Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
Mpo salama!
Kiukweli baada ya Gwajima kuongea alichoongea kampeni ya No reforms no Election ilipoteana kwenye anga la mitandao ya kijamii.
Unaweza kusema Huenda Gwajima ametumwa. Kwa sababu kwa nini atoe kauli hizo wakati huu. Kama ni kutekwa utekaji ulishamiri wakati wa JpM lakini alikuwa...
Wajumbe ukumbi uko tayari
Ukumbi wa Jakaya Kikwete ukotayari kwa ajili ya mkutano mkuu maalum utakao fanyika kesho tarehe 29. Na tarehe 30 may utakao ongozwa na mwenyekiti wa chama chama cha mapinduzi Samia Suluhu Hassan
Hizi ni fedha nyingi aisee
Kwani makao mkuu ya CCM pale Dodoma Kuna tatizo Gani?
Pesa hizo CCM imepata wapi?
Hizi ada za uanachana ndo zimefika billion 34
Ukarabati uwanja wa Mkapa mmetoa billions 31
Watanzania hawana madawati, hospital hazina madawa, vijana hawana ajira
Pesa yote unaenda...
Kuna wabunge walio Kaa madarakani, Muda MREFU TETESI zina vuma Samia anataka wapigwe chini kwenye kura za MAONI Ili baada ya uchaguzi wapangiwe ubalozi nje ya nchi lakini majimbo Yao wawape wakina MREMA wa chauma na wenzake.
Ombi litaletwa kwenye mkutano Mkuu baadhia ya wabunge wajiuzuru...
Mwenyekiti wa ACT- Wazalendo na Makamu wa kwanza wa Rais Zazibar Othman Masoud Othman anaeleza kuwa
"Kwenye Tume ya Haki Jinai nilipendekeza Polisi wasiongozwe na wanasiasa. Inakuwaje Polisi waongozwe na Mkuu wa Mkoa au Mkuu wa Wilaya ambaye ameelezwa wajibu wake ni kuhakikisha CCM inashinda...
Wakati ninakua ile miaka ya 1971 nikiwa shule ya msingi kulikuwa Kuna hype kubwa ya kauli na maazimio mengi ya kisiasa. Na wakati ule kujiunga na TANU youth league ilikuwa kama ni lazima fulani hivi.
Kauli au ahadi mmojawapo ya TANU ilikuwa "nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko"...
Kama unabisha Fanya Utafiti utujuze taasisi gani iwe ya umma au NGO inaizidi CCM
1. CCM ina rasilimali kila Mkoa na Wilaya hadi kata
2. CCM ina Wanachama kila mtaa
3. CCM ina mbunge kila jimbo pale iliposhindwa kwa Kura imeweka wa viti maalum
4. CCM ina viwanja vikubwa vya michezo kila...
Kuna vitu vingine vinafanywa na serikali na CCM na serikali yake hadi vinatia aibu. Kila mtu anajua wakati wa uchaguzi wa Chadema Lissu Vs Mbowe, serikali na CCM walifanya kila wawezalo ili Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti wa Chadema, ikashindikana.
Kisha wakaanza kuwatumia wafuasi wa Mbowe ndani...
Wakati fulani, Prof. Mwandosya na wengine walipendekeza kwamba mtu anapokuwa Rais, basi kama alikuwa mwenyekiti wa chama, akome kuwa na hiyo nafasi; kwamba tusiwe na raisi mwenye kofia mbili; Rais na mwenyekiti wa chama, ili chama tawala kiweze kuto mwongozo kwa serikali yake. Wengi hatukuelewa...
Wanabodi
https://www.youtube.com/live/_ZEl6lsHc4c?si=osZPZ2LFfZc6ACe3
Naangalia TBC live mubashara, Katibu Mwenezi wa CCM, CPA Amos Makala, ametoa siri ya ushindi wa Chama cha Mapinduzi, CCM kushinda kwenye chaguzi mbalimbali na kuendelea kuishika Ikulu yetu mwaka hadi mwaka, sababu ni moja...
Sasa ni dhahili, CCM imeazimia kuiua Chadema kwa kutumia vyombo vya Serikali/ dola baada ya hila na mbinu zote za kisiasa kufeli. Walianza kutoa hela kwa wajumbe wa Chadema ili Lissu na Heche wasiwe viongozi wakafeli, Wakatoa mabilioni ya shilingi kuhonga mamluki ili wajiondoe Chadema mradi huo...
Habari wakuu
Inahitaji utulivu mkubwa kuweza kusoma mchezo, sasa hivi CCM wanakosoana wenyewe kwa wenyewe huku watu wakishangilia na kusifia viongozi wa CCM wanaoikosoa CCM.
Mtoto wa nyoka ni nyoka, na mwana CCM ni mwana CCM, once a CCM always a CCM
Hii mbinu imetumika sana miaka ya nyuma...
CCM imesomba vijana mitaani na kuwaweka mbele ya vyombo vya habari wanacho kiongea hakieleweki hii inatia haibu sijui ulaya na dunia itakapoona itakuwaje ?
Nina asilimia kubwa kuwa hawa vijana wamekusanywa na kusombwa tu mitaani na kulishwa maneno na mtu kisha kuja mbele ya vyombo vya habari...
Nina wasi wasi wapo watu wasiopendezwa na rais Samia hasa utawala wake kuwa ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu sema wanasubiri kuona kama kuna wengine kama wao ndani ya CCM sasa wataanza kuibuka.
Je, wapo wengine ukiachana na kina mpina na gwaji boy na yule Basilla wa hawaungi mkono tena...
Kama utani vile lakini uthibitisho wa watu kutekwa, kuumizwa, kutupwa na bado Bunge la CCM Dodoma mawaziri na wabunge wake kusisitiza wahanga zaidi wasakwe na kushughulikuwa ni ushahidi tosha siku si nyingi tutaona vigogo wakiwekewa vikwanzo na pia waranti ya INTERPOL kuwatia nguvuni kisha...
Wakuu
Askofu Kalikawe Lwakalinda Bagonza anaandika kupitia ukurasa wake wa Facebook
==
Huu ni mwaka wa uchaguzi. Tamaa ya madaraka ndani ya CCM ni kama yote. Ubinafsi ndani ya upinzani ni kama wote. Nani mwathirika wa hali hii?
Mwathirika wa kwanza ni nchi/taifa. Tutakosa uwajibikaji (checks...
Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Dar es Salaam imetoa wito mzito kwa Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima, kutofika katika ofisi yoyote ya CCM ndani ya mkoa huo kuchukua fomu ya kuwania tena ubunge kwa mwaka 2025.
Msimamo huo umetolewa siku ya...
Yaani speech moja tu ya kada wake kuishauri mamlaka ya juu... Wote wamejaa kwenye mfumo wake
Tangu juzi siku moja bada ya speech yake iliyowakonga nyoyo Watanganyika wengi... Makada, chawa kunguni na viroboto wanashindana mitandaoni na kwenye press conference za mchongo kumjibu
Kujibu sio...
Imekuwa kawaida Sasa. Mtu akitoka akasema Polisi inateka au inanyamazia utekaji badala ya Polisi kujibu CCM ndo wanaibuka kujibu.
Mtu akisema vyombo vya Dola cinanyamazia utekaji CCM wanaibuka kupinga na kuleta mifano ya 1983.
Sasa tokeni hadharani atuambie tuache kuvisema vyombo vya Dola...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.