Kesi ya akina Mbowe ina manufaa gani kwetu CCM, mbona haitupi any political mileage?

CCM Music

JF-Expert Member
Dec 5, 2018
1,036
1,782
Wana CCM mliopo mtandaoni.

Ni kweli wapinzani hawana ajenda na bawajawahi kuwa nayo zaidi ya blah blah tu.

Lakini, nasema lakini sisi wana CCM kupitia CCM Maslahi ndio tunawapa hawa wapinzani cha kutusumbua nacho.

Mfano: Hii kesi ya kijinga ya Mbowe ina manufaa gani sasa ki siasa kwetu CCM?

Sawa, ni kweli Mbowe ni tishio kwetu lakini sisi ni wakubwa zaidi ya Mbowe tungeweza kum contain kisayansi tu. Ona sasa badala ya sisi kupata political mileage kwa kumtia gerezani yeye ndo anapata political mileage nyingi mno!

CCM Maslahi wataizika hiki chama muda si mrefu then wanahamia kwingine. Time will tell!
 
Wengi wanajua km Mbowe anafadhaika SANA kuwa gerezani, lkn ukweli ni kwamba Mbowe anafurahia sana kuwa gerezani kuliko kuwa mtaani aki organize masuala ya katiba mpya.

Mbowe hapo anafanya siasa ki sayansi sana kwa gharama kubwa ya CCM
 
Kesi hii inadhihirisha ule usemi kuwa CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu
 
Wengi wanajua km Mbowe anafadhaika SANA kuwa gerezani, lkn ukweli ni kwamba Mbowe anafurahia sana kuwa gerezani kuliko kuwa mtaani aki organize masuala ya katiba mpya.

Mbowe hapo anafanya siasa ki sayansi sana kwa gharama kubwa ya CCM
Yaani upande mmoja manyunyu ya mvua,upande wa pili mvua kubwa hadi samaki wameanza kuonekana
 
Umeona sasa huyu ameandika jambo la maana hapa

Jana kuna mtu nimemwambia mimi ni CCM akaanza kushangaa kisa ameona nikipinga baadhi ya mambo ya kijinga serikali inafanya ikiwemo hii kesi ya Mbowe

Wanampa Mbowe umaarufu ambao hata hakustahili sababu ya upumbavu wao
 
Wana CCM mliopo mtandaoni.

Ni kweli wapinzani hawana ajenda na bawajawahi kuwa nayo zaidi ya blah blah tu.

Lakini, nasema lakini sisi wana CCM kupitia CCM Maslahi ndio tunawapa hawa wapinzani cha kutusumbua nacho.

Mfano: Hii kesi ya kijinga ya Mbowe ina manufaa gani sasa ki siasa kwetu CCM?

Sawa, ni kweli Mbowe ni tishio kwetu lakini sisi ni wakubwa zaidi ya Mbowe tungeweza kum contain kisayansi tu. Ona sasa badala ya sisi kupata political mileage kwa kumtia gerezani yeye ndo anapata political mileage nyingi mno!

CCM Maslahi wataizika hiki chama muda si mrefu then wanahamia kwingine. Time will tell....!
Akina Mpango na Mwigulu
 
Umeona sasa huyu ameandika jambo la maana hapa

Jana kuna mtu nimemwambia mimi ni ccm akaanza kushangaa kisa ameona nikipinga baadhi ya mambo ya kijinga serikali inafanya ikiwemo hii kesi ya Mbowe

Wanampa Mbowe umaarufu ambao hata hakustahili sababu ya upumbavu wao
CCM iliishia kwa Kikwete hawa wengine wote ni balaa tupu
 
Back
Top Bottom