ya CCM kwenye kampeni. Mabadiliko wanayoyataka CHADEMA ya Lissu yanahitajika

    Ni wazi kuwa Mpina angeeleza kwa kinagaubaga ubaya wa Serikali hii ya Samia na kundi lake. Act Wazalendo walichanga karata vizuri. Mfano wa hoja zake za msingi ambazo kila mtanzania anazielewa ni mikataba zaidi ya 47 inayohusu rasilimali za taifa hili lakini Bunge na wananchi...
Back
Top Bottom