kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,298
- 12,600
Awamu ya tano ilimalizia kuiua CCM iliyokuwa tayari imepigwa jembe la mgongoni na Edward Lowassa alipohamia Chadema.
CCM ya kweli haiwezi kuwa na viongozi aina ya Mh. Polepole na Mh. Bashiru kama watendaji wakuu na kuwafungia nje wenye CCM yao. CCM halisi haiwezi kuwadhalilisha watu kama Kinana, Yusufu Makamba, Nape na wengine kutokana na michango yao kwenye siasa za CCM.
Awamu ya Mh. Magufuli R.I.P haikuamini nguvu ya CCM bali jina lake tu. Walihitaji jina la CCM lakini sio nguvu ya CCM kwenye siasa zao.
Kuondoka kwa Rais Magufuli CCM pia inayo kazi ya kufanya ya kuirudisha CCM kwa wenyewe. Ndiyo maana hata mafanikio ya JPM yanakutana na changamoto kutoka ndani na nje ya CCM baada ya yeye kuondoka.
Bahati yao kubwa ni kumpata Rais Samia ambae sio mwanacha wa kundi hili na kundi lile la CCM Bars, vinginevyo tungeshuhudia makubwa kwwnye vikao vyao.
Imekufa anakosekana wa kusema imekufa.
CCM ya kweli haiwezi kuwa na viongozi aina ya Mh. Polepole na Mh. Bashiru kama watendaji wakuu na kuwafungia nje wenye CCM yao. CCM halisi haiwezi kuwadhalilisha watu kama Kinana, Yusufu Makamba, Nape na wengine kutokana na michango yao kwenye siasa za CCM.
Awamu ya Mh. Magufuli R.I.P haikuamini nguvu ya CCM bali jina lake tu. Walihitaji jina la CCM lakini sio nguvu ya CCM kwenye siasa zao.
Kuondoka kwa Rais Magufuli CCM pia inayo kazi ya kufanya ya kuirudisha CCM kwa wenyewe. Ndiyo maana hata mafanikio ya JPM yanakutana na changamoto kutoka ndani na nje ya CCM baada ya yeye kuondoka.
Bahati yao kubwa ni kumpata Rais Samia ambae sio mwanacha wa kundi hili na kundi lile la CCM Bars, vinginevyo tungeshuhudia makubwa kwwnye vikao vyao.
Imekufa anakosekana wa kusema imekufa.