ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Je uteuzi wa mgombea ndani ya CCM ni wa kupendeleana au ni utaratibu wa muda mrefu?

    Wapo wanaoikosoa CCM kwa kile kinachoonekana kuwa ni "uteuzi usio wa kidemokrasia" wa mgombea urais kwa 2025. Lakini swali la msingi ni: Huu ni upendeleo au ni utaratibu wa muda mrefu ndani ya chama? Historia inaonyesha wazi: Nyerere mwenyewe alitumia ushawishi wake kumteua Ally Hassan...
  2. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 2015 Lowassa alijitoa CCM , 2020 Membe alijitoa CCM, 2025 kuna dalili yoyote ya mwanachama mzito kuchomoka ?

    2015 - EDWARD NGOYAI LOWASSA 2020 - BENARD KAMILIUS MEMBE 2025 - ???? (Imekuwa Reverse kwa mkuu wa chama cha upinzani kwa muda mrefu)
  3. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kikao cha kubadili Katiba ya CCM kufanyika kwa mtandao ni dhihaka kwa CCM. Sidhani kama wana CCM mikoani watakubaliana nalo

    Kubadili katiba ya chama tawala CCM siyo zoezi dogo. Ni zoezi lenye kuhitaji ushirikishwaji wa Wana CCM ngazi zote tena kwa kikao cha ana kwa ana. CCM kuandaa kikao hichi kwa njia ya mtandao ni hadaa na lengo ni kunyima fursa sawa ya ushirikishwaji katika kutoa maamuzi hivyo watu wachache kuamua...
  4. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Natangaza kutoa zawadi ya $5000 kwa mtu atakaenionyesha picha ya Samia akichukua fomu ya kugombea urais CCM

    Sote tunajua kuwa Ili uwe mgombea halali wa CCM Kwa ngazi ya urais lazima uombe Kwa kuchukua fomu na kuirudisha. Samia sijawai kumuona akichukua fomu, alijiteua tu bila kufuata taratibu. Inaonekana labda mimi ndo sikumuona akichukua fomu. So natangaza kitita cha $5000 Kwa mtu atakaenionyesha...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kumekucha! CCM yaitisha mkutano mkuu wa dharura kwa njia ya mtandao

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuitisha Mkutano Mkuu Maalum wa Taifa utakaofanyika kwa njia ya mtandao siku ya Jumamosi, Julai 26, 2025 kuanzia saa 2:00 asubuhi. Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo vyetu vya kuaminika ndani ya CCM, tangazo hilo lililotolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu...
  6. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania CCM wameshindwa kufanya mabadiliko ya katiba ya nchi, Wameamua kubadili katiba ya chama ili kumbeba mgombea aliyepitiahwa kwa njia HARAMU.

    Mimi nampenda sana rais Samia Suluhu Hassan lakini anachotaka kukifanya ni UDIKTETA. Tafadhali sana ndugu Samia elewa kwamba tumekuchoka, nenda ukapumzike tu kizimkazi wakati sisi tunawashughulikia matapeli wa bandarini, KIA na bonde la Ngorongoro.
  7. figganigga

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM mliotangulia Dodoma Rudini Makwenu, Hakuna Posho ya safari wala Per diem🤣🤣

    Kuna wale Wajumbe wa Mkutanao Mkuu wa CCM waliotangulia Dodoma kula bata eti wakisubiri Mkutano Mkuu. Warudi makwao tu. Wasitegemee kupata Posho ya safari wala Per diem. Imekula kwenu.🤣🤣🤣
  8. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ni wakati wa kufanya Siasa zenye tija, hatuwezi kufanya Siasa zenye ajenda ya kiupepo upepo, kama ni mabadiliko yatatoka ndani ya CCM

    NI WAKATI WA KUFANYA SIASA ZENYE TIJA, HATUWEZI KUFANYA SIASA ZENYE AJENDA YA KIUPEPO UPEPO. KAMA NI MABADILIKO YATATOKA NDANI YA CCM YENYEWE. Kuna watu furaha yao ni kuwa Wapinzani. Umaarufu wao ni kuwa upinzani. Na wanataka kupotezea watu muda wa kupeperusha ajenda zao maana ndio mtaji wao...
  9. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kwa CCM: “No Reforms No Election” inawahusu pia. Oneni sasa, Mnaleletewa Mkutono Mtandaoni kuzibwa Midomo

    Ukweli hii No Reforms No Election ni ya Watanzania wote. Wana CCM sasa wanadhibitiwa mpaka kwenye mikutano yao. Inakoelekea it will get even worse. Makada, Work up.
  10. P

    JamiiForums Tanzania Wana CCM tutegemee nini marekebisho ya katiba ya chama?

    Kwa ufupi kabisa niseme: Ngoja tuone. Kumbe lolote linawezekana.
  11. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 CCM mkoa wa Simiyu wagomea mkutano mkuu kwa njia ya mtandao

    Kimenuka
  12. W

    JamiiForums Tanzania Kumbe CCM wanaweza kubadilisha katiba yao tena mtandaoni lakini ya Wananchi aaah!

    Katibu wa CCM, Amos Makala ametangaza leo kuwa CCM wanatarajia kufanya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Taifa na utatanguliwa na vikao vya Kamti Kuu Halmashauri Kuu Taifa kupitia njia ya Mtandao. Pia ameeleza kuwa ajenda ya kikao hicho ni Marekebisho ya Katiba ya Chama hicho ila najiuliza kama...
  13. Q

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kama Samia atapitishwa kuwa mgombea anaweza kuwekewa pingamizi kwa kuanza kampeni mapema

    Endapo kesho Mkutano Mkuu utatengua kanuni iliyopitisha mgombea mmoja na kuruhusu wagombea wasiopungua watatu, Rais Samia anaweza kuwekewa pingamizi kwa kuanza kampeni ya uteuzi mapema, Na endapo atateuliwa na chama chake, anaweza pia kuwekewa pingamizi mahakamani au kwenye Tume ya Uchaguzi na...
  14. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Bila kujua CCM wanaenda kufanya reforms ndogo chamani huku wakigomea reforms za taifa.

    Wameitisha online conference meeting, lengo wabadilishe baadhi ya vipengele vya katiba yao kuelekea uchaguzi mkuu 2025 huku wakigomea mabadiliko ya sheria za uchaguzi mkuu ziweze ku suit vyama vyote kwa usawa
  15. M

    JamiiForums Tanzania CCM ubinafsi, wajumbe wao wamelalamika kidogo, wamekubali kubadili kanuni, ila NRNE wagoma

    Yule Kiongozi msemaji wa Dolla Chama , CPA Makala aka Kipara ,ametoa Rai ya kikao Cha wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM kitakachofanyika online kuhusu marekebisho madogo ya Katiba ya CCM kutokana na Malalamiko ya rafu na Rushwa katika kuteua wagombea alizoziweka Samia (kanuni zinazolalamikiwa...
  16. Bhaghosha

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kiongozi huyu ni hatari kwa mustakabali wa chama na Taifa!

    a. Aliingia kupitia mtandao b. Akamtema namba mbili wake katika kipindi alichokuwa anahitajika zaidi c. Uchaguzi uliofuata akatumia familia kufanya kampeni nje ya mfumo wa chama. d. Alitumia muda mwingi nje ya nchi e. Akamuaandaa shemeji yake kuwa kumrithi wa nafasi yake. Alimanusra chama...
  17. W

    JamiiForums Tanzania Maliki Marupu amememjibu Dkt Malisa amemwambia akasome Katiba vizuri

    Aliyekuwa mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi CCM mwaka 2015, Maliki Marupu licha ya kumjibu mwanachama mwenzake Humphrey Polepole kufuatia kauli yake kuhusu mchakato wa uchaguzi wa urais ndani ya chama hicho pia amemvaa Dkt Godfrey Malisa . Marupu ameyasema hayo kufuatia hoja alizoziibua Dkt...
  18. Ileje

    JamiiForums Tanzania CCM imejidhihirisha ni Chama cha kidikteta!

    Ni wazi Chama cha Mapinduzi, CCM kipo katika sintofahamu kubwa kutokana na viongozi wao wakishirikiana na machawa wao kuvunja Katiba yao! Kelele zimekuwa nyingi hadi Chama kimeshidwa kuhimili na sasa viongozi wake madikteta wanataka kuwapa wanachama nusu mkate 🤣! Eti wanaitisha Mkutano Mkuu wa...
  19. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Mvutano ndani ya CCM ni alama ya kuvifungua akili vyombo vya dola. Vikiwa makini huu ndo wakati wa kusimika mifumo imara

    Siasa za Tanzania chini ya Chama cha Mapinduzi ni siasa za makundi kugombania Madaraka na Ulaji. Makundi yote yanafanana kwenye jambo kuu moja. Uchu wa madaraka ili kuila keki ya Taifa vizuri. Makundi yote haya yanaamini yakishika utawala wa nchi basi watapata hela wapendavyo, wataishi vizuri...
  20. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania CHADEMA baada ya kuona slogan yao si lolote, waigeukia CCM. Tuwapuuze

    Tetesi zinaeleza:- Jinsi kunguni zilivyotumwa, zikisaidiana na wanafiki ndani ya CCM, ili ziweke msisitizo/mkazo wa kuhakikisha rais wetu, anakata tamaa ya kugombea urais na mwishowe abwage manyanga. Jambo ambalo ni gumu sana, ukizingatia bado ahadi lukuki ambazo watanzania wamehaidiwa...
Back
Top Bottom