ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. J

    JamiiForums Tanzania Polepole aandika historia ya matusi mazito kwa wanachama wa CCM

    KATIKATI ya upepo wa maandalizi ya uchaguzi, sauti ya matusi imeibuka akiwaita wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa kuwa ni “wahuni”. Kauli hii imetolewa na mtu aliyewahi kushika nafasi ya heshima ndani ya chama hicho, aliyewekwa juu kama mzigo wa haraka uliotupwa mezani bila kuulizwa mzani...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kuhusu tetesi za Luhaga Mpina kukatwa CCM; “ugomvi na viongozi wa CCM umechangia

    Inasekana ugomvi baina ya Mpina na viongozi wa CCM Mkoa wa Simiyu ndio chanzo cha jina lake kukatwa katika vikao vya Mkoa. https://youtu.be/qN1T8rrBep8?si=64FCUMgEIb8iIE-T
  3. B

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM Simiyu atoa tuhuma nzito za rushwa kwa Kamati za Siasa za Wilaya na Mkoa

    Kada wa CCM Mkoa Simiyu, Godfrey Sitta Sukari akizungumza na waandishi wa habari alieleza kupitia uzoefu wa kuwa mwanachama muda mrefu, alisema kumekuwepo mabadiliko ya hivi karibuni ya kanuni na vifungu kwenye katiba ya chama ambapo kama vijana lazima wakosoe na kupongeza kwa mema Pia ametoa...
  4. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Dola isiruhusu uhuni wa mtu kujipitisha kugombea Urais CCM , Mwaka 2030 kuna Muhuni atamptisha Kijana wake na hakuna atakayehoji, Tupige vita mapema

    Mpaka Sasa hamna Mahali Ambapo RAIS SAMIA kachukua Fomu, na kuijaza, na kuirejesha , yaaan Uhuni MTUPU Mtu kaamua kujipitisha Mwenyewe kavunja Katiba ya CCM ,kavunja Katiba ya Nchi Licha ya uvunjifu huo, Hata kuchukua Fomu, hajachukua Wakuuu !! Nitoe Rai, kama Vyombo vya Usalama Nchini...
  5. 05CUBA

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia Suluhu anakuwa mgombea wa kwanza kuingia madarakani kupitia CCM bila kupitia mchakato wa Uchaguzi. Je, wameogopa nini kumshindanisha na wenzie?

    wahuni wameogopa kumshindàisha maza na makada wengine, Ivi hili lina chochote cha kutueleza juu ya uwezo wa maza kwenye Medani husika za uongozi na siasa kiujumla ?? Na je, hii haileti ishara mbaya juu ya sirikali yetu kupigwa copy, kwamba wale wanaopromote uwepo wa maza wana ulaji wao pale...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Polepole, POWER is invariably personal; there is no group power! Ilibidi umtaje anayeamrisha/anayebariki UHUNI kwenye CCM

    HAKUNA GROUP POWER , hasa kwenye nchi zetu hizi za kishenzi! CCM inapokuwa kweye vikao, kuna mtu yuko juu. Kila member humo, particularly vinavyoendeshwa na Samia, kila mshiriki anaangali mdomo wa rais unacheza vipi, naye anafuatisha humo humo. Au anamtuma mtu aweke agenda inayomhusu na...
  7. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Polepole amesema CCM ni chama imara, kitashinda uchaguzi mkuu kwa kishindo

  8. tpaul

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polepole kufukuzwa CCM; nafasi yake kuchukuliwa na Mbowe

    Dar es Salaam: Habari za chinichini zinapenyeza kuwa uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) upo mbioni kumfukuza na kumfuta uachana Mh Balozi Humprey Polepole na pia kumuondolea hadhi ya ubalozi. Hayo yanajiri wakati mwanachama huyo nguli wa CCM akiitisha mkutano na waandishi wa habari kwa njia ya...
  9. U

    JamiiForums Tanzania Kupinga hadharani maamuzi ya mkutano Mkuu wa CCM ukiwa mwanachama ni dharau na Uasi mkubwa kwa Mwenyekiti Polepole afukuzwe Chamani

    Hiyo ni kanuni muhimu ya uwajibikaji wa pamoja ndani ya CCM Akabidhi KADI ya Uanachama na aende huko anakoona kinamfaa
  10. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania CCM sasa imebaki na "wanasiasa mfumo"

    Hali ya kisiasa ndani ya CCM kwa sasa haivutii sana. Viwango vya ueledi kisiasa umeshuka sana, hadi sasa tumebaki na "wanasiasa mfumo". Wanasiasa mfumo ni wale wanakuwa recycled toka kazi za kiserikali, na kurudishwa chamani. Wanasiasa mfumo hawana mawazo ya kwao kisera wala kisiasa, wao ni...
  11. Zombi Mweusi

    JamiiForums Tanzania Tanzania yangu chini ya mkoloni CCM

    Naishi Tanzania, lakini sihisi huru. Chini ya utawala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), najiona kama mtumwa katika nchi yangu mwenyewe. Uhuru tuliourithi kutoka kwa kina Nyerere umebaki historia, kwani viongozi wa sasa wameugeuza kuwa fursa ya kujinufaisha wao na familia zao, huku mwananchi wa...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Polepole asema watu wabaya CCM wanajulikana

    Humphrey Polepole ameeleza kuwa watu wabaya CCM wanajulikana. Amesisitiza chama kinapaswa kuhakikisha watu wabaya na wahuni hawaingii kwenye mchakato na chama kinawajua. "Urekibishaji unaanza kuhakikisha kwamba hakuna watu wabaya na wahuni wanaingia kwenye mchakato na chama kinawajua mbona hili...
  13. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Lugha ya kusema mgombea ni mmoja ni makosa, nilishindwa hata kuwapongeza, Unapongeza vipi kisicho halali?

    "Na hii lugha ya kusema mgombea ni mmoja ni makosa, sio kipindi hiki, hata kipindi cha Magufuli kuna baadhi ya viongozi walikuwa wanasema mgombea ni mmoja, siyo kweli na kwenye kauli rasmi ambayo mimi kwa wakati ule niliitoa kwa niaba ya Mwenyekiti wa CCM, tulisema tunafungua kwa watu wote...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Mchakato wa CCM kumpitisha Samia kuwa Mgombea Urais 2025 haukuwa halali

    Mchakato wa CCM kumpitisha Samia kuwa Mgombea Urais 2025 haukuwa halali Kusema ni mgombea mmoja ni makosa Polepole asema kikao kilichotumika kumteua Rais kilikiuka taratibu na sheria za CCM. Ameendelea kusema suala la kutoa fomu moja na kupitisha mgombea kinyume cha taratibu ni kunajisi katiba...
  15. Fbn

    JamiiForums Tanzania Steji tuliyofika sasa ukipingana utawala wa CCM wanadeal na watu wako karibu

    Kama ndio tumefikia hapa naanza kuelewa kwa nini wameamua kumkomesha gwajima kwa waumini wake. Sasa tunaona kwa polepole kuanza kuteswa ambao hata sio wahusika. Ili taifa linapita wakati mgumu.
  16. J

    JamiiForums Tanzania CCM imeongeza madaktari kutoka madaktari 5 wa mkoloni hadi 2,464

    ILi kumpiga vita adui MARADHI, hatua kubwa imefikiwa katika nyanja zote ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya afya, wataalamu wa afya wa ngazi zote, upatikanaji wa vifaa tiba dawa na vitendanishi. Wakati tunapata uhuru, tulikuwa na madaktari watano (5) tu, ambapo kwa sasa chini ya Rais Samia...
  17. Yoda

    JamiiForums Tanzania CCM waliruhusu upinzani wa kudhibitiwa na kuongozwa na dola tu "controlled opposition", sio upinzani huru huu wa Lissu anaoutaka

    Mwaka 1992 ambapo inadaiwa siasa za ushindani zilirejeshwa tena nchini, raia wengi (80%) inasemekana walikuwa wanataka mfumo wa chama kimoja uendelee lakini CCM ikafanya jambo la nadra sana lisilotegemwa la kuwasikiliza wachache(20%) na kukubali kurudisha mfumo wa vyama vingi uliondolewa mwaka...
  18. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania CCM wameishindwa CHADEMA lakini Sasa hali inatisha zaidi

    Kwa mara ya kwanza CCM ilipoona nguvu za CHADEMA ilikuwa mwaka 1994 kwenye chaguzi za Serikali za mitaa na mwaka 1995 kwenye uchaguzi Mkuu. Tangu mwaka 1995 mpaka Sasa CHADEMA imekuwa mwiba mkubwa sana Kwa CCM. Kila kiongozi wa CCM kwa staili yake wamekuwa wakifanya jitihada ya kuiua CHADEMA...
  19. Uwesutanzania

    JamiiForums Tanzania Kama RAISI atatoka kwenye chama tofauti na CCM naomba nife siku moja kabla ya kuapishwa kwa huyo raisi

    Ee mungu, ee shetani, ee mtoa roho, enyi mizimu ya uzimuni, ee Mungu wa wakristo, ew Mungu wa waislam, ee Mungu wa wahindu na miungu yote kwa ujumla,. Nawaomba kama itatokea siku moja nchi yangu pendwa ya jamuhuri ya muungano wa TANZANIA ikaongozwa na raisi wa kutoka kwenye chama chochote...
  20. Benson Mramba

    JamiiForums Tanzania Mbowe anakuwa Sub ya Askofu Gwajima CCM

    Wakati fulani nyuma niliandika humu kuwa siasa za mwaka huu zitakuwa kama za Kenya ambapo Rais ataungana na kiongozi mkuu wa upinzani kwenye jukwaa moja kama Uhuru na Odinga walivyoungana. Nilisema Mbowe ataungana na Mama Samia na kuunda timu moja ya Kampeni wakati Lissu ataungana na Sukuma...
Back
Top Bottom