Kwenu,
Nimekuwa nikifuatilia sana tabia za wanasiasa wa Tanzania hasa wanaCCM.
Toka enzi za akina Mrema wa NCCR-Mageuzi,kisha TLP lakini akionesha bayana kuwa moyo wake uko CCM,Nsanzugwako,Wasira na wengineo waliokuwa moto wakiwa NCCR-MAGEUZI,kisha wabunge waliokosa ubunge CCM wakakimbilia...