ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Richard

    Kwa kulinda “legacy” ya baba yako na heshima ya familia, Jesca Magufuli jifikirie upya kuhusu kujihusisha na CCM

    Jesca Magufuli ulifanya mahojiano na Millard Ayo na katika mahojiano hayo ulikiri kwamba familia nzima ya hayati John Magufuli haikufahamu alipo hadi siku ilipotangazwa na raisi Samia kwamba John Magufuli amefariki. Baadae tumeona na kusikia kwamba Jesca Magufuli umepitishwa kugombea nafasi za...
  2. Carlos The Jackal

    GE2025 Tarehe 29/10 ni Anguko la hakika la Samia/Abdul na Genge lake. Kupitia Samia, CCM imekufa ghafla! Wakuu Maandamano ni makubwa sana, Msihofu Tena!

    Wakuu Kwa mara ya kwanza Tanzania inaendan kushuhudia Tukio kubwa na zitoooo na ambalo halikuwahi kutokea !!. Walikua wanasema, óhooo Watanzania ni waoga, ohoooo watanzania ni lojolojo. Nipende kuwaambia, IMEKULA kwenu This Time, na bahati nzuri kama ambavyo Mungu si Mwanadamu , Tumefanikiwa...
  3. funaku

    Pongezi nyingi kwa Vijana wa CCM Mwaka huu hawajamletea mtu yoyote vurugu

    CCM ni kubwa na inao vijana wengi ndani yao ni vijana korofi katika jamii. Lakini hadi sasa wameonesha kiwango kikubwa sana cha ustahimilivu pengine kuliko miaka yote iliyopita.wametulia na wamejikita kwenye hoja za siasa ...kamwe hawajajiingiza kwenye vurugu,kejeli au matusi. It is a new era...
  4. figganigga

    Angalia jinsi TAKUKURU inavyo bagazwa na kubanangwa. Alitekataa Rushwa akalia kuti kavu

    Viongozi wote wanatokana na CCM. Walitakiwa wazuie Rushwa. Lakini ndio wanatoa Rushwa. Huyu mzee alokataa Rushwa ya Elfu kumi, anapata wakati mgumu
  5. T

    Asharose Migiro katibu Mkuu CCM anaanza kazi lini?

    Kwa anasubiria uapisho? Toka ameteuliwa ni kama alilazimishwa kuwekwa hapo. Aanze kufanya kazi. Tunamsubiria huku mashinani.
  6. Dr Adam Francis

    Vyama vya upinzani Tanzania vinajihujumu na kuhujumiana badala ya kushindana CCM

    Ni dhana inayoaminika kuwa, kama ukitaka suluhu ya kweli na ya kudumu kwa matatizo yako basi ujiepushe na kutafuta majubu rahisi kwa maswali magumu. Kuelekea Oktoba 29, kundi linalohamasisha maandamano linauza hoja kuwa mtesi wa wapinzani tangu 1992 tuingie kwenye vyama vingi ni CCM. Wakati huo...
  7. K

    Kama ni Kweli CCM Bado ni Chama

    Kwa nini wasianze upya kabisa baada ya zoezi la Oktoba 29? Maana yake ni kwamba; CCM iliyo tufikisha hapa ifutike kabisa, kwa sababu imekuwa ni balaa kwa nchi hii. Maana yangu ni kuwa, kila kinachohusika na CCM ya sasa kiishie Oktoba 29; watakaotaka kuendelea na chama hicho waanze upya kabisa...
  8. L

    Ujinga, kiburi, dharau, majivuno, kutokuona mbele na kukosa maarifa kwa CCM kumewafanya Watanzania wajifunze Ugaidi

    Ukisikia Vijana wa Kitanzania wanavyohamasishana,wanavyofundishana,wanavyopeana mbinu kwa ajili ya maandamano,kwa ajili ya kukabiliana na polisi waziwazi huwezi kuamini kama Tanzania yangu imefikia hapa. Sikuwahi hata siku moja kufikiria kama Watanzania watakuja kufikia Hali hii. Hali hii...
  9. funaku

    Waliotarajia CCM itafarakana wameaibika

    Kuna watu walichochea mgogoro ndani ya CCM wakitegemea mpasuko mkubwa. Mwenyekiti na vyombo vyake wamefanikiwa kuivusha CCM Kwa mara nyingine tena. CCM ni moja na inapambana na wapinzani
  10. The Burning Spear

    Tukubaliane watanzania wana akili mbovu kuliko hata hao ccm kuwatetea ni kazi ngumu sana.

    GT Eti hawa wana akili timamu kweli. Bodaboda na machinga ni maabomu yaliyopakwa rangi ya nanasi na CCM.
  11. Pascal Mayalla

    PPR Vox Pop: Mwandishi na Mhariri Nguli Absolom Kibanda, Anazungumzia Ilani ya CCM, Kuhuisha Katiba Mpya ni Kubwa!.

    Wanabodi Nazungumza na Mhariri Waandamizi Absolom Kibanda akizungumzia ilani ya CCM. https://youtu.be/8BSHw4ZM7A8?si=Juc7jONBbKGtmz3b Karibu Paskali
  12. M

    Serikali iichukulie hatua Zambia Reports kwa kuchapisha uongo mtandaoni kuhusu mgombea urais wa CCM Mama Samia

    Zambia Reports ni wafitini, wanafiki na wenye nia ovu dhidi ya mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Dr Samia Suluhu Hassan. Ni upotoshaji kusema wapinzani wa Mama Samia wamefungwa jela wakati sio kweli. Wagombea wa vyama vingine wapo kwenye kampeni siku hizi za mwisho mwisho kabla ya tarehe 29...
  13. R

    Majasusi,Tuleteeni RaisToka chama kidogo,kama hamna Imani na CCM ya sasa!

    Inawezekana kabisa kumpata Rais Toka chama kisicho maarufu nchini ,tunajua uchaguzi na upigaji kura hutumika kuhalalisha ushindi uliokusudiwa nyuma ya pazia!! Nimechunguza kampeni za uchaguzi mwaka huu na nikaona Bado Kuna vichwa vyenye uwezo wa kuongoza vikipewa nafasi hasta kwa miaka mitano...
  14. Mafyangula

    GE2025 Mjumbe wa CCM auwasha moto kwa viongozi wake! Msinitafute tena kuwatafutia watu kuleta kwenye mikutano yenu

    Katibu kamanda wa CCM kata ya Msasani amelalamika na kuonyesha hasira yake kwa viongozi wake wa ngazi ya juu kutomthani na kumuonyeshea dharau anasema wakishawakusanya watu na kuwahamashisha waje kwenye mikutano yao ambayo wanakuwa wamepewa maagizo ya watu wajaee lakini baada ya hapo awatambui...
  15. The Father of All

    GE2025 CCM wanashindana na nani na kwanini watupotezee muda na pesa?

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni chama tawala. Kinashiriki uchaguzi sijui uchakachuaji sijui uchafuzi, wala sijui. Kimelazimisha mgombea wake wa urais hata kwa kuvunja na kuvuruga kanuni zake chenyewe. Kinapoteza fedha na muda kutupigia makelele kwa kisingizio cha kampeni za uongo na vitisho...
  16. figganigga

    Yule Mlimbwende wetu, CCM imemchosha hatamaniki. Kwani wanawafanya nini?

    Nakumbuka enzi za Ummy Mwalimu alikuwa kisu sana.. Wamemchosha wakamtema. Sasa hivi yupo Huko Tanga sijui kwa Msisi. Huyu Mlimmbwende wetu walichukua anawaka. Bado hajatemwa lakini kachoka balaa. CCM inawafanya nini hawa watoto? Tukiwambia watetee watu wanaokufa bila hatia hawataki. Ona sasa...
  17. figganigga

    Chawa wa CCM kaniomba msamaha kwa mambo anayopost Mtandaoni

    Kuna ndugu yangu ni chawa wa CCM(Jina Kapuni) Nilimfungia safari kuuliza kwanini anaunga mkono CCM na Mwenyekiti wa CCM Samia Suluhu Hassan ambaye Mdomo waake haukemei Mauaji wala hajali anaowaongoza wakipotea? Nilienda Iringa kwa Ukali sana. Nia ni tuvunje urafiki na kumblock hadi kwenye memory...
  18. Yoda

    Wagombea wa urais tofauti na wa CCM ni wakina nani?

    Huu uchaguzi unaosisitizwa sana una wagombea gani wengine katika ngazi ya Urais tofauti na mgombea wa CCM ?
  19. B

    Asasi za kiraia zaiomba CCM ikubali, tume huru ya kuchunguza kupotea kwa raia

    Asasi Za Kiraia (AZAKI) zaidi ya 300 nchini zimewasilisha mapendekezo kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), zikitaka kuundwa kwa tume huru ya kiraia kuchunguza matukio ya utekaji na kupotea kwa watu, pamoja na serikali kusaini mikataba ya kimataifa ya kulinda watu dhidi ya kupotezwa kwa kulazimishwa...
  20. Mafyangula

    Azaki zaishauri CCM kuunda tume ya kuchunguza utekaji

    Si dhani kama wanashaurika hawa watu? Ila mimi najuwa wanafahamu kila kitu kinachoendelea na wanauwezo wa kukomesha kabisa hata bila kuundwa hiyo tume ambayo itachukua kodi za wananchi. =================== Asasi Za Kiraia (AZAKI) zaidi ya 300 nchini zimewasilisha mapendekezo kwa Chama Cha...
Back
Top Bottom