Inawezekana kila tunalolifanya, hamtuelewi au mnapotoshwa na hivi vyama uchwara na baadhi ya wasaka tonge,mbali ya ilani zetu kedekede ambazo zinazidi kufurika hadi hatuna pa kuziweka, bado tunaona Watanzania wamejawa na shauku ya kama kuna jambo wanalihitajia ili waone tumefikia kule tunakokwenda.
Wewe kama Mtanzania ulie huru tuwekee hapa unaloliona hili likitimizwa na Serikali yetu adhwimu inayoongozwa na Raisi Mlezi mama Samia Suluhu Hassan basi mambo si mabaya, huko tunakoelekea njia nyeupe na tutanenepeana kwa raha na furaha.
msiwasikilize hawa Wapinga Maendeleo ambao ni wagagagigikoko waliomcheka Bulicheka ambae alivuka bahari kwa meza,CCM imebeba matarajio ya WaTanzania ukilinganisha na wapinzani wanaoishia behind bars kwa kushindwa kuvumilia na wamejawa na tamaa.
Wewe kama Mtanzania ulie huru tuwekee hapa unaloliona hili likitimizwa na Serikali yetu adhwimu inayoongozwa na Raisi Mlezi mama Samia Suluhu Hassan basi mambo si mabaya, huko tunakoelekea njia nyeupe na tutanenepeana kwa raha na furaha.
msiwasikilize hawa Wapinga Maendeleo ambao ni wagagagigikoko waliomcheka Bulicheka ambae alivuka bahari kwa meza,CCM imebeba matarajio ya WaTanzania ukilinganisha na wapinzani wanaoishia behind bars kwa kushindwa kuvumilia na wamejawa na tamaa.