ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Japo wengi wanaogopa kusema adui mkubwa wa taifa ni CCM na Samuya na Kikwekwe.

    Huwa sizungushi. Kichwa cha habari kiko wazi.
  2. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Vijana ,umasikini usiwafanye Mkatumiwa na CCM kwenye Maovu yao, Kwa CCM ukikubali Kutumika, ni kusaini Kifo chako Kwa siku zijazo !!

    Wanakupa 1 M, unakubali kutimika, unatoka Ushahidi wa Uongozi unatoka Tuhuma za uongo 😃 Pole sana kijana mjinga na mpumbavu, Wenzio CCM wanajuaz huko mbele unaweza kuwageuka ukatoa ukweli !!.
  3. Keynez

    JamiiForums Tanzania CCM inamuenzi Patrice Lumumba kwa kuwapoteza Watanzania kama alivyopotezwa yeye

    Baada ya kutoa hotuba ambayo ilionekana kumuudhi aliyekuwa Mfalme wa Belgium, aliyekuwa Waziri Mkuu wa iliyokuwa Zaire (sasa DRC) Patrice Lumumba alikamatwa na wanajeshi wa kibelgiji wakishirikiana na waasi wa ndani. Ili kupoteza ushahidi na ili kumbukumbu yake ipotee kiujumla, mwili wa...
  4. useyourcommonsensetothink

    JamiiForums Tanzania Kijana mzelendo anaelezea kuhusu CCM mtandao

    Je hili kundi ndilo lililotufikisha hapa tulipo sasa?
  5. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CCM ni mpango wa Mungu

    Kupitia mambo mengi mazuri yaliyofanywa na CCM tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977 ninaweza sema hadharani kuwa CCM ni mpango wa Mungu. CCM ndo chama kilichobeba matumaini ya watanzania wote wakiwemo Lissu na Heche. Kuna sababu nyingi sana za kutamka kuwa CCM ni mpamgo wa Mungu. Chini ya CCM...
  6. canular

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hatuwataki CCM na Rais Samia

    CCM, Samia na wahuni wote watanzania tumewakataa hatuwataki Mnataka watanzania tufanye nini ili msikie kwamba hatuwataki tuachieni taifa letu hamna cha kutudangaya watanzania sasa hivi tumejitambua Samia achia nchi yetu hatukutaki, hatuwapendi, hatujawachagua tokeni msituletee machafuko kwa...
  7. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bishop Gwajima ni CCM alikuwa mbele ya muda

    Huyu ni mmojawapo kati ya watu waliolishauri taifa kabla ya maafa kutokea. kulikuwa na namna zote za kusuluhisha jambo linalokabili taifa letu kwa sasa Hatukuwa na haja ya kufika hapa tulipo, kwa jambo ambalo tungeweza kusikilizana na kupokea mashauri yaliyokuwa yakitolewa na wazalendo wenzetu...
  8. Sigonella Island

    JamiiForums Tanzania CCM wameichafua nchi yetu

    Utumbo walio ufanya Sasa ivi unaligharimu taifa..kila sehemu. Raia hawana Imani na Jeshi la Wananchi. Uadui umekua mkubwa kati ya Polisi na Raia. Usalama wa Taifa wanaonekana kama migambo wa UVCCM. Utalii umedorora. Raia wameanza kutoa fedha zao benk kwa hofu. Kunyooshewa vidole vya kukusolewa...
  9. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania TANZIA Diwani mteule wa CCM Kata ya Shiwinga, amefariki dunia baada ya kunywa maji ya betri

    Aliyekuwa Diwani mteule wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Shiwinga, Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, Lusekelo Mwalukomo amefariki dunia baada ya kunywa maji ya betri. Tukio hilo lilitokea jana Novemba 26, 2025 na amefariki dunia wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Mbozi...
  10. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwa hiyo vyombo vya ulinzi na usalama vilikubali kutumika CCM ibaki madarakani licha kuhatarisha raia na uchumi wa nchi?

    Moja ya vitu vitakavyobadilishwa kwa wivu mkubwa sana baada ya Taifa hili kupata ukombozi wa kweli ni kuweka kiapo cha Utumishi wa Umma pamoja na vyombo vya ulinzi na Usalama kuwa ni kuilinda Katiba, kuwalinda Wananchi na Kulinda misingi ya Haki, Uhuru na Umoja wa Kitaifa. Jambo la pili...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Wazo: Uanzishwe mfuko wa kuchangia waathirika wa maandamano na wa vitendo vya kikatili vya dola la CCM na mfuko huo usimamiwe na UN

    Nafikiri ni wakati sahihi wa kuunda mfuko maalumu wa kuchangia waathirika wa maandamano ya Oktoba 29 na. wale wote waliiothirika na matukio yote ya kikatili yaliyofuata baada ya hapo. Lengo likiwa ni kuwashika mikono ndugu, jamaa na wanafamilia wa walipoteza wapendwa wao. Ukweli ni kwamba...
  12. A

    JamiiForums Tanzania CCM bado wanafikiri dunia ya leo ni ile ya zamani

    Tatizo kubwa ambalo linatajwa na wachambuzi wengi ni kwamba baadhi ya viongozi wa CCM bado wanafikiria kuwa siasa ya leo ni sawa na siasa ya miaka ya zamani—wakati taarifa ilikuwa haba, mitandao haikuwepo, na vijana hawakuwa wengi kwenye maamuzi. Leo dunia imebadilika: Vijana wana uelewa...
  13. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CCM tafadhali tujaribu kutuliza vichwa, Hatuwezi kutatua matatizo yetu kwa kujidanganya kuwa hayapo

    Katika hali ya sasa, ni muhimu kwa viongozi wote wa CCM, kuanzia ngazi ya chini hadi juu, kuelewa muktadha wa hali ya sasa haujawai kutokea tangu uhuru. katika kipindi hiki Influence ya chama imeporomoka sana, hali ya kisiasa inahitaji uangalifu wa kipekee. Viongozi wanapaswa kuwa na busara...
  14. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Kama kuna wana CCM wenye akili huu ni wakati wa kukimbia meli inayozama

    Sijui kama ndani ya CCCM kuna wanao jitambua na wanao weza soma alama za nyakati. Huu ni wakati wa kukimbia meli inayo zama. Hakuna namna tena CCM inaweza nyanyuka, hakuna namna, nazania wana uoga sana ila ukweli ni kwwmba CCM haiwezi nyanyuka kamwe.
  15. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Ukweli hata uchukiwe, muumie, na kuudhi utabiki kuwa ukweli CCM mkubali mliua watu wetu

    Ukiwasikiliza uzuri genge la CCM utagundua kuwa wamechanganyikiwa kiasi cha kujichanganya na kuchanganyana wakidhani watatuchanganya. Eti wanaoionya CNN kwa kufanya kazi yake uzuri. Wamechanganyikiwa na kusahau kuwa CNN sIyo shirika la kitapeli kama mengi tuilyo nayo nchini yakifanya kazi ya...
  16. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Jambo pekee la kuwafanya CCM waogope kuwachezea Watanganyika linatimia kwa kasi sana mwaka huu

    Kwa muda mrefu sana, CCM waliwafanya Watanzania kama mazuzu na wapumbavu. Waliwateka, kuwaua, kuwaibia uchaguzi, kufisadi rasilimali za Taifa huku wakiwalisha propaganda za amani, udini, uzalendo, vita vya kiuchumi na nyingine nyingi. CCM hawakuweza tu kuwarubuni Watanganyika kwa uongo bali...
  17. Keynez

    JamiiForums Tanzania CCM inaogopa mno kuibuka kwa 'Gorbachev'

    Ukifanya tathmini ya kina kuhusu CCM utagundua hakuna jambo wanaloliogopa kama ajitokeze mtu mwenye nguvu ndani ya chama, aseme "mabadiliko ya mfumo wa kuendesha nchi hayakwepeki tena na ni lazima yafanyike". Miaka ya mwanzo wa 1990s, Rais wa Urusi Mikhail Gorbachev, baada ya kuona mzigo wa...
  18. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Wana CCM na Viongozi wa Serikali na Wastaafu na Machawa ambao Kamwe Hawatasamehewa Leo au Kesho Kwa namna yoyote Ile !!

    Hii hata hao TEC au Shura ya Maimamu , Wasomi ,Taasisi mbalimbali hawataruhusiwa kuingilia Au kujaribu kushawishi Maamuzi ya Wananchi. Wameua Ndugu zetu Maelfu , Wameteka Kila sauti iliyosimamia Haki, hakika Hawa ni watanzania ambao HATUTAWASAMEHE. Jakaya Kikwete na Familia yake. Rostam Aziz...
  19. H

    JamiiForums Tanzania CCM ina machaguo mawili tu, Kujitenga na wauaji kiendelee kuwa miongoni mwa Vyama Vya Siasa

    Utekaji na mauaji ya wanaomkosoa Rais, Utengenezaji wa mifumo bandia ya Uchaguzi, tume huru bandia ya uchaguzi, utangazaji wa Rais na wabunge ambao hawakuchaguliwa na wananchi, na kisha mauaji ya kiharamia ya Maelfu ya Watanganyika, vyote vimefanyika chini ya Serikali ya CCM. Ushetani huu wote...
  20. A

    JamiiForums Tanzania Hivi jeshi ni la CCM au la wananchi ?

    Kuna video fulani nimeona uko instagram limenipa maswali kweli Mwanajeshi ana simama kuimba nyimbo ya kumsifia rais na kumfurahisha kweli 🤣🤣🤣 hizi ni dharau hata jeshi la Burundi haliwezi kufanya upumbavu wa namna hii Katika nchi hii tunahitaji revolution kwa aina yeyote ile kuondoa hawa...
Back
Top Bottom