ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania GE2025 Unasema unadai haki halafu muda huohuo unasema tar 29 utaifuta CCM. Je, utakuwa umewatendea Haki wanaccm?

    Mpo salama! 1. Sisi watibeli tunachozingatia ni Haki, Haki kwa Kila mmoja. Bila kujali chama chake, itikadi yake, kabila lake au dini yake. 2. Mara nyingi nawasikia wanaharakati wanaosema wanapigania Haki, kama kina Mange Kimambi na wengineo. Hata humu JF wakisema wanapigania Haki lakini muda...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Polepole athibitisha unafiki wa urafiki ndani ya CCM

    Polepole athibitisha unafiki wa urafiki ndani ya CCM! Yaani mtu ambaye mlikuwa karibu hutaki hata kujua hali yake hata baada ya Mama mzazi wake kuongea hujali hata kuuliza na hata kusema basi unamuombea na kumuombea shinikizo aachaliwe. Yaani muongeaji pekee ni Heche!!!! huko CCM kuna binadamu...
  3. Yoda

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM imewezaje kudumisha propaganda ya kisiwa cha amani kwa miaka 60?

    Ukiwasikiliza watu wa CCM wanapoiongolea Tanzania kama kisiwa cha amani kila mara wakati wa uchaguzi unaweza kufikiria ni jambo la kipekee sana linaloitofautisha Tanzania na nchi nyingine au unaweza kufikiri ni kisiwa kumbe pembeni yake tu kuna nchi za Zambia na Malawi ambazo zimekuwa na siasa...
  4. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania GE2025 Gombo: CCM ipo kama kiini macho, haina makosa wananchi ndio wenye makosa

    Mgombea urais kupitia CAF Gombo Samandito ametema cheche akiwa pale wasafi ni balaa tupu
  5. Trainee

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi au siyo sahihi: Bango la mfano wa "karatasi ya kupigia kura ya urais" lililotumiwa na CCM kwenye kampeni Mwanza?

    Naomba nijifunze kupitia nyinyi, tiririka hoja zako hapo kisha weka kwa muhtasari tu kuonesha walikuwa sahihi au hawakuwa sahihi. Lugha ngumu (matusi, dharau, kebehi na mfano wa hayo) marufuku!!! 1. Ni sahihi 2. Siyo sahihi
  6. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hawa Mwaifunga: CCM ndio chama chenye hela na ndicho chenye ilani na bajeti, kichagueni mpate maendeleo

    Mgombea wa nafasi ya Ubunge jimbo la Tabora mjini kwa tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) Hawa Subira Mwaifunga amekutana na kuzungumza na kikundi cha wanawake na Samia mkoa wa Tabora; Ambapo amewashauri kuendelea kukiamini na kukichagua tena Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa madai kwamba ndio...
  7. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania GE2025 Asalaleee Tarehe 29 Oktoba ni Tanzania Mpya !!! No more Wahuni, No more Watekaji, No more CCM , No More Wanamtandao!! Ni Tanzania Mpya

    Wakuuu , Acheni hawa Wapuuzi wawateke watu waloamua kuelezea Hisia zao Mtandaoni !!. Waacheni Waendelee kumsumbua LISSU na kesi ya mchongo !!. Nguvu yao Iko wazi , Hawana Nguvu Tena , Tumeshawajua wote Kwa Mihuri yao !!. Sisi Nguvu zetu haziko Wazi ila ni nguvu DHAHIRI , PAWA KWELIKWELI...
  8. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kwanini wana CCM bado wanatumia JF wakisema imetumika vibaya na wanatumia

    Lucas Mwashamba ambaye nashangilia kuhusu ufungwaji wa vyombo vya habari ila ni mmoja kama walivyo idara kubwa za serikali wakitaka kuonesha comment ni kimya. Hawa watu wanatumia mamilioni ya simu ambayo kwa sasa china inaitwa nzi ambayo google imeshagundua wanatengeneza server inabeba simu...
  9. Damaso

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kampeni za siasa zimewageuza watoto wetu vinyago vya mpapule?

    Kuna jambo la kusikitisha linalojitokeza tena na tena kila msimu wa kampeni nchini Tanzania—watoto wa shule za msingi na sekondari kulazimishwa kutokwenda shule na kuhudhuria mikutano ya kisiasa ya chama tawala, CCM, ili “kujaza umati”. Watoto hawa wakiwa bado wadogo, wasio na uelewa wa siasa...
  10. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Makonda na 'kampeni za kifahari' kuliko wagombea wengine wa CCM, Je, anatuma ujumbe gani?

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaendelea na kampeni katika mikoa mbalimbali, na kwa sasa wametia mguu wao huku Kanda ya Ziwa. Ukiachana na mambo kadhaa yanayoacha tafakuri kuhusu mwenendo mzima wa kampeni, yapo mambo mawili yanayonifanya nijikune kichwa, kama siyo kushika tama. UKWASI WA MAKONDA...
  11. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Tutaheshimisha nchi yetu tukiwa na amani, tukifanya uchaguzi bila matatizo

    Akizungumza leo Jumanne, Oktoba 7, 2025, katika Wilaya ya Sengerema, jijini Mwanza, Dkt. Samia amesema: “Tutaheshimisha nchi yetu tukiwa na amani, tukifanya uchaguzi bila matatizo, vurugu au zogo. Tutaheshimisha nchi yetu tukizingatia sheria zetu, tukitafuta haki na kila mtu akapata haki yake.”
  12. S

    JamiiForums Tanzania CCM na jumuiya zake zote kimyaaa! Aliyekuwa mwenezi wa CCM ametekwa lakini hawatoi hata tamko. Wamekubali chama Chao kutekwa na wahuni

    Inasikitisha, inaogopesha na kuogofya sana. Wahuni wameiteka ccm na wanaCCM wameufyata. 1. Mwenyekiti wao akiwa madarakani (Magufuli) aliuliwa na wahuni kama alivyosema Polepole, lkn ccm kimyaaa! 2. Aliyekuwa mwenezi wa CCM, ni zaidi ya masaa 24 yamepita tangu atekwe, CCM kimyaaa! Hakuna...
  13. M

    JamiiForums Tanzania JWTZ watajifanya hawajamuona kisa kasimama kwenye Jukwaa la CCM

    Kuna huyu msanii anaitwa Magambo, akitumbuiza katika mkutano wa kampeni za CCM mbele ya Samia Suluhu, ameonekana akiwa kavaa suruali yenye muonekano kama ya Jeshi. Ni kosa kuvaa nguo zenye mfanano sawa na majeshi ya nchini na kuna kipindi fulani tulisumbuliwa sana, nikiwepo mimi chupuchupu...
  14. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania GE2025 Katika sifa na tabia hizi alizowekewa Samia, kiuhalisia ana zipi kati ya hizi ukitoa na mfano?

    Wakuu, CCM wametoa bandiko kuonesha sifa za mgombea wao Samia, na kwanini Watanzania wamchague. Kwamba Samia ni: 1. MNYENYEKEVU 2. MPENDA HAKI 3. MCHAPA KAZI 4. MZALENDO NAMBA MOJA 5. ANAPENDWA NA WENGI 6. MWENYE UTU 7. MTETEZI WA WANYONGE :KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh: Kiuhalisia ni sifa...
  15. Tajiri wa kinyankole

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole pamoja na kutekwa ninaamini watekaji hawatomfanya kitu. Ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama na CCM (ukitoa Polisi) ana kishindo kikubwa

    Vyombo vya habari tangu jana vimeripoti aliyekuwa balozi nchini CUBA hampfrey polepole kutekwa na kupelekwa. kusipojulikana na shuhuda mmoja ambaye alijitambulisha kwa jina la augustino polepole alimtaja waziwazi mhusika mkuu wa utekaji kuwa ni mtu mmoja ajulikanaye kwa jina la MAFWELE hata hivo...
  16. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania Hivi CCM wanapata wapi nguvu za kuendelea na kampeni wakati kuna mtanzania hajulikani alipo?

    Nakishangaa sana chama cha mapinduzi CCM kinapataje nguvu yakuendelea na kampeni na wakati hatujui na wala wahajasema yuko wapi Polepole ina maana kampeni ni muhimu kuliko uhai wa Polepole? au ni dharau tu kwamba hakuna kitu watanzania tunaweza kufanya? Hapo utaona kuna wasanii wataanza kuimba...
  17. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kasesela: Ukichukua maoni ya mtandao ukageuza ndiyo maoni ya taifa unajisumbua

    Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Richard Kasesela ametoa wito kwa watu kutotafsiri maoni ya mtandaoni kama ndiyo maoni ya taifa zima. Haya ameyasema baada ya kuulizwa juu ya uwepo wa maoni hasi(negative comments) kwenye baadhi ya machapisho yanayohusu vifo vya makada wa CCM. "ukichukua...
  18. Superbug

    JamiiForums Tanzania Hata kama Hali itatulia CCM hawatakuja tena na uwezo wa kuwafokea Watanzania

    Kwa haya yanayoendelea hasa huko jeshini, CCM imepoteza kujiamini kwake Kwa asilimia kubwa sana. Hawawezi tena kuwakoromea wananchi kibabe. Maana jeshi limeshaonyesha halipo na CCM ila lipo na wananchi. Hii itafanya CCM iwe mpole na asiye jiamini tena.
  19. britanicca

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Jeshini kwa moto: Wakataa kutumika kisiasa na wanahoji kwanini Magari ya Jeshi yanapigwa Chata za CCM pale Keko?

    Tanzania Hii wasio na vyeo ndo wanaweza ikomboa, achana na hawa ambao wana vyeo na wana access ya ikulu hao wanaona wana cha kupoteza, Ila vijana zaidi ya 320 ndani ya jeshi na wenye ushawishi wanahoji kwanini UVCCM na CCM imeingilia shughuli za jeshi na kuanza kupeleka magari ya jeshi keko...
  20. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tamaa za muda mfupi zinaondoa utu kwa wasanii wengi na machawa wa CCM na yule mama yao

    Kipindi hiki cha uchaguzi pesa zinamwagwa si mchezo ili kuhakikisha mama yule anapita kwenye uchaguzi mkuu japo hakuna anayeshindana naye. Utu umewatoka wasanii na machawa wa ccm kujifanya hawaoni yanayoendelea nchini, damu za watu zinavyozidi kumwagika wao ndio kwaaaanza wanashangilia na...
Back
Top Bottom