Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,502
- 4,408
Hayati Rais Magufuli alikuwa anapenda kutumia kauli"msema kweli ni mpenzi wa Mungu..." akimaanisha vitendo viovu vilivyokuwa vinaendelea na waliopewa madaraka kukaa kimya bila kusema ukweli.
Ukiachana na ukweli kwamba kila binadamu ana madhaifu yake ambayo yanamfanya kutokuwa mkamilifu lakini vijana hawa wawili Nape na January wakijiona wakamilifu na kujaribu kujitoa kwa kila hali iliyokuwa inaendelea. Swali la kujiuliza , Je kelele wanazopiga wangekuwa ni mawaziri wangeongea? Nakisia jibu lingekuwa ni hapana, wanafanya hayo kwa unafiki.
Naamini tarehe 30/04/2021 si mbali na kwa hakika ni siku ninayoisubiri kwa hamu kushuhudia unapokwenda kukabidhiwa rungu zito la kulishusha kwa wanafiki hakika mama nitakubali kila uamuzi utakaofanya au kuchukua kama mwenyekiti wa CCM ukipewa uenyekiti hususani kudhibiti harakati za hawa vijana.
Nakuomba siku ukipewa mamlaka hiyo itumie kujenga mfumo imara wa chama na kuacha mfumo wa mtu kujulikana kwa asili yake bali kwa utendaji wake nasi tutakuwa pamoja kwa kila hatua ndugu mwenyekiti mtarajiwa wa CCM.
Pia, ikikupendeza naomba miongoni mwao hao vijana asipewe hata mmoja nafasi ndani ya Chama ili kuwadhibiti na kuwaweka kwenye uangalizi mkubwa. Watu wenye kariba ya mzee Mangula ndio watawamudu hao vijana ambao ni tishio la mgawanyiko na makundi ndani ya chama.
Pia, ndugu mwenyekiti mtarajiwa tunaomba tuletewe watu wenye kariba ya mzee Mangula kwenye nafasi ya ukatibu mkuu wa CCM .
Ukiachana na ukweli kwamba kila binadamu ana madhaifu yake ambayo yanamfanya kutokuwa mkamilifu lakini vijana hawa wawili Nape na January wakijiona wakamilifu na kujaribu kujitoa kwa kila hali iliyokuwa inaendelea. Swali la kujiuliza , Je kelele wanazopiga wangekuwa ni mawaziri wangeongea? Nakisia jibu lingekuwa ni hapana, wanafanya hayo kwa unafiki.
Naamini tarehe 30/04/2021 si mbali na kwa hakika ni siku ninayoisubiri kwa hamu kushuhudia unapokwenda kukabidhiwa rungu zito la kulishusha kwa wanafiki hakika mama nitakubali kila uamuzi utakaofanya au kuchukua kama mwenyekiti wa CCM ukipewa uenyekiti hususani kudhibiti harakati za hawa vijana.
Nakuomba siku ukipewa mamlaka hiyo itumie kujenga mfumo imara wa chama na kuacha mfumo wa mtu kujulikana kwa asili yake bali kwa utendaji wake nasi tutakuwa pamoja kwa kila hatua ndugu mwenyekiti mtarajiwa wa CCM.
Pia, ikikupendeza naomba miongoni mwao hao vijana asipewe hata mmoja nafasi ndani ya Chama ili kuwadhibiti na kuwaweka kwenye uangalizi mkubwa. Watu wenye kariba ya mzee Mangula ndio watawamudu hao vijana ambao ni tishio la mgawanyiko na makundi ndani ya chama.
Pia, ndugu mwenyekiti mtarajiwa tunaomba tuletewe watu wenye kariba ya mzee Mangula kwenye nafasi ya ukatibu mkuu wa CCM .