ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM yapasuka vipande viwili, wanachama hawaelewi wachague lipi! Ni huzuni kila upande!

    Hivi ndio vililuwa vichwa vya habari kila kukicha kulipotokea tofauti CHADEMA, yaani cha kushagaza mpaka magezeti yakawa ya kishabiki maandazi, kuchochea makaa. Sasa mpira umegeuka bana🤣🤣🤣 mpasuko umehamia sebuleni kwa baba aaah nimesahau kwa mama😆😆😆. Ukitaka kujua unafiki ni mwingi mashabiki...
  2. Yoda

    JamiiForums Tanzania Umeshiriki mara ngapi kupiga kura na kuchagua kiongozi?

    Kwa mara ya kwanza nilikidhi vigezo vya kupiga kura mwaka 2005, hata hivyo sikuwahi kupiga kura mpaka mwaka 2015 katika uchaguzi mkuu kulipovuma sana wimbi la mabadiliko, tangu wakati sijawahi kushiriki uchaguzi mwingine wowote tena baada ya kugundua kura yangu haibadilishi chochote. Hii...
  3. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Unadhani ni kwanini mafanikio makubwa ya mkutano mkuu wa CCM taifa kidigitali leo, yamewaudhi sana wahuni, vibaka na matapeli wa kisiasa nchini?

    Maana muda mwingi tangu kutangazwa kwa mkutano mkuu wa leo, wapiga ramli na wahuni wa kisiasa wenye chuki binafsi dhidi ya CCM, walikua wakifanya mikesha na ibada za kishirikina, eti ili mkutano mkuu wa ccm taifa kidigitali, uvurugike na usifanyike vyema kama ilivyo pangwa, lakini badala yake...
  4. Idugunde

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hawa watia nia wa CCM wanaogawa pesa kabla majina hayajarudi wana uhakika gani?

    Wanagawa pesa kama njugu bila hata ya aibu. Wana uhakika gani kama majina yao yatarudi? Na hizi pesa wanazogawa wamezipata wapi? Kwa nini Takukuru haiwachukulii hatua?
  5. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Hayati John Magufuli akiingia ofisi za chama - CCM kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kugombea u - Rais kwa awamu ya pili mwaka 2020

    https://youtu.be/IE9sYQ6WgE0?si=C66gZnDjjqoCBh1k Hii ni hatua muhimu ta kwanza ndani ya chama iliyofanywa na Hayati Rais Magufuli alipokuwa anakiomba chama chake CCM kimteue kugombea u - Rais wa JMT kwa awamu ya pili mwaka 2020... Huyu Samia Suluhu Hassan achilia mbali kuwa yeye ndiyo itakuwa...
  6. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Aliyesimamia mkutano wa CCM leo ni yule mvunjifu wa katiba ya chama cha CCM msitegemee majibu ya hapana

    Aliyesimamia mkutano wa CCM leo ni yule mvunjifu wa katiba ya chama cha CCM msitegemee majibu ya hapana kwenye kubadilisha katiba. Kama unakumbuka vizuri alivunja katiba ya chama kwenye kupitishwa kugombea uraisi, hakuomba radhi wala hakukanusha kuivunja, kwasasa CCM ni kama uchaguzi upo tu kwa...
  7. Genius Man

    JamiiForums Tanzania GE2025 Upigaji kura wa leo CCM haukuwa wa wazi, ilikuwa maigizo

    Upigaji kura wa leo CCM haukuwa wa wazi kuna uwezekano mkubwa wa majibu kupangwa tayari kabla ya kikao.
  8. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania Kama CCM Wameweza kwenye Chama Yanashindwaje kurekebisha Katiba ya Nchi?

    Baada ya kuweza kurekebisha Katiba ya CCM ndani ya masaa 72 kwa nini CCM wanaona hakuna muda wa kurekebisha Katiba ya nchi su sheria za Uchaguxi ndani ya miezi 2. Penye nia Pana njia. Ni swala la kuamua tu. Kama nia ipo inawezekana.
  9. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tathmini ya Mchakato wa Uteuzi wa Wabunge ndani ya CCM: Kamati Kuu ya CCM Taifa kusababisha Changamoto na kupewa rungu la kupokea Rushwa

    Mkutano Mkuu wa ccm uliofanyika kwa njia ya mtandao,umeibua maswali mengi kuhusu uhalali na uwazi wa mchakato huu. Mwanachama mmoja wa CCM, ambaye alijitokeza kuwania ubunge, amekataliwa kupitishwa na kamati ya siasa ya wilaya na kamati ya siasa ya mkoa. Hali hii imechochea mjadala mpana, hasa...
  10. funaku

    JamiiForums Tanzania Bila Shaka Mkutano wa Leo wa CCM umedhihirisha uungwaji mkono wa Rais Samia kutoka Viunga vyote vya nchi

    Hata mimi nimejifunza kitu hapa. Yaani iwapo kuna mtu ana mashaka na uungwaji mkono wa Rais Samia ndani ya chama chake basi leo imedhihirika tena mbele ya Dunia kwamba Wajumbe wa Mkutano mkuu wa CCM Taifa wanayo imani kwa mwenyekiti wao. Kwamba hakuna wajumbe wenye sauti ya popo waliojificha...
  11. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Kama unataka kuongeza wagombea ruhusu vikao vya chini vikuletee majina zaidi ya matatu

    Kwa nini Kamati Kuu au Halmashauri Kuu ndiyo iamue Kamati Kuu inataka kuleta udikteta. Kikao cha chini kiseme ,Hawa watu kumi wanataka kuwa Wabunge.
  12. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Kwenye masuala ya kidigitali, CCM imejidhihirisha kua ndio chama cha siasa Baba wa Teknolojia Tanzania

    Kwa mara ya kwanza katika historia ya ccm, mkutano mkuu maalumu wa CCM taifa kidigitali, umefanyika kwa kwa mafanikio makubwa, kwa maelewano na utulivu wa kiwango cha juu sana miongoni mwa wajumbe wa mkutano huo, tena kwa gharama kidogo na muda mfupi sana. Teknolojia imetumiwa ipasavyo na ccm...
  13. Ashampoo burning

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mama Samia Atapita Tu 2025, Lakini CCM Italipa Gharama 2030

    Mwaka huu 2025 Mama Samia atapita tu kwenye uchaguzi, si kwa sababu watu wanampenda sana – la hasha – bali ni kwa sababu mambo yalivyokaa tu. Chadema walishajichimbia kaburi mapema na ka-ideology kao ka “No Reform No Election”. Hiyo hoja ina uzito, lakini ukweli ni kwamba huwezi kuzuia uchaguzi...
  14. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania CCM Yaweka Historia Afrika: Mkutano Mkuu wa Taifa Wafanyika Kidijitali kwa Mara ya Kwanza

    Leo tarehe 26 Julai 2025, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanya Mkutano Mkuu wake wa Taifa kwa njia ya mtandao, kikihusisha takriban wajumbe 2,000 kutoka maeneo mbalimbali ya nchi. Taarifa kutoka ndani ya chama zinadai kuwa huu ni mkutano wa kwanza barani Afrika wa aina hiyo kufanywa kwa njia ya...
  15. Mzalendo2015

    JamiiForums Tanzania CCM Mwaka huu wakitoboa ntatembea kwa miguu toka Mwanza to Dar kwa miguu

    Dalili xote znaonesha chama pendwa Tanzania yaani CCM mwaka huu kinaenda kusambaratika. Mwaka huu tutegemee anguko kubwa la CCM. Uhai wa CCM wa miaka 48 umefika mwisho. Kifo chochote kiwe cha Bin-adamu, iwe ni mnyama,iwe ni mmea au Taasisi yoyote, Mungu ndiye anayepanga. Pamoja na hila zoote...
  16. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania Baada ya machawa kupigwa chini kwenye mchakato, CCM waja na mkakati wa kuwapitisha tena ndiyo maana wakataka majina mengi yaende juu

    Baada ya wajumbe huku chini kideal vizuri na wale waliokuwa machawa, wazembe na waliongia kwenye nafasi za uongozi kwa kubebwa, CCM imeona haiweziishi bila machawa wameona waje na mpango mwingine wa kuhakikisha wanawapitisha huko juu Ili kudharaulisha na kupuuza maamuzi ya wajumbe kwaiyo...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Hakuna kura ya hapana, wajumbe 99.8% walioshiriki wanataka Maboresho ya Katiba CCM

    Wakuu, Haya ndo yanayojiri uko kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa CCM, wajumbe wanataka Mabadiliko Hao watatu wameharibu kura sijui ni kina nani Soma pia: GE2025 - CCM yafanya marekebisho ya Katiba yanayohusisha maamuzi ya Kamati Kuu
  18. R

    JamiiForums Tanzania Picha: Wajumbe wa CCM Wilaya ya Kinondoni washiriki Mkutano Mkuu Maalum, Gwajima hajaonekana

    Wakuu, Aliyekua Mbunge wa Kawe Askofu Gwajima hajaonekana kwenye mkutano mkuu maalum wa CCM, au ndo kashiriki Mtandaoni?
  19. Fanfa

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Samia asipogombea CCM itapata hasara kubwa haijawahi kutokea tangu kiundwe

    Chama cha mapinduzi (CCM) kitapata hasara kubwa sana kama Samia hatagombea Urais kwa sababu zifuatazo; 1. CCM imewekeza kwenye matangazo nchi zima kwa takribani miaka minne sasa kumtangaza Samia. Bill Boards kila kona ya nchi zimejaa. Barabara zimejaa matangazo ya Samia. Huu ni uwekezaji mkubwa...
  20. Griss

    JamiiForums Tanzania CCM wanafanya nini hiki miaka hii ya 2025?

    Picha utafikiri za miaka ya 1914 kwenye Vita kuu ya dunia Picha utafikiri wanamlika samaki kwenye maji? CCM wanashindwa kabisa kuweka technology nzuri Hizi aibu kwa nchi mpaka lini ? Hawajui tupo duniani na dunia inafatilia haya maigizo yao? Ndio maana wakenya wanatucheka tu na kuhaki system...
Back
Top Bottom