ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Catherine Magige ainadi CCM Karatu, awataka Wananchi kutohadaika na Vyama vingine vya Siasa

    Mbunge Viti Maalum Arusha mjini Catherine Magige, Amewahasa wananchi wa Kata ya Endamariek Kijiji Cha Endamariek wilayani Karatu kushiriki kwa Ukamilifu katika zoezi la upigaji wa kura za ndiyo katika uchaguzi wa Serikali za mitaa utakaofanyika tarehe 27/11/2024. Amewahasa wananchi hao...
  2. J

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Makalla: CHADEMA acheni visingizio, migogoro ya ndani ya chama chenu na maandalizi mabovu ni kisiki kwenu kufanikiwa Uchaguzi Serikali za mitaa

    KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi na Mafunzo CPA Amoss Makalla ameitaka Chadema kuacha visingizio vya kulalamikia wagombea wake bali iseme ukweli kuwa haikufanya maandalizi kuingia katika Uchaguzi wa serikali za mitaa. Pia, amesema chama hicho...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Dkt. Pindi Chana: Amewaomba wananchi wa Makambako kuchagua wagombea wa CCM katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe, Balozi , Dk. Pindi Chana amekinadi Chama cha Mapinduzi huku akiwaomba wananchi kuchagua wagombea wa CCM katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27,2024. Ameyasema hayo katika Mkutano wa hadhara...
  4. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Iringa: UVCCM Glory Chambo awaangukia wananchi kwa magoti kuomba wawachague Wenyeviti wa CCM

    Wakuu, Mjumbe wa Baraza kuu la UVCCM kutokea Mkoa wa Iringa Cde. Glory Chambo amewaangukia Wanamagulilwa kuomba wawachague Wenyeviti Wanaotokana na Chama cha Mapinduzi siku ya Uchaguzi Serikali za Mitaa tarehe 27 Novemba 2024. Chambo amesema CCM ina haki ya kupewa muhula mwingine wa...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Idrisa Kweweta: Wananchi ikataeni CCM kwa vitendo Novemba 27, 2024

    Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kitongoji cha Madiga, Kijiji cha Darajani, Kata ya Kipatimu, Jimbo la Kilwa Kaskazini, Mkoa wa Lindi, Katibu Mkuu Kiongozi wa Baraza Kivuli la Mawaziri la ACT Wazalendo, Idrisa Kweweta amewataka Wananchi kuikataa CCM kwa vitendo. Soma...
  6. Mindyou

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Mchungaji Msigwa: Kama nilivyoshambulia CCM, naishambulia CHADEMA kwa sababu ni waongo. Tumeandamanisha watu, wengine wamekufa!

    Wakuu, Mambo yanaendelea kuwa ya moto kwenye Kampeni za Uchaguzi wa Serikali. Mchungaji Msigwa ambaye alihamia CCM akitokea CHADEMA amezungumza hivi karibuni mkoani Songwe hivi karibuni. Soma pia: Mchungaji Peter Msigwa: CHADEMA ina wanachama laki nne tu Nchi nzima Msigwa amesema kuwa kama...
  7. Suley2019

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Mwanza: Mgombea ADC alalamika vipeperushi vyake kubanduliwa na kubandikwa vya CCM

    Mgombea Uenyekiti wa Mtaa wa Nela Kata ya Isamilo jijini Mwanza kwa tiketi ya Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), James Dioniz, amelalamikia kitendo cha vipeperushi vyake kubanduliwa, kisha kubandikwa vya mgombea Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abubakar Seif. Akizungumza na Mwananchi...
  8. L

    JamiiForums Tanzania LGE2024 CCM kuhitimisha Kampeni Kwa Kishindoo.Yatawanya Makada Wa Kamati Kuu Nchi Nzima kufunga Kampeni hapo Kesho

    Ndugu zangu Watanzania, Ukisikia chama kiongozi basi hii ndio Maana yake.Ambapo CCM imeonyesha ukubwa wake , umadhubuti wake,uimara wake na uhodari wake katika kuwafikia wananchi.kwa hakika siasa ni sayansi na CCM imethibitisha wazi kuwa ni bingwa wa sayansi ya siasa katika Nchi hii,kikanda na...
  9. B

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Mbunge Samizi achanja mbuga kunadi Wagombea wa CCM Muhambwe

    MBUNGE SAMIZI ACHANJA MBUGA KUNADI WAGOMBEA WA CCM MUHAMBWE. Apita mguu kwa mguu Kata za Mkabuye, Rugongwe, Busagara kuhakikisha CCM inashinda kwa kishindo. Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma Dkt. Florence George Samizi ameendelea kuchanja mbuga kuwaombea kura na kuwanadi wagombea wa...
  10. B

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Utitiri wa Wafuasi na Wananchi kwenye Mikutano ya CHADEMA inatoa ujumbe gani kwa CCM?

    Kila mtu anajua kinachoendelea hapa nchini ikiwa ni jitihada za Serikali na CCM kuhakikisha Chadema hawafanikiwi. Jana ktk Mkutano wa Nyamongo Tarime Uwanja wa Umma umefungwa na kulindwa na askari wenye silaha kwa lengo la kuzuia Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu asidanye mikutano. Hata hivyo...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Babu Duni: CCM wakishinda kwa nguvu, Wananchi mmewaachia

    "Mimi ninasema mnadharau kwasababu mmekata tamaa, mnahisi mambo ni yaleyale...aah! ndiyo hivyo bana, CCM watachukua kwa nguvu; hawezi kuchukua kwa nguvu, wakichukua kwa nguvu maana yake mmewaachia, vijana mjiandae, mkipiga kura, mkishinda kataeni kunyang'anywa". Mwenyekiti mstaafu wa chama cha...
  12. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Mgombea wa CCM Uchaguzi Serikali ya Mtaa Kunduchi apita akipiga mdundiko bila kutoa ahadi yoyote kwa wapiga kura wake

    Wandugu kwema? Ukishangaa ya musa utayaona ya firauni. Hivi ndivyo unaweza kusema. Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mgombea nafasi ya uwenyekiti kupitia CCM bwana ABDALLA KIBELE jana alionekana mitaani akiwa ameambatana na wapiga MDUNDIKO. Mgombea huyo hakuwa anaongea lolote kwa wananchi kwa...
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Katavi: Mwenyekiti wa CHADEMA: Tunaamini katika haki, maendeleo na kutetea Watanzania kuliko matumbo kama wanavyofanya CCM

    Bado siku moja kutoka sasa kuelekea katika siku ya uchaguzi wa serikali za mitaa ambao utafanyika Novemba 27, 2024. Wagombea kutoka vyama mbalimbali wamendelea kunadi sera zao na Ilani ya chama ili wananchi wakafanye hukumu yupi anafaa kuwa kiongozi katika Kitongoji, Kijiji, au Mtaa wao...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Amos Makalla: CCM haitaji kubebwa, Siasa sio ugomvi wala vita

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC), Itikadi Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla amesema siasa sio ugomvi wala vita, hivyo amepongeza kuona kiongozi wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP) akiwatambulisha wagombea wa CCM. Makalla amesema hayo leo Novemba 24,2024...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Mussa Zungu ajitosa kampeni za Mtaa kwa Mtaa, awaombea Kura Wagombea CCM, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Mussa Azzan Zungu, ambaye ni Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, ameendelea na kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kata ya Upanga Magharibi, jijini Dar es Salaam. Amengia kuogea na wananchi mtaa kwa mtaa na nyumba kwa nyumba, Zungu amewanadi wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Nyalandu: CCM ikiyumba Tanzania itadorora, Maendeleo ya kweli yataletwa na CCM

    Waziri wa Zamani wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema Maendeleo ya kweli yataletwa na Chama cha Mapinduzi Akiwahimiza Wananchi kuwachagua Viongozi wa Serikali za Mitaa wanaotokana na Chama hicho Katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Akizungumza na Wananchi wa kata ya Msisi Wilaya ya...
  17. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Faris Buruhani: CCM Hatuachi Kitu Novemba 27

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM mkoa wa Kagera Komredi Faris Buruhani ameendelea na Kampeni ya kuwanadi wagombea wa CCM katika mitaa mbalimbali ya Mkoa wa Kagera inaendelea katika Mitaa 10 ya Kata za Hamugembe, Miembeni, Bilele na Kashai Manispaa ya Bukoba. "Hakika utekelezaji mzuri wa...
  18. Mindyou

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 LGE2024 Katibu wa Uenezi CCM Zanzibar: Serikali Ya Umoja Wa Kitaifa (GNU) inaenda kufa 2025. Naumia ila sina jinsi!

    Wakuu, Hivi karibuni Katibu wa Kamati Maalum ya NEC, Idara ya Itikadi,Uenezi na Mafunzo CCM Zanzibar Khamis Mbeto Khamis alisema kuwa serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU) inaenda kujifia 2025 na pamoja na kwamba anaipenda sana aina hiyo ya serikali lakini hana jinsi zaidi ya kuona mwisho wake...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Lucy Sabu: Tutafika nyumbani, kijiweni kuitafutia Kura CCM

    Siku 7 za kubeba kila kitu zinaendelea kuanzia kwenye mikutano ya hadhara, kampeni ya mtaa kwa mtaa, nyumba kwa nyumba, kijiwe kwa kijiwe, mtu kwa mtu kuhakikisha kura zote zinaenda Chama cha Mapinduzi siku ya uchaguzi tarehe 24 Novemba, 2024. Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa...
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Mwenyekiti wa TLP Taifa, Ivan Maganza awanadi wagombea wa CCM

    Mwenyekiti wa chama cha TLP Taifa, Ivan Jackson Maganza ameamua kuambatana na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makala katika kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwanadi wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa...
Back
Top Bottom