ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. D

    Mgombea wetu wa urais JMT kwa tiketi ya CCM yuko wapi? Leo alitakiwa awe Iringa mjini akimchachafya Msigwa

    Mgombea wetu wa urais JMT yuko wapi? Amebuni mbinu mbadala ya kufanya kampeni? Au anajizuia kukasirika kutokana na mambo fulani fulani? Leo alitakiwa awe Iringa mjini.
  2. Crocodiletooth

    CCM inakosea sana pale inaposema vitambulisho vya machinga sio vya lazima

    Chama langu halipaswi kujichanganya juu ya suala hili kamwe, aidha kusema wajawazito kujifungua ni bure au watoto chini ya miaka mitano matibabu ni bure nasem ahivi kwa sababu ndani ya mda mfupi tu uliopita haya yalikuwa ni mambo ambayo yalikuwapo na baadhi yalitiliwa mkazo kweli kweli,kuhusu...
  3. N

    Yale majimbo ambayo ccm walipita bila kupingwa, wananchi bado mnatakiwa mjitokeze kupimgia kura Tundu Lissu

    Yale majimbo ambayo ccm wamejipa ushindi, wananchi October 28, 2020 nendeni mkampigie kura Tundu Lisu Kwasababu ccm tayari wameshajipa ushindi, hawachaguliki Kumbukeni wao watateuana na ndio utamaduni wao Tundu Lisu anaomba kura zenu, msije ziharibu kwa kuwapigia ccm ambao wamesha shinda...
  4. Fantastic Beast

    GE2020 Sitaki kuamini CCM hawakuyaona haya

    Kwamba hawakuwaza wakijibandika kwenye mabango peke yao nchi nzima watachokwa machoni pa watu na watapoteza mvuto machoni na hata mioyoni mwa watu. Kwamba kufanya siasa peke yao kwa miaka 5 kutafanya wananchi wawe na njaa & kiu kubwa sana ya kusikiliza upande wa pili wa shiling. Kwamba kizazi...
  5. Pundo

    GE2020 Jiji la Mwanza lasimama usiku kwa ujio wa Tundu Lissu - Septemba 25

    Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Baghosha...![emoji23][emoji23][emoji23] Siandiki waraka hapa. Kwakifupi Leo watu wa Mwanza wameamua kuonesha hisia zao za kumpenda Rais Tundu Lissu usiku huu kwa kuandamana hadi alipofikia. Maelfu ya watu hawa yanaibua hisia kali juu ya kile kinachosemwa serikali hii...
  6. M

    Napenda CHADEMA na ACT waibiwe kura na wasitangazwe ushindi, CCM watangazwe ushindi

    Uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi ulianza mwaka 1995. Hivyo hadi leo tuna miaka 25 ya uzoefu uchaguzi. Mwaka 1995 tulisema Mrema kaibiwa kura. Mwaka 2005 Freeman Mbowe aliyegomea urais alikuwepo hata wakati Kikwete anatangazwa kuwa mshindi. Mwaka 2010 tukasema Dr. Slaa kaibiwa kura. Mwaka 2015...
  7. MAHANJU

    GE2020 CCM twendeni taratibu, Tundu Lissu hayupo peke yake. Atatushinda!

    Nataka niseme kwamba tusijifanye kuziba masikio, Tundu Lissu kupigwa Risasi 16 na kuamka kisha kuendelea na shughuli zake huu ni muujiza tusiupuuze, siyo hali ya kawaida hii. Nataka niwaambie wanaCCM wenzangu kama kuna mtu yupo ndani yetu alihusika na kupigwa na kuumizwa kwa Tundu Lissu huyu...
  8. S

    CCM ikianguka, Diamond naye lazima umaarufu wake utaathirika kwa kushuka au kuingia doa humu nchini

    Anguko la CCM, iwapo litatokea kama dalili zinavyoonyesha, litakuwa na serious far-reaching repercussions, mojawapo itakuwa ni kuathirika kwa watu wote ambao kwa namna moja au nyingine, walijitoa kutetea au kuipiga kampeni CCM iwe kwa malipo au vinginevyo. Kwa msingi huo, Diamond ni mmoja wa...
  9. scatter

    GE2020 Nini maana CCM kuwashirikisha Wasanii katika Kampeni? Je, ni uzalendo?

    Habari zenu wadau, Kipindi kampeni zikiendelea kushika kasi kuna kitu kusema ukweli sisi kama Watanzania tuna tafakari mara mbili mbili hasa aina ya kampeni zinazofanyika na chama cha CCM. Kumekuwa na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, wasanii wa maigizo ambao wameshirikishwa...
  10. M

    GE2020 Naipenda CCM, Sipendi yanayojiri

    Ninakipenda sana chama changu cha CCM, lakini sifurahishwi na yanatoendelea: 1. Kwa mara ya kwanza campaigne ya Urais na Wabunge haina muelekeo. Magufuli umefeli sana na kukiharibu chama kwa kuwashirikisha vijana/ watu wasio na ujuzi wa namna kampeni zinavyoendeshwa. 2. Magufuli chukua hatua...
  11. Lord Denning

    GE2020 Kwanini huu ndio Uchaguzi Mgumu zaidi kwa CCM?

    Amani iwe nanyi wadau Kama mada inavyojieleza hapo juu, hizi ndo sababu za Kwa nini Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu ndo uchaguzi Mgumu zaidi kwa CCM? 1. Mwaka 2015 Chadema walikuwa na mgombea aliyependwa na watu Lowassa Ila hakuwa mgombea makini CCM waliweza kumchafua sana Lowassa kutokana na...
  12. YEHODAYA

    GE2020 Leo ni mwezi mmoja kamili toka kampeni zianze, CCM tu ndio inanadi Sera na Chama wengine wanajinadi wao binafsi kuwa nichague mimi

    Kampeni ni kunadi Sera na chama ili chama kishike dola. Leo ni mwezi mmoja kamili toka kampeni zianze CCM tu ndio inanadi sera na chama wengine wanajinadi wao binafsi kuwa nichague mimi. Kampeni kwao zimejikita zaidi kwenye u imimi sio chama ndio maana tunaona hata vyama vingine kama Chadema...
  13. B

    GE2020 Maajabu ya kampeni za CCM, Dkt. Magufuli atema cheche

    Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada. Kampeni zikiendelea, mgombea wa CCM ameonyesha alivyodhamiria kuiboresha nchi vilivyo hata kuwa na barabara bora kabisa: Hata hivyo barabara hii ilikuwapo pia katika ahadi za 2015. Si haba, "chelewa ufike" japo waswahili pia...
  14. K

    GE2020 CCM wamemwachia Magufuli fupa la Doto James na Mayanga Construction alitafune mwenyewe!

    Doto James, Bwana Malipo Mkuu wa serikali Ni kaa la moto! Hakuna mtu anaetaka kuligusa. Wazungu wanaita "third rail," kwa sababu reli ina mitarimba mitatu: miwili inatambaa sambamba ardhini, yenyewe unaweza kuigusa, kuichezea na hata kuing'oa wakati wowote ili mradi treni halipiti na...
  15. B

    GE2020 Maajabu ya kampeni za CCM, Mwigulu naye acharuka

    Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada. Siku za kampeni ndiyo hizo zinayoyoma. Kampeni nazo haiishi viroja. Mwendo ni bandika bandua. Mmoja baada ya mwingine. Sikia mheshimiwa huyu Ninawasilisha.
  16. PAZIA 3

    CCM na Serikali imewaaminisha wananchi wizi kuwa halali katika mambo yafuatayo

    - Wanafunzi wa form 6 kulipia mtihani kwa gharama kubwa ya elf 50 - Maji kuuziwa unit 1 kwa Bei ya kuanzia 800- 1200 - Wajawazito kununua vifaa vya kujifungulia - Kulipia gharama za kununua kiwanja cha makazi au shamba kwa mwenyekiti wa mtaa/ kitongoji - Kusajili shule au taasisi lazima...
  17. MAHANJU

    CCM kumuita Lissu kibaraka wa mabeberu haitusaidii. Watanzania ni waelewa sana

    CCM let's be matured, hii propaganda ya kumuita Tundu Lissu kibaraka wa mabeberu imebumba tutafute neno lingine zuri la kummaliza. Kutumia hili neno hakujabadili kitu kabisa mtaani kila ninapopita sioni sehemu yeyote akiitwa Bebebru zaidi ya kuitwa Mkombozi, mimi sijui ni mkombozi wa nini...
  18. Erythrocyte

    GE2020 Kata kwa Kata: Daniel Naftari aendelea kuimaliza CCM jimbo la Kwela

    Mgombea ubunge wa Chadema anayetarajiwa kushinda jimbo la Kwela Mh Daniel Naftari, ameendelea kuelimisha umma, ambapo amewaambia wananchi kwamba kuikumbatia CCM ni sawa na kukumbatia umasikini. Ametoa mifano hai kwa kuwaomba wananchi hao waangalie umasikini wa kutupwa kwenye majimbo...
  19. Q

    GE2020 Karata ya mwisho ya CCM ni kuahirisha uchaguzi na sio kuiba kura

    CCM ilianza mapema kutafuta kura, ilianza na mbinu ya kuzuia vyama vingine na wagombea wao kujitangaza akabaki Magufuli peke yake, ikaja na mbinu ya kununua wapinzani waliyoshauriwa na Polepole na KM Bashiru, CCM ikautumia uchaguzi wa serikali za Mitaa kuwahujumu wapinzani. CCM walijua wagombea...
  20. K

    GE2020 CCM walijikita kununua wapinzani wakaacha kuwekeza kwa wapiga kura

    Natabiri kuondolewa kwa katibu Mkuu CCM na katibu Mwenezi wa CCM Mara tu uchaguzi utakapomalizika. Chama dola hakiwezi kuishi kwa kutegemea dola pekee bali kinapaswa kuyaishi wanayowaza na kuyataka wananchi. Chama dola kilichojikita kutegemea dola hudhalilika ifikapo kipindi Cha kampeni, leo...
Back
Top Bottom