stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,384
- 3,494
- kiufupi niseme tu kama kuna chama chenye mbinu za siasa hii nchi basi ni CCM peke yake.
CCM walimtumia Lowasa 2015 kufanya mission yao (nikiri kwamba hapa ndipo nlipo hama upinzani rasmi kwa sababu hazikua akili za chama kimoja bali kulikua na ukawa so its safe to say akili za upinzani zko sawa) , upinzani uliwanadi ccm bila kujua na hatimae ccm walipata ushindinikianza kwenye miaka ya 2000 wakati nkiwa mkereketwa wa upinzani kwa sababu skuwahi kumpenda kikwete na utawala wake,
Mpaka leo 2021 uungwaji wa mkono kwa mama samia kutoka kwa upinzani ni mkubwa kuliko hata ndan ya chama chake mwenyewe, yale yote ya lissu yamewekwa pemben na mama samia amekua shujaa, mpaka nnavoongea sasa hivi hakuna mpinzani ambae hajakiri imani yake kwa samia, very pathetic! uzuri wa ccm hua ni watu wa statistics ukiachana na mambo yao maovu kama rushwa its safe to say, CCM ina miaka 60 tena mbele!
Yale maneno ya baba wa taifa kwamba upinzani wa kweli utatoka CCM kwa wenyewe basi ndo unaoendelea kuonekana mpaka sasa
hawa ni enzi ya ccm ikiwa upinzani