ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. funaku

    JamiiForums Tanzania Mwalimu Nyerere hakuwahi kuikosoa CCM akiwa mafichoni tusipende kujikweza

    If you are bold enough and you think you have a mass support jitokeze hadharani na ukosoe kwa haki na uwazi. Mara zote baba wa Taifa Alipokuwa anakosoa hakuwahi kujificha mafichoni hii ikimaanisha alikosoa kwa dhati na kweli. Tupunguze maigizo. N.B Hata John Nchimbi alikosoa CCM akiwa katika...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Polepole: Utaratibu wa CCM ni kuwa, Samia alitakiwa kuishia 2025 na kukabidhi kwa mwingine

    Salaam! Kuna kitu Polepole anekiongea kizito ambacho tumekuwa tukikisema humu mara nyingi. Ameenda mbali na kudai, ikiwa tuna mashaka na akisemacho, tukamuulize Mzee Mangula! 1. Ni hivi, amesema Spika wa bunge, VP,Waziri Mkuu ni marufuku kupitishwa kuwa wagombea urais ,huo ni utaratibu ,miiko...
  3. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Wakati CCM ikiwa inapitia hekaheka nzito ACT na CHAUMMA Huwa nao wanapoteana CCM ikipoa nao wanapata nguvu Kuna Nini hapo?

    Katika huu mwaka wa uchaguzi Kila kipindi CCM ikiwa inapitia hekaheka nzito vyama kama ACT na CHAUMMA navyo Huwa vinaingiza mkia nyuma lakini huko CCM kukipoa ACT na CHAUMMA utawasikia wanapata makali. Saiv usikii chaka to chaka usikii watu wakinadi sera zao lakini kipindi CCM wakipata afadhali...
  4. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Je, tetesi zakuahirishwa kwa vikao vya juu vya CCM ni matokeo ya Polepole kupiga kwenye mshono?

    Kuna taarifa zinasambaa mitandaoni zikisema, vikao vya juu vya CCM vilivyotarajiwa kukaa leo na kesho vimehairishwa ghafla. Je, hatua hizo ni matokeo ya spana za Polepole dhidi ya udhaifu wa CCM na serikali yake? Muda utakuja kusema mengi.
  5. Nyoka kibisa

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM wasogeza mbele Vikao vya Chama vilivyopangwa kufanyika kuanzia leo mpaka itakapotangazwa tena

  6. Kusini pride

    JamiiForums Tanzania GE2025 Upinzani ndani ya CCM: Kinachompoza Samia ni kuwa mwanamke?

    Upinzani wa Ndani CCM, Kinachomponza Samia Ujanajike Wake Katika siku za hivi karibuni, tumeona kuibuka kwa baadhi ya wanasiasa waliowahi kuwa ndani ya mfumo wa utawala wa awamu ya tano—wakijaribu kuvaa joho la uanaharakati na kuunyooshea kidole utawala wa sasa. Alianza Job Ndugai kwa kauli...
  7. Kusini pride

    JamiiForums Tanzania Upinzani ndani ya CCM, kinachompoza samia ni ujanajike

    Upinzani wa Ndani CCM, Kinachomponza Samia Ujanajike Wake Katika siku za hivi karibuni, tumeona kuibuka kwa baadhi ya wanasiasa waliowahi kuwa ndani ya mfumo wa utawala wa awamu ya tano—wakijaribu kuvaa joho la uanaharakati na kuunyooshea kidole utawala wa sasa. Alianza Job Ndugai kwa kauli...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Utamaduni wa CCM umesaidia nini Taifa!? Polepole

    Nimemsikiliza badala ya kuongelea reform anaongelea tamaduni za chama! Hii nchi inataka mabadiliko ya mifumo tamaduni za CCM ndizo zimeleta umasikini Polepole! Pigania mifumo bora
  9. britanicca

    JamiiForums Tanzania CCM tupo watu 15 tu ambao tuna maanisha maana ya Tanzania na utawala bora hatutaki ujinga

    Uwa nawaambia daily hapa mi ni CCM Ila CCM ambaye sipendwi n wenzangu hasa machawa ! Kadi yangu nilianza nayo Mwaka 1982 nikiwa PUGU HIGH SCHOOL (PCM ) Nataka sasa wenyewe 1. Kwanza Mimi Britanicca 2. Butiku 3. Jaji warioba 4. Makongoro Nyerere 5. Humphrey Polepole 6. Luhaga Mpina 7. Anna...
  10. chiembe

    JamiiForums Tanzania Baada ya mfupa wa "no reform, no election" kuwa mgumu kutekelezeka, wanaCHADEMA tumeamua kubeba ajenda za wana CCM

    Sisi wana CHADEMA tunakubali kwamba ajenda yetu ya No reform no election ni ngumu kutekelezeka, tunachofanya sasa ni kuchungulia katika madirisha ya nyumba ya CCM na kushangilia lolote linalotokea au kuzomea. Ajenda yetu imeshindikana, CCM wakiendelea hivi, CHADEMA tutapotea katika meza ya...
  11. H

    JamiiForums Tanzania Hakuna binadamu aliyeitumikia ccm na mwenye dini ya kuja atakayewapigania WaTanzania kamwe!

    Asiye na akili timamu ndiye atakayeamini maigizo ya kisiasa wanayofanya ccm na wanasiasa wake
  12. N

    JamiiForums Tanzania Kwa hali nayoiona kuna kila dalili za mama yupo mpaka 2035, Sioni kabisa wa kupinga kamati kuu ya CCM

    Awamu hii ya sasa watasema haikuwa awamu yake, Muhula wa kwanza 2025 - 2030 Muhula wa pili 2030 - 2035 Kuna wa kupinga Kamati kuu ya Ccm ? NO, HAKUNA !!
  13. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amewaonesha wana CCM utaratibu wa Rais kuwa Mwenyekiti wa Chama ni mbovu. Rais ni lazima akiogope Chama, na si Chama kumuogopa

    Kwa yanayoendelea Tanzania, ikiwa kwa CCM, Mwenyekiti angekua sio lazima awe yule ambaye ni Rais, Naamini CHAMA KINGEKUA KIMESHAMREJESHA RAIS KWENYE MSTARI. Sasa Rais ambaye ana miliki vyombo vya Dola, ndio huyo huyo Mwenyekiti, yaani ana nguvu za kichama na Serikali kuwadhibiti wapinzani wake...
  14. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Njia rahisi ya kumjua mtu mwenye IQ ndogo katika uwanja wa siasa ni pale anapopost Clip za polepole kipindi akiwa mwenezi wa CCM

    Wataalamu wa mambo na wenye weledi huwa wanazingatia wakati uliopo wa MTU na mahitaji yake na ya waliomzunguka . Katika Mabadiliko ya binadamu yanautegemea wakati ulipo na ujao na kuutumia wakati uliopita Kama uzoefu na kujifunza . Nimeona watu badala wachambue hoja za polepole na sehemu...
  15. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Polepole analalamika rafu za JK kumbeba Samia urais CCM 2025, lakini alifurahia rafu za JK 2015 zilizopelekea Magufuli kugombea urais na kushinda!

    Huenda Polepole hakuwa anaelewa dhana dhima ya karma katika maisha ya kila siku. Lakini kwa kuwa katika press ya leo mara kwa mara amemtaja mwenyezi Mungu, huku akisema yeye ni muumini mzuri wa kikristo, basi alipaswa kukumbuka lile andiko linalosema; Apandacho mtu ndicho atakachovuma! JK huyu...
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kwa navyo wafahamu CCM na serikali wanaweza kuogopa kupeleka balozi Cuba sasa

    Kwa jinsi karata zilivyochezwa walijua huyu jamaa atakuwa kama jina lake pole pole kumbe kawa kasi kasi sasa na mbinu alizotumia. Usijeshangaa tanzania itagoma kupeleka balozi au hata mtu kwenda huko kukawa kikwazo wakijua ndio watu wanapata ujasiri na kuwa ubobevu ambao leo idara zilizotakiwa...
  17. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya wanaCCM wanasema Polepole ameifanyia CCM upasuaji mkubwa bila ganzi, halafu amefumua upya mshono bila ganzi

    Hichi ndicho kinachoendelea vichwani mwa baadhi ya wanaCCM baada ya Polepole kulipua kambi ya kijani siku ya jumapili na kisha leo kuibuka upya na petrol kuteketeza kambi nzima ya kijani. Makada wa kijani wameshindwa pakuanzia maana mama mkuu hajatoa muelekeo wa namna ya kujibu mapigo. Huenda...
  18. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 First Gwajima, Now Polepole — Who’s Next in CCM With Balls?

    Kama Gwajima na Polepole Wamesema, Basi Chama Kimeanza Kupiga Chafya. Homa ya Ukweli Inakuja? ==============For English Audience============= You know things are getting interesting when voices from within CCM, a party famed for its strict discipline and "family secrets stay in the family"...
  19. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole ahitimisha Press yake akisema 'Kwa Ku conclude, Kwa Desturi ya CCM, Mwaka huu kutakiwa kuwe na Wagombea Wapya wenye Sifa na Uwezo"

    Wakati Watanzania mbalimbali waki summarize Press ya Mzalendo Polepole Kwa namna mbalimbali waonavyo. Polepole yeye kahitimisha Kwa kusema huku akisisitiza "Mwaka huu KwaDesturibya CCM kunapaswa kua na Wagombea Urais Wapya wenye Sifa, Wapyaaa wenye Sifa" Tazama hapa kuanzia Dakika 25...
  20. J

    JamiiForums Tanzania Polepole aandika historia ya matusi mazito kwa wanachama wa CCM

    KATIKATI ya upepo wa maandalizi ya uchaguzi, sauti ya matusi imeibuka akiwaita wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa kuwa ni “wahuni”. Kauli hii imetolewa na mtu aliyewahi kushika nafasi ya heshima ndani ya chama hicho, aliyewekwa juu kama mzigo wa haraka uliotupwa mezani bila kuulizwa mzani...
Back
Top Bottom