ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Parabolic

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Naghenjwa Kaboyoka wa CHADEMA atimkia ACT Wazalendo

    Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum, Naghenjwa Kaboyoka amejiunga na chama cha ACT Wazalendo leo Juni 28 Dar es Salaam. Kaboyoka aliyewahi kuwa Mbunge wa Same Mashariki 2015-2020 amepokelewa leo na Kiongozi wa chama hicho Dorothy Semu kwenye ofisi za makao makuu Magomeni. Mwaka 2020 Kaboyoka...
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Niliposema hapa hapa JamiiForums kuwa Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said anajipendekeza Serikalini na CCM kwa Ajili ya Ubunge Kigamboni mkanibeza

    Rais wa Klabu ya Yanga Injinia Hersi Said leo Juni 28, 2025 amechukua rasmi fomu ya kuwani Ubunge katika Jimbo la Kigamboni lilipo Jijini Dar es Salaam kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM). Hersi amekua miongoni mwa watu mashuhuri wanaokubalika katika jamii kutokana na uongozi wake...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu Kwa Ajili ya Matukio Yote Ya Uchukuaji na Urejeshaji wa Fomu Za Ubunge Kupitia CCM 2025.

    Ndugu zangu Watanzania, Nimeona niweke uzi huu uwe maalumu kwa ajili ya matukio yote ya uchukuaji na urejeshaji wa Fomu za Ubunge kupitia CCM Katika Majimbo yote Tanzania Bara. Hii itasaidia kufahamu nani na nani wamechukua Fomu sehemu Fulani. Lakini pia baadaye kutakuwepo na Uzi wa Majina...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mchungaji Peter Msigwa achukua Fomu kugombea Jimbo la Iringa Mjini kupitia CCM

    Aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini 2010 - 2020 Mchungaji Peter Msigwa amechukua fomu za kugombea Ubunge Jimbo la Iringa Mjini katika ofisi za CCM wilaya na kukabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Iringa mjini Hassan Makoba. Akizungumza mara baada ya kukabidhiwa fomu Mchungaji Msigwa alisema kuwa...
  5. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM Kilosa yawaonya wagombea kutojihusisha na vitendo vua rushwa

    Chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Kilosa kimetoa onyo kwa wagombea wa nafasi ya Udiwani na Ubunge ndani ya Chama hicho kutojihusisha na Vitendo vya rushwa kwani ni kosa kufanya hivyo. Wito huo umetolewa na Katibu wa CCM Wilaya hiyo Jonus Mfaume wakati akizungumza na wanahabari ofisini kwake.
  6. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM Kigoma yawaasa vijana kujitosa mbio za ubunge na udiwani

    Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Kigoma, kimesema zoezi la uchukuaji wa fomu za kugombea Ubunge na Udiwani zitaanza kutolewa Juni 28, 2025, huku wenye umri kuanzia miaka 21 na kuendelea wakitakiwa kujitokeza na kuchukua fomu za kugombea nafasi hizo muhimu, kwa kuwa ni haki yao.
  7. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Kijana aliyepewa baiskeli ya Rais Samia auawa kwa kuchomwa mshale na watu wasiojulikana Manyara

    Mnaozipokea hizo baiskeli, mnashauriwa kuzibadilisha rangi na kuiuza ndiyo salama yenu... Kijana mmoja mkazi wa Kijiji cha Lambo, wilayani Hanang mkoani Manyara, amefariki dunia baada ya kushambuliwa kwa mshale na watu wasiojulikana.T ukio hilo limetokea usiku wa Juni 26 mwaka huu majira ya...
  8. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Aliyemshinda Kimei kwenye kura za maoni ndani ya CCM uchaguzi wa 2020 atangaza nia tena

    ALIYEMSHINDA MZEE KIMEI KWENYE KURA ZA MAONI NDANI YA CCM UCHAGUZI WA 2020 ATANGAZA NIA TENA, SHIDA IPO PALEPALE KWA MZEE KIMEI VUNJO Kada wa CCM , Msomi wa masuala ya Uchumi na Usimamizi wa Miradi, Mfanyabiashara na mdau wa maendeleo ya jamii, Comrade Enock Koola sasa rasmi anaenda kutia nia...
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Muinja Maingu atia nia ya kuwania nafasi ya ubunge jimbo la Musoma vijijini kupitia CCM

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi na mdau mkubwa wa maendeleo Musoma vijijini Ndg. Muinja Maingu metia nia ya kuwania nafasi ya ubunge Musoma vijijini. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote...
  10. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Bi. Valeriana Pascale Itovagonze, atangaza kugombea ubunge jimbo Jimbo la Kalenga kupitia CCM

    Mwanamke jasiri na mwenye maono mapana ya maendeleo, Bi. Valeriana Pascale Itovagonze, ametangaza rasmi nia yake ya kugombea ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu 2025. Akizungumza na Nurudigital leo 27 Juni 2025 , Bi. Valeriana amesem kuwa amechukua...
  11. Benson Mramba

    JamiiForums Tanzania Mama Samia Vs Lissu au Heche ni kama Kamala Harris na Trump kazi kwa CCM kuamua kuwa kama Democrats

    Kwa speed ya uongea, mass mobilization, maneno ya kejeli na Karaha, kujenga hoja n.k namfananisha Lissu na Trump. Mama Samia nae ongea yake, nafasi yake ya VP, gender,chama chake kuwa chama tawala n.k namfananisha na Kamala Harris Huko Marekani Democrats nao hawakuwa na mchakato wa nomination...
  12. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mgombea Urais CHADEMA kwa Sasa yuko CCM, CHADEMA itashinda Uchaguzi Mkuu! RAIS Huyu ajaye atatumika Kumtuliza LISSU na kuleta Suluhu...

    Ukweli ni kwamba, Ile timu utekaji na Mauaji na Majaribio ya mauaji , ni timu ambayo mpaka muda huu inajiuliza, Ikitokea LISSU ambaye ni Mwenyekiti CHADEMA ndio huyohuyo akawa Rais ,itakuaje ?. Kwa Upande wa pili, Wazalendo walioko Ndani ya Dola, wanakubaliana kua, CCM imechokwa, Uchaguzi pekee...
  13. Mzalendo2015

    JamiiForums Tanzania Bunge linafungwa, ni Bunge la CCM, ni Bunge la kibabe

    Mama leo hii na muda huu anafunga Bunge lake. Ni Bunge la Chama kimoja ni Bunge la kibabe na Bunge lisilotambua Vyama vingi!! Ndo maana hata Spika wakti anatambulisha wageni sijasikia Kiongozi wa Kambi ya Upinzani kutajwa. Hakuna Covid-19, hakuna CHADEMA, hakuna ACT Wazalendo hakuna chochote...
  14. Kabende Msakila

    JamiiForums Tanzania Wafahamu wanaotajwa kuwania Ubunge Jimbo la Kakonko mkoa wa Kigoma kwa mwaka 2025 kupitia CCM

    Orodha ya makada wanaotajwa kuwania Ubunge Jimbo la Kakonko katika mkoa Kigoma ni ndefu sana. Jimbo hili kuanzia mwaka 2020 - 2025 lilikuwa likiongozwa na Mhe Aloyce Kamamba kutoka kata ya Gwarama. Mbali na Mbunge aliyeko madarakani na kutokana na shauku ya kila kada kutaka kuongoza Jimbo hili...
  15. M

    JamiiForums Tanzania CCM Yatibu Maandalizi ya Maandamano Makubwa ya Kumsindikiza Dkt. Kimei Kuchukua Fomu ya Ubunge Vunjo

    Vunjo, Kilimanjaro – 27 Juni 2025: Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Vunjo kimeingilia kati na kutibua maandalizi ya maandamano makubwa yaliyokuwa yamepangwa kwa ajili ya kumsindikiza Mbunge wa sasa wa Vunjo, Mhe. Dkt. Charles Stephen Kimei, wakati wa kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya...
  16. MwajabuOmary

    JamiiForums Tanzania Salamu zangu kwa watia nia kutoka CCM kugombea nafasi za ubunge

    Kesho ni tarehe 27/06/2025 ndio siku rasmi ya kuvujwa kwa bunge. Ninawakumbusha mnao covid 19 na chauma ikiwemo, msije mkachanganyikiwa kama kutakua na maelekezo kutoka juu, lazima nchi iende. Just wait the time is at the corner from now
  17. Kabende Msakila

    JamiiForums Tanzania CCM ni chama imara kuliko CDM, ACT, CUF na NCCR. Upinzani acheni kulaumu badala yake jifunzeni kwao

    Team, Salaam! Mara nyingi kwa wapinzani nchini ukiwaambia ukweli badala ya kupokea ushauri wao huishia kutukana, kudhihaki, na kukejeli mleta mada. Lucas Mwashambwa na Pascal Mayalla kwa muda mrefu wamevaa viatu vya ualimu wa kuelimisha upinzani nchi lkn badala ya kupokea mawazo yao huja na...
  18. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Aliyekuwa diwani wa CHADEMA ahamia CCM

    Aliyekuwa Diwani wa kata ya Kiranyi Wilaya ya Arumeru aliyemaliza Muda wake Jun Kupitia Chadema Mhe JOHN EDWAR SENEU ( JOMBI) Leo amerudi CCM na kupokelewa na viongozi wa Tawi la ilkurei kata ya Kiranyi , Mapokezi ya Mhe JOMBI yameshudiwa na Sekretariet ya CCM Wilaya wakiongozwa na CDE CAMILA...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania CCM yawatakia waislamu heri ya mwaka mpya wa Kiislamu 1447 Muharram

    Haya mambo CCM wameanza lini? Mbona ni kujipendekeza sana kuelekea mwaka huu wa chaguzi kutafuta kura kwa namna na kujionyesha wao ni wema sana ===================== Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatoa salamu za heri na baraka kwa Waislamu wote nchini Tanzania na duniani kote katika kuukaribisha...
  20. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kijana Mkeleketwa wa CCM: Tanzania bado haijapata chama mbadala wa CCM

    Kijana Mkeleketwa wa Chama Cha Mapinduzi, Mtindi Kabourou amedai Kuwa mpaka sasa Tanzania hakuna chama Pinzani kinachoweza Kuwa mbadala wa CCM Kwakuwa Vyama hivyo vimekosa sera na Msimamo wa kifalsafa. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special...
Back
Top Bottom