saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 602
- 1,407
Gazeti la Raia Mwema la leo Oktoba 31,2022 limeweka wazi Siri nzito baada ya Chama cha Mapinduzi kunusa mchezo mchezo mapema na kuahirisha vikao vya mchujo.
Wajumbe, wagombea wa mikoa waondoka Dodoma, wapagawa.
Lakini kwenye gazeti hilo limemtaja Januari Makamba kuwa ni miongoni mwa wagombea wa nafasi nyeti ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu (NEC).
Kwenye orodha hiyo ya gazeti la Raia Mwema kwa upande wa Mawaziri ni Januari Makamba pekee anayetegemewa kupitishwa na vikao.
Wajumbe, wagombea wa mikoa waondoka Dodoma, wapagawa.
Lakini kwenye gazeti hilo limemtaja Januari Makamba kuwa ni miongoni mwa wagombea wa nafasi nyeti ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu (NEC).
Kwenye orodha hiyo ya gazeti la Raia Mwema kwa upande wa Mawaziri ni Januari Makamba pekee anayetegemewa kupitishwa na vikao.