Kuna msemo unasema CCM ina wenyewe, hao wenyewe ni akina nani?
Kila kikundi/chama kina waanzilishi wake ambao ndio huwa Na sauti Na heshima kubwa mbele au nyuma ya pazia. Sauti Na heshima hizo huwa zinarithishwa kwenye kizazi cha waanzilishi hao. Chadema, NCCR, ACT, Chauma, NRA, TLP, nk...