Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Kati ya viongozi wote wa CCM ni yupi anaweza akatuhumiwa kisiasa akakamatwa na kuwekwa ndani kisha akavumilia kukaa huko akisubiri haki itendeke bila kutuma watu Kwa viongozi waandamizi wakamwombee msamaha?
Yupi mwenye uchungu na Wananchi kiasi kwamba anaweza kuweka Taifa mbele na kuachana na nafamilia au mishahara ya serikali wanayolipwa?
Kiongozi gani wa ccm ambaye anaweza kutoka adharani na kusema kuoubali kila kitu cha mkubwa SIYO uzalendo Bali utumwa? Kiongozi gani anaweza akatoka nakusema Ili nchi iende lazima ukosoaji uwe mkubwa kusaidia panapovuja kujuikana?
Yupo wapi kiongozi wa CCM mwenye uchungu na wananchi ? Yupi anawatetea wananchi liwe jua au mvua? Tuntaje kama yupo.
Yupi mwenye uchungu na Wananchi kiasi kwamba anaweza kuweka Taifa mbele na kuachana na nafamilia au mishahara ya serikali wanayolipwa?
Kiongozi gani wa ccm ambaye anaweza kutoka adharani na kusema kuoubali kila kitu cha mkubwa SIYO uzalendo Bali utumwa? Kiongozi gani anaweza akatoka nakusema Ili nchi iende lazima ukosoaji uwe mkubwa kusaidia panapovuja kujuikana?
Yupo wapi kiongozi wa CCM mwenye uchungu na wananchi ? Yupi anawatetea wananchi liwe jua au mvua? Tuntaje kama yupo.