ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. M

    Funga ya Novena yaiweka CCM mahali pagumu

    Ni dhahiri CCM sasa imewekwa katika mahakama ya kiroho. Wakiristu Tanzania wako katika funga ya Novena. Na sababu ya funga hii ni kuombea haki na amani. Mara nyingi imezoeleka tu viongozi wa dini wakiomba basi wanaombea amani tu, ila safari hii wanaombea haki pia. Huu ni ujumbe mzito kwa...
  2. Allen Kilewella

    CCM nisaidieni kutegua hiki kitendawili

    Kuna jambo limekuwa kama kitendawili kwangu, na sielewi tafsiri yake ni nini! Kwenye maisha ya kawaida ya watanzania na huku kwenye mitandao ya kijamii, watu hupata wasiwasi na hatima ya mtu anayeikosoa CCM kuliko anayeikosoa CHADEMA. Imekuwa ni kawaida mtu kuonywa ama watu kuandika maneno...
  3. R

    Serikali ya CCM tuambieni ,mlitoa wapi ujasiri wa kuchukua pesa ya kununua treni na mabehewa mapya,mkatuletea mtumba?

    Salaam! Mlichukua pesa cash toka mkopo mliotukopea kwa ahadi kuwa mtaleta Treni na mabbehewa mapya, Cha ajabu, Mkaleta treni na mabehewa Chakavu kinyume na Sheria za manunuzi zinazotaka sirikali kununua vitu brand new. Cha ajabu,kiongozi Mkuu naye akitoka na KUKIRI kuwa ni kweli ni Chakavu...
  4. L

    GE2025 CCM: Taarifa kwa Umma Juu ya Uteuzi wa Wagombea Ubunge

    Ndugu zangu Watanzania, Hii ni Taarifa kwa Umma kutoka kwa chama kiongozi Barani Afrika yaani CCM,chama chenye kubeba matumaini ya watanzania na chenye uchungu na Maisha ya watanzania. Chama chenye kujali maisha ya watu, chama chenye kuguswa na shida za watu ,chama chenye ajenda na sera...
  5. U

    Leo nimemsikia raia wa nchi Jirani akisema kwa uchungu laiti wangaliongozwa na Chama kama CCM basi changamoto ya vita na ukabila ingalikoma kabisa

    Huyu Mzee wa Makamo wa nchi Jirani nimemuona kwenye mwendokasi huko kimara akiongea kwa hisia kubwa. Anasema hapa kwetu tumekuwa na bahati kubwa kuepuka changamoto walizonazo.huko kwao. Ukweli nilimuonea huruma sana na sikuwa na namna zaidi ya kumfariji pamoja na abiria wengine
  6. Z

    GE2025 CCM tusipende kubeza kila kitu, Kwani kuna mtu alijua Daudi angeliweza kuliua jitu kama GORIATH?

    Kiburi wakati mwingine hakisaidii.2015 CCM iliponea chupuchupu kuangua kwa sababu chadema ilitumia wahuni na wanamitandao kutoka CCM . angalia hapa :Tarehe 29 Oktoba mgombea wa CCM, John Pombe Magufuli alitangazwa na Tume ya Uchaguzi kuwa mshindi wa kura ya rais, akifuatwa na Lowassa wa...
  7. M

    GE2025 Kuna uwezekano wa CCM kuanguka

    Declaration of Interest. Mimi siyo mfanyakazi wa Geti jeusi, ila baada ya kufanya utafiti na mazungumzo kadha wa kadha na vijana wanaofanya kazi hapo, napenda kuleta Habari njema asilimia 80-90% ya hawa vijana wetu kwa sasa hawaiungi mkono Serikali iliyopo, na badala yake wakiwa wajidaliana kwa...
  8. E

    GE2025 Kesi ya Dk Malisa dhidi ya CCM yasogezwa hadi Agosti 19

    Kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na aliyekuwa kada wa CCM, Mchungaji Dkt. Godfrey Malisa iliyokuwa isikilizwe Agosti 14, sasa imesogezwa hadi Agosti 19, 2025. Katika shauri hilo linalosikilizwa na jopo la mawakili watatu, Dkt Malisa anaiomba mahakama kutoa tafasri na uamuzi wa usahihi katika...
  9. Michael Dudicoff

    GE2025 Uhalisia ndani ya harambee ya CCM

    Habari za muda huu. Niende kwenye mada Moja kwa moja. Chama Cha Mapinduzi hakijakosa hela kiasi cha kuandaa harambee ya watu kukichangia pesa za kuendesha shughuli za uchaguzi. Miaka yote chama kimekuwa kikishiriki uchaguzi pasi na kuhitaji watu kukichangia. Lengo kuu la harambee ile ilikuwa...
  10. Abdul Said Naumanga

    CHADEMA yaishitaki YANGA kwa barua kwenda FIFA

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewasilisha malalamiko rasmi kwa FIFA Ethics Committee dhidi ya Klabu ya Young Africans SC (Yanga). Malalamiko hayo yanahusu mchango wa TZS milioni 100 uliotolewa na Yanga kwa chama cha siasa (CCM) katika hafla ya Gala Dinner iliyofanyika Mlimani...
  11. Nyankurungu2020

    GE2025 Luhaga mpina aungwe mkono ili wahuni wa CCM wadhibitiwe kama hayati Magufuli alivyokuwa amewadhibiti

    Mpina apewe urais. Hii ndio kauli ya kila mtanzania mpinga dhuluma. Mpina ni kama hayati Magufuli. Anapigania haki za wanyonge. Akipewa nchi wahuni wa CCM watadhibitiwa na kunyooshwa. Angalia anavyopinga uhuni. Mfano serikali ya CCM kuingia mikataba 47 inayohusu rasilimali za umma bila...
  12. RUKUKU BOY

    GE2025 Kama mwana CCM sipendi Lissu kuwa gerezani

    Mimi ni kada mtiifu wa chama Cha mapinduzi. Sio muumini wa kuandika sana humu, ila napenda kutoa ya moyoni. Sifurahishwi kabisa nchi kwenda kwenye uchaguzi uku kiongozi mkubwa wa upinzani yupo gerezani. Viongozi wangu ata mataifa rafiki wanatucheka kabisa. Hii imesababisha uchaguzi wa mwaka huu...
  13. mcTobby

    GE2025 Tunaposema kwamba CCM itoke madarakani, tumewahi kufikiria Hili?

    Majority uetu tunaweza kujifarijiana kwamba tuipigie kura CCM itoke kwenye kiti cha enzi. Tukiachana na vyombo vya dola kulinda Hii state party (hii ya kuipa vyombo vya dola kuishikilia ccm tusiipe 100%) Je, mchina aliyewekeza hapa Tz tokea miaka ya 60s ataweza kuhimili hasara ya kupoteza...
  14. Tlaatlaah

    Unadhani ni kwanin wapinzani dhaifu kiuchumi hususani Chadema masalia wanaumizwa sana na hali ya CCM kua na wanachama matajiri wa hoja, mali na fedha?

    Nini hasa sababu ya wapinzani kughadhabishwa mno na wanaCCM kukichangia chama chao mabilioni ya fedha ndani ya masaa kadhaa tu? My friends, ladies and gentleman, Chama cha siasa ambacho kimeshindwa na hakiwezi kujikomboa chenyewe kiuchumi kwa mikakati yake na hazina ya wanachama wake, kamwe...
  15. Richard

    Vitendo vinofanywa na CCM na serikali yake vitazidi kuwagawa wananchi na kuvunja upendo, ari na mori kwao na vizazi vyao

    Hadi sasa CCM imefanya vitendo vya kushangaza wananchi wake khasa wale ambao hufuatilia siasa za nchi hii, lakini kwa wale ambao hata kama walikuwa na shauku ya kutaka kushiriki michakato ya kisiasa nchini kwa sasa watakuwa wamekatishwa tamaa ya yote yanoendelea kutendwa na CCM. Israel pamoja...
  16. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 CCM yapitisha wagombea 21 pekee kati ya 163 walioomba Udiwani Moshi

    Katika wagombea 163 waliotia nia kugombea udiwani kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Manispaa ya Moshi ni 21 pekee wamepitishwa kuendelea na mchakato wa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, sawa na asilimia 12.9 ya waliokuwa wakiwania nafasi hizo. Aidha, nafasi za viti maalumu zimechukuliwa na...
  17. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kiongozi aliye timkia CHAUMMA akitokea CCM afunguka kutishiwa

    Diwani mstaafu Petro lobora wa kata ya Themi mkoani Arusha kupitia chama cha Mapinduzi CCM amefunguka baada ya kuhamia CHAUMMA na kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo hiyo ya udiwani katika kata yake hiyo ya Themi.
  18. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 CCM yakanusha matumizi ya namba feki za magari zenye alama SSH 2530

    Chama cha Mapinduzi (CCM) kimekana kuhusika na matumizi ya namba feki za magari zenye alama SSH 2530. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Katibu wa Itikadi, Siasa na Uenezi wa CCM Mkoa wa Arusha, Saipulan Ramsey, alisema chama hicho hakina mamlaka ya kutengeneza vibao vya namba za magari...
  19. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Rosemary Kirigini ahamia ACT-Wazalendo Kutoka CHADEMA na CCM

    Mwanasiasa mwandamizi aliyewahi kuwa Mbunge wa Viti Maalumu CCM mkoa wa Simiyu, Mkuu wa Wilaya ya Meatu na pia Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) Kanda ya Serengeti, Rosemary Kirigini amejiunga na chama cha ACT Wazalendo. Kirigini amejiunga na Chama hicho na kutangazwa mbele...
  20. peno hasegawa

    Katibu wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, azuia barua za Uteuzi wa Wagombea wa CCM , Udiwani Kata na Viti Maalum kwa Majimbo 8,isipokuwa Moshi Mjini

    Katika kikao cha hivi karibuni cha Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Kilimanjaro, katibu wa mkoa, Mercy, alikabiliwa na hali ya kushangaza na kusikitisha. Kikao hicho kilikuwa na jukumu la kukutana na kupitisha majina ya wagombea wa udiwani wa kata na viti maalum kwa kata mbalimbali za mkoa huo...
Back
Top Bottom