ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kijana Mkeleketwa wa CCM: Tanzania bado haijapata chama mbadala wa CCM

    Kijana Mkeleketwa wa Chama Cha Mapinduzi, Mtindi Kabourou amedai Kuwa mpaka sasa Tanzania hakuna chama Pinzani kinachoweza Kuwa mbadala wa CCM Kwakuwa Vyama hivyo vimekosa sera na Msimamo wa kifalsafa. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Buchosa amewaabisha sana wakazi wa Buchosa, kwamba Tisheti za CCM ni zawadi kubwa sana!

    Nimesikitika sana. Yaaani mbunge badala kujinasibu kuwa amesaidia wananchi wake kupata maji au huduma za kiafya kama Hospital n.k Yeye anajisifia kuwaletea Tisheti za CCM wananchi wake. Hii ni aibu kubwa sana. Na ni kudhalilishana.
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kada wa CCM Elias Mdao ajitosa kuwania ubunge Jimbo la Kongwa

    Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Elias Mdao, ametangaza rasmi nia ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kongwa katika Uchaguzi Mkuu ujao, akieleza dhamira yake ya kulihudumia taifa kupitia jimbo hilo. Akizungumza na wanahabari leo jijini Dodoma, Mdao amesema atachukua fomu pindi dirisha...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM Tanga yatishia kuchukua hatua kali dhidi ya wagombea watakaojihusisha na rushwa Uchaguzi Mkuu

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga kimetangaza kuwa hakitasita kuchukua hatua kali dhidi ya wagombea watakaojihusisha na vitendo vya rushwa katika harakati za kuwania nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Akizungumza wakati akikagua ukarabati wa...
  5. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Waziri mkuu Majaliwa: Hakuna Mwanasiasa maarufu kama Rais Samia ndani na nje ya CCM

    sijawahi kuona Waziri Mkuu Chawa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema kwa msisitizo kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ndiye mwanasiasa maarufu zaidi nchini kwa sasa, ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Akitoa...
  6. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM Moshi: Fomu ya Ubunge ni 500,000 na Udiwani ni 50,000

    Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Moshi Vijijini kimewaita wanaotaka kugombea ubinge,udiwani na viti maalum kujitokeza kuchukua fomu huku wakitaja gharama ni Sh.500,000 na 50,000. Aidha,kimepiga marufuku wagombea kuambatana na wagombea,shamrashamra za matarumbeta ngoma,misafara ya watu na...
  7. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Video: Bila uwoga wananchi wamgomea kiongozi wa CCM Mkoani Mara

    GT . Watu wako serious aisee. Tungekuwa na katiba nzuri hawa CCM wangekuwa washatolewa zamani sana madarakani. Pamoja na vitisho watu wamegoma kabisaa kumskiliza huyu chawa.
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenyekiti wa UVCCM Moshi Vijijini, Chifu Ole Shirima, atangaza nia ya kugombea

    KILIMANJARO: Wakati Joto la Siasa likiendelea kupanda kwakasi hapa nchini kuelekea uchaguzi mkuu Octobar 2025, Mwenyekiti wa UVCCM Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro Chifu Yuvenal Ole Shirima ameeleza kuwa na yeye tayari ameshakiandikia chama chake barua yakuomba ridhaa yakutia nia ya kugombea...
  9. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Part 2. Unabii kuelekea October: CCM itashinda kwa 85% , Makonda atakuwa miongoni mwa viongozi wakuu

    Habari! Kuna nyuzi kadhaa za kisiasa huenda nimeandika humu ndani. Moja ambayo niliitoa mwaka jana ndiyo nilisema unabii maana niliongea kitu ambacho Roho wa Bwana alisema, na nyuzi zingine zilikuwa personal view. Hii ya pili naandika UNABII. Thread 'Unabii kuelekea uchaguzi mkuu 2025' Soma...
  10. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania CCM imebaki na stori za debe la Kahawa na Mnywa gongo

    Wazee wa CCM ni kama kundi la wachekeshaji. Yule mwingine anajilinganisha na Trump na kila kukicha lazima atoe maneno yanayoleta mshangao kwa watu. Huyu mwingine wakati nchi ipo kwenye sintofahamu analeta stori ya debe la Kahawa na Mnywa gongo. Labda mnywa gongo kuna wakati anajua wazee wa...
  11. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Wanaoipinga CCM ni kosa kukimbilia nje ya nchi?

    Kuna mzaha hufanywa na baadhi ya watu dhidi ya wanasiasa wanaoipinga CCM wanapokimbilia nje ya Tanzania. Kuna hoja kwamba huwezi kupigania maslahi ya Tanzania na watanzania ukiwa nje ya Tanzania. Na wengine hufika mbali zaidi kwa kuwaita watu hao ni vibaraka wa mabeberu. Lakini Historia ya...
  12. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM yasitisha ziara zake kupisha mchakato wa ndani wa kuwapata wagombea kuelekea Uchaguzi mkuu Oktoba 2025

    Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) CPA Amos Makalla amesema kuwa chama hicho kimesitisha ziara za viongozi wake mbalimbali ili kupisha mchakato wa ndani wa CCM wa kuwapata wagombea wa nafasi mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025...
  13. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Stephen Wasira: CCM hatukati Mgombea ila tunateua wachache kati ya wengi

    MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amesema kazi iliyobaki baada ya kuvunja Bunge ni kuendesha taratibu za namna ya kupata wagombea ubunge na kwamba Chama hicho hakitaka mgombea ila kitateua mmoja kati ya wengi. Wasira ameyasema hayo Juni 24,2025 alipokuwa akizungumza...
  14. R

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mohamed Kawaida: Vyama 18 vipo tayari kushiriki uchaguzi, tuchague viongozi wanaotoka CCM, October tunatiki

    Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mohammed Ali Kawaida (MCC) amesema kuwa vyama 18 kati ya 19 vya siasa vimeridhia kushiriki Uchaguzi ifikapo Oktoba 2025 ambapo ametaka Chama Cha Mapinduzi kuwa miongoni mwa vyama hivyo Aidha, ameongezea kwa kusema `sauti ya wengi ni sauti ya Mungu' huku akihusianisha...
  15. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wasira: CCM itateua wagombea ubunge, sio kuwakata

    Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wasira, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakitakuwa na utaratibu wa kuwakata wagombea bali kitateua wale wanaofaa kwa mujibu wa vigezo na taratibu za chama. Akizungumza Juni 24, 2025 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Stendi ya Zamani, Wasira...
  16. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM kushangilia kupewa baiskeli ni dalili kuwa watanzania tumetopea kwenye umaskini!

    Ukiona mtu anaona kuwa kupewa baiskeli ni ukombozi wa maisha yake magumu, ujue jamii aliyomo ni maskini sana. Kuna wakati ada ya shilingi 20,000 na 70,000 kwenye shule za kutwa na bweni za Serikali ilipoondolewa na nchi nzima kulipuka kwa furaha, nilishangaa Sana. Leo hii tena CCM nchi nzima...
  17. K

    JamiiForums Tanzania Kwa wale watia nia ya ubunge kupitia CCM kila mtia nia aende agombee kwenye jimbo alikozaliwa

    Naona wengi wa watia nia kupitia CCM wamerukia kwenye majimbo ambayo siyo asili yao walikozaliwa. Kuna mmoja 2020 alitia nia kwenye Jimbo fulani akashindwa kwenye kura ya maoni. Mwaka huu pia nimeona amerukia Jimbo fulani kupitia CCM. Nawashauri wajumbe wa majimbo hayo kupitia CCM wakataeni...
  18. M

    JamiiForums Tanzania CCM inajiandaa kukabiliana na mbwa waliyemfuga kwa kumnyima uhuru kwa kumweka bandani kiasi cha hata kwenda haja, wamemkadiria masaa

    Mbwa aliye huru ni rafiki wa kila mtu, labda umchokoze Mbwa aliyefungwa na kutiwa minyororo bandani, hana rafiki, hata anayempa chakula, siku atakapojua haki zake, atamtia majeraha, atamchapa meno mpaka boss wake Ndicho sisiem walichowafanya Watanzania, waliwafungia bandani miaka mingi huku...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Sheikh Ponda ameeingia ktk 18 za CCM

    Nasikia anaenda kugombea ubunge Kupitia Act wazalendo temeke. Nategemea atapewa na tume ya uchaguzi kura 50 ktk kura elfu 24 za mgombea wa ccm. Huu ndio utakuwa mwisho wa ushawishi wake Tanzania. Kabla ya hapo nguvu ya Ponda ilikua kubwa si kwa waislam nje ya Bakwata lkn hata ktk kupigania haki.
  20. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa CCM wa Jimbo lililoko shule hii ,ninaomba Kamati Kuu ya CCM Taifa isimpitishe kugombea ubunge 2025-2030

    Angalieni hii video! Jimbo hili,Wanamdai Samia Suluhu Hassani bila kupepesa macho. CC: Prof Adolf Mkenda
Back
Top Bottom