ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. DuaZaMama

    GE2025 CCM imefanya maendeleo makubwa hatuwezi kuiondoa madarakani

    Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Alliance for Africa Farmers Party (AAFP), Said Soud Said amesema hawawezi kuungana kukiondoa Chama cha Mapinduzi (CCM) madarakani kwa sababu maendeleo yaliyofanya na CCM ni makubwa. 🗣"ni kwamba niliandaa mimi mwenye binafsi utaratibu wa kuhakikisha...
  2. Just Pray

    GE2025 CCM yawatangaza waliopita kuwania udiwani Buchosa

    Katibu wa CCM Wilaya ya Sengerema, Rashid Semindu, ametangaza majina ya madiwani walioteuliwa kuwania nafasi hiyo katika wilaya ya Sengerema. Aidha, amewakabidhi barua zao za uteuzi na kuwataka waendelee kushikamana ili chama kipate kura za kutosha katika Uchaguzi Mkuu.
  3. Rule L

    Mada fikirishi. Je CCM kugawa vitu mbalimbali kwa wananchi kipindi hiki cha kampeni ni rushwa ama si rushwa???

    Kwasasa ukitembea mitaani utakutana na vitu vingi sana vyenye nembo ya CCM ambavyo watu wamepewa bure ikiwemo baiskeli na pikipiki ambazo zilitoka muda kidogo. Mimi najiuliza kwanini vitolewe kipindi hiki cha kampeni za uchaguzi mkuu?? Je Takukuru iko wapi na kwanini hawahoji hili...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mwenyekiti wa BAZECHA Mbeya: Kama kweli CCM imefanya kazi nzuri kwanini waogope kushindana na CHADEMA

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetajwa kuiogopa CHADEMA kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kutokana na mazingira ya kukibana chama hicho kikuu cha upinzani huku vyama vingine vya upinzani vikionekana kuimarika, kikiwemo ACT Wazalendo na CHAUMMA. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Baraza la...
  5. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 CCM wilaya ya Mtwara yawajibu waliotishia kurejesha kadi zao

    CCM wilaya ya mtwara yawajibu waliotishia kurejesha kadi zao,katibu wa siasa uenezi na mafunzo wa chama cha mapinduzi CCM Hamisi Wanyama anena utovu wa nidhamu
  6. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Wana CCM kata nne za Mtwara, warundisha kadi zao za chama

    Baadhi ya wanachama wa CCM kutoka kata nne zilizopo mkoani Mtwara wamerudisha kadi za uanachama wao wakipinga uteuzi wa baadhi ya wagombea udiwani kwenye kata zao. Uteuzi huo umefanywa na kamati ya halmashauri kuu ya chama mkoani humo baada ya kufanyika kwa kura za maoni.
  7. U

    Ndugu zangu watanzania kwa tabia na mienendo ya baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa leo nimejua kwanini CCM ilijenga vyuo vyake vya Uongozi

    A political leader who behave like anybody that is not a political leader Lack of emotional intelligence and failure to build relationships! Niwatakie mchana usiku mwema
  8. M

    CCM kumtumia mtu kama Kiliba kumjibu public figure kama Gwajima ni kukosa busara za kisiasa

    Yaani mtu kama huyu ambae hata ajaanza kujitegemea kimaisha ndio mnatuma kumjibu Gwajima. This is political poor sense of Thinking. Kama mnamtuma basi mnakosea sana. Muuza Kangala.
  9. J

    GE2025 CCM mmeongoza muda mrefu ya kwenu tumeyaona, wekeni mazingira sawa ili na wengine tuwapime

    Tangu tupate Uhuru, mwaka 1961, mpaka leo 2025 tunaongozwa na Serikali ya CCM. Maana yake Chama hiki ni kikongwe, kimezeeka. Kimetutoa huko na kutufikisha hapa tulipo. Katika kipindi hiki chote Cha utawala wa CCM, yako mazuri lakini pia zipo changamoto zinazotukabili kama Taifa ambapo imefika...
  10. K

    Tatizo lijalo la CCM hawana vijana mahiri kama wa Chadema

    Hivi ukiangalia CCM chama kimajaa wazee wakina Kikwete, Samia. Vijana wengi hawana uwezo Chadema angalia viongozi wao ni vijana
  11. Just Pray

    GE2025 Aliyekuwa Diwani Likotiko achukua fomu kutetea nafasi Gangilonga kupitia CCM

    Diwani wa Kata ya Gangilonga, Mheshimiwa Likotiko Kenyata, leo amechukua rasmi fomu ya kugombea tena nafasi ya udiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya kushinda na kupitishwa na chama hicho katika mchakato wa kura za maoni uliohitimishwa hivi karibuni. Akizungumza mara baada ya...
  12. DuaZaMama

    GE2025 Wanachama wa CCM waandama Ulanga kwa kutoridhia uamuzi wa jina la mgombea nafasi ya Udiwani

    Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) zaidi ya 50 kutoka kata ya Minepa Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro wameandamana katika Ofisi ya Mkoa ya Chama hicho, kwa madai ya kutoridhia uamzi wa jina la mgombea wa nafasi ya udiwani aliyeshinda kwenye kura za maoni kutorudishwa, wakishinikiza kurudisha...
  13. econonist

    CCM imeshindwa kumuua Lissu kwa risasi, imeamua kumuua kupitia mahakama

    Kwa jinsi mahakama ya kisutu kwenye kesi ya Lissu inavyoendeshwa ni kwamba inaendeshwa kwa maelekezo ya serikali ya CCM. CCM huko nyuma walipanga kumuua kwa risasi 16 ila Lissu akapona. Sasa naona wamejipanga kumuua kwa kupitia mahakama. Kuna kila dalili maamuzi yameshapangwa ni mahakimu na...
  14. DodomaTZ

    Dkt. Stergomena Tax akabidhi Ukumbi wa CCM Magu kwa uongozi wa Chama Wilaya baada ya ukarabati

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) tarehe 15 Agosti 2025, ameukabidhi Uongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM wilayani Magu Mkoa Mwanza, Ukumbi wa CCM baada ya kukamilisha maboresho na ukarabati mkubwa. Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo yaliyofanyika...
  15. W

    GE2025 Warudisha kadi za CCM wadai hawatashiriki uchaguzi

    Hali ya kisiasa katika kata ya Msimbati imechukua mkondo wa taharuki, baada ya baadhi ya wananchi kudai kuwa hawatashiriki kupiga kura kufuatia jina la diwani wao kukatwa kwenye mchakato wa uteuzi.
  16. J

    GE2025 Naona kuna hujuma ya kumtoa Mpina ili ionekane Uchaguzi ni kama wa Upande mmoja, CCM iwe makini

    Fikiria kama huyo Luhaga Mpina akiondolewa kugombea Urais Uchaguzi huu, katika kubalance mambo mbalimbali na utamaduni wetu vitaonekanaje? Nahisi hawa hawa ACT wazalendo kuna kamchezo wanafanya kuiumiza CCM Haiwezekani wao kama chama walikubaliana na kumpokea Mpina na kumpa uanachama na...
  17. DuaZaMama

    GE2025 CHADEMA imeaminisha watu kuwa Act-Wazalendo ni CCM 'B'

    Akizungumza na kituo cha redio cha East Afrika leo Agosti 18, 2025, Isihaka Mchinjita, Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Bara, amesema kuwa CHADEMA imefanya kazi kubwa sana katika kujaribu kuuaminisha umma kuwa ACT ni CCM ‘B’ jambo analosema si la kweli bali ni propaganda ya kisiasa. Chanzo...
  18. tonicimmobility

    Hatima ya wabunge CCM kubainika agosti 21 & 23

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza ratiba ya vikao vyake vya kitaifa vitakavyofanyika chini ya Mwenyekiti wa CCM, ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi...
  19. JanguKamaJangu

    GE2025 Sheikh Hameed Jongo: Walioichangia CCM wamechangia Amani na Maendeleo

    Imam wa msikiti wa Manyema jijini Dar es Salaam, Sheikh Hameed Jongo amesema harambee ya zaidi ya Shilingi Bilioni 86 iliyochangwa na watu mbalimbali kwa ajili ya kampeni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea Uchaguzi Mkuu ni ishara kuwa yanayofanywa na serikali ya awamu ya sita yana tija kwa...
  20. M

    Funga ya Novena yaiweka CCM mahali pagumu

    Ni dhahiri CCM sasa imewekwa katika mahakama ya kiroho. Wakiristu Tanzania wako katika funga ya Novena. Na sababu ya funga hii ni kuombea haki na amani. Mara nyingi imezoeleka tu viongozi wa dini wakiomba basi wanaombea amani tu, ila safari hii wanaombea haki pia. Huu ni ujumbe mzito kwa...
Back
Top Bottom