ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. 888I

    JamiiForums Tanzania Tusigwajimaise? Au tusihoji?

    Hivi karibuni, Askofu Josephat Gwajima, Mbunge wa CCM, alisema kile ambacho wengi wamekuwa wakiongea chini kwa chini: “Vipi kama mtoto wa Rais ndiye angetekwa? Tungesema nini?” Alizungumzia utekaji, mauaji, na hali ya sintofahamu nchini kwa lugha ya hoja, si matusi. Alitoa mapendekezo na...
  2. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania CCM kuna utoto mwingi sana

    Gwajima na mapungufu yake mengi tuu lakini this time around kaongea kitu kikubwa sana kilichogusa mamilioni ya watanganyika kwenye swala zima la utekaji Wengi tulitegemea ndani ya chama chake apate support kubwa ama ajibiwe kwa hoja .. Kinyume chake kuanzia uduvi, dagaa, kambale na sharubu...
  3. Gwajimanize

    JamiiForums Tanzania Wakuu msaada wa Softcopy ya Manifesto ya Ccm 2025-2030

    Wakuu Msaada wa Manifesto ya Chama ya CCM 2025-2030 msaada wa softcopy
  4. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM inajidanganya na inatudanganya na sisi

    Tar. 15/7/2024 chama Cha kikomonisti Cha China kilifanya mkutano wake mkuu pale Bejing Agenda kubwa ilikuwa kujadiliana kupungua Kasi ya kupanda kwa uchumi na kuzorota kwa sekta ya ujenzi kutokana na madeni Hali iliyofifisha ujenzi haswa wa MAJENGO makubwa China hawakutani kuzindua...
  5. Mtoa Taarifa

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 January Makamba alivyowasili kwenye Mkutano Maalum wa CCM

    Mbunge wa Bumbuli na Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwasabahi Wajumbe wa Mkutano wa CCM uliofanyika Jijini Dodoma ambapo yeye pia amehudhuria Mkutano huo Maalumu.
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenyekiti wa UVCCM Dodoma: Baadhi ya wabunge wanachukulia poa mamlaka ya Rais

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Dodoma, Abdulhabib Mwanyemba amesema wapo baadhi ya wabunge wamezidiwa na vyeo vyao na kuchukulia poa’ mamlaka ya Rais, hivyo amebainisha kuwa jumuiya hiyo haitokubali kuona wabunge hao wakitweza madaraka ya Rais...
  7. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Siku nikijiunga CCM na Rais akaniona. Sikosi cheo. Ninazo sifa anazozipenda

    Tofauti na hawa choka mbaya Lucas Mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable hawa ni waporipori hawana mvuto. Nawaambia mimi nina mvuto. Siku nikiamua tu kujiunga na CCM napata Ukuu wa Mkoa, Wilaya au Ubunge nije kuwa Waziri. Wajihi wangu unaunganishwa zaidi na kifua kipana. Nlimsikia Rais akimsifia...
  8. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kwa ilani ya CCM ya 2025-2030 naiona kampeni ya Nitashiriki uchaguzi kuleta mabadiliko na no reforms no election itakufa kifo cha ajabu

    Acha nianze kwa kutoa angalizo kwanza, Mimi sio mtabairi wala nabii lakini nina kipaji cha kuona na kutazama mbali sana. Ilani ya CCM ya 2025-2030 ni ya mabadiliko ya kweli na inayokidhi matarajio ya wapiga kura na ikiwa imeangazia masuala yote mtambuka ya kizazi hiki na kijacho. Ni suala la...
  9. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Kiburi na Jeuri ya CCM ni Tume ya Uchaguzi Kuwa Upande wao la sivyo wangekuwa na Adabu kwa watanzania

    GT Ukifuatilia kwa ukaribu utaona CCM kwa sasa wana lugha kandamizi na za kibabe sana ambazo ndani yake zimejaa jeuri na fitina. Pamoja na.mambo ya hovyo ya CCM kama ubadhilifu, bado kinaona kina uhalali wakufanya yote hayo mambo ya hovyo. Amini nawaambia kama tungekuwa na tume huru ya...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Hizi ni sababu nzito za kwanini Askofu Gwajima anatakiwa kufukuzwa na kufutwa uanachama wa CCM haraka sana

    Ndugu zangu Watanzania, Kitendo alichokifanya Askofu Gwajima ni kitendo ambacho kilimuumiza ,kumkwaza,kumsononesha na kumchukiza kila mwana CCM. Ni kitendo ambacho kiliacha na kimeacha hasira ,chuki na maumivu makubwa sana katika vifua vya wana CCM wote ndani na nje ya mipaka ya Tanzania. Wana...
  11. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makada wa CCM watembea kwa baiskeli mpaka ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma

    Baadhi ya matukio katika Mkutano mkuu wa chama cha mapinduzi unaofanyika jijini Dodoma tarehe 29-30/05/2025. Na hao ni baadhi ya makada wazalendo wa CCM wakiendesha baiskeli wakiwa wanaingia ukumbi wa Jakaya Kikwete kushuhudia kila kitu kwenye mkutano huo
  12. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kauli mbiu mpya ya CCM ina maana gani?

    Maana ya kazi nimeelewa , ila UTU ndio sijaelewa.
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Prof. Kitila: Ilani ya CCM ya 2025/30 ni Ilani ya Wananchi

    "Hii ni Ilani ya CCM ya saba ya uchaguzi mkuu tangu nchi yetu iliporejea katika mfumo wa vyama vingi vya siasa na kufanya uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995. Katika Ilani zote hizi, CCM imeongozwa na Dira ya kuiona Tanzania yenye ustawi kwa wote, nchi inayozingatia na kuheshimu...
  14. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Marekani na Ulaya ,iongeze Nguvu na Jitihida kuumaliza Ujamaa na Ushawishi wa wakomonisti Afrika ! Urusi, DPRK,Uchina kua Marafiki wa CCM ni HATARI !!

    Utekaji, Mauaji yanayoendelea nchini ni Kwa sababu ya Hakikisho la Uungaji mkono linaloendelea kutoka UCHINA, URUSI, NA DPRRK na Nchi wenye mlengo wa Ujamaa !!. Maana yake nini ? CCM inaenda kua Chama chenye kiburi kikubwa sana kupitia hayo Mataifa, in turn Uranium itaenda Urusi kwa mikataba ya...
  15. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ukisikia yaliyomo kwenye ilani ya mpya ya CCM 2025 to 2030 ni kama wimbo wa profesa Jay ndio mzee

    1. Dar es salaam kujengwa tren ya chini ya aridhi kupunguza foreni hii ni sawa na mabomba kutoa maziwa nchi nzima, kwani mwendo kasi tu tunaona unavyopumulia pua je hiyo treni. 2. Kujengwa viwanda kila mkoa na kila mtaa haaa haaa hii sawa na ile wanafunzi wa vyuo vikuu kufanya practical...
  16. McLaren

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM yazindua rasmi Ilani yake ya 2025. Yaweka Katiba Mpya kama mojawapo ya agenda watakazozitekeleza!

    Wakuu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu akishiriki Mkutano Mkuu Chama cha Mapinduzi CCM siku ya pili Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Dodoma, leo tarehe 30 Mei, 2025. Soma hapa Ilani > Ilani ya CCM 2025-2030 https://www.youtube.com/watch?v=yXnzuEg-DLk...
  17. E

    JamiiForums Tanzania CCM inaungwa mkono na vyama vya kikomunisti tu?

    Katika mkutano mkutano mkuu wa CCM unaoendelea jijini Dodoma, karibu vyama vyote vilivyotoa salamu hapa ni vya kikomunisti. Vyama vilivyotoa salamu ni pamoja na Russia (All-Russian Political Party United Russia), China (CPC), Communist Party of China (CPC), Korea Kaskazini Korean Workers' Party...
  18. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Kituko Mkutano Mkuu CCM: Wajumbe wamshangilia Mjumbe Chama Kikuu Urusi aliyesifia Utekelezaji wa Miradi ambayo kwa 90% imefadhiliwa na Marekani na EU

    Leo ndo nimeamini CCM kumejaa wajinga wengi na wasiojielewa. Ambao hawajui hata mambo ya nchi yao. Akitoa salamu za Chama Kikuu cha Urusi, Mjumbe aliyewakilisha chama hicho pamoja na kuziponda nchi za Magharibi kama kawaida yao, alisifia miradi mbalimbali ambayo imekuwa ikifanyika nchini...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge Chilo awasaidia wananchi wake Kukuna nazi na Kupeta Mchele

    Mwaka wa uchaguzi na mambo yanazidi kunoga sana. Hakika tutayaona mengi tu! Mbunge kupitia jimbo la Kusini Unguja Ndugu Khamis Hamza Chilo akiwasaidia wananchi wake Kukuna nazi 🥥 na Kupeta Mchele.
  20. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Picha hii ni ya Gwajima kutoka mkutano mkuu wa CCM Dodoma Mei 29, 2025

Back
Top Bottom