GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,874
Uzembe wetu na kufungwa kipumbavu na Azam FC juzi umeshatugharimu na leo ndiyo tunaenda rasmi kuachwa kwa alama (points) tatu (3) na Yanga SC.
Na hata kesho kuna uwezekano Mtibwa Sugar FC naye akatudindia na gap likaendelea kuwa la alama (points) tano (5). Na ndiyo maana GENTAMYCINE kwa kujiamini kabisa nasema kuwa hata msimu huu Yanga SC wanaenda kuwa mabingwa tena.
Imeisha hiyo!
Na hata kesho kuna uwezekano Mtibwa Sugar FC naye akatudindia na gap likaendelea kuwa la alama (points) tano (5). Na ndiyo maana GENTAMYCINE kwa kujiamini kabisa nasema kuwa hata msimu huu Yanga SC wanaenda kuwa mabingwa tena.
Imeisha hiyo!