ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. technically

    JamiiForums Tanzania Adui yetu sio ni CCM sio Uislamu

    Naona Kuna wapumbavu wameanza kupotosha Gwajima ameanza kupewa kesi za madawa na Magufuli lakini alishinda. Na Magufuli mpaka akampa ubunge!! Kuna wajinga wanasema Gwajima mbona anajitokeza Sasa kwa sababu Samia ni muislamu Hawa naweza waita wajinga Gwajima hajawai kunyamazia uhuni wa CCM...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Tunajua Humphrey Polepole alipelekwa kuwa balozi sababu alianza kuwa maarufu na angekuwa tishio katika kuteua mgombea wa Uraisi wa CCM wa 2025

    Ukiangalia safu ya watu wa CCM ambao wanaweza kuwa serious na uongozi wa Tanzania na hata mambo ya kifisadi, aliebaki labda ni Humprey Polepople. Sasa uwepo wake ndani ya Tanzania, na ukizingatia jinsi alivyoanza kujipatia umaarufu kwa hoja zake wakati wa zile seminar zake, ilibidi andolewe...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz amuoa Zuchu. Ni mpango wa kuuzima moto wa Askofu Gwajima?

    Wakuu Huu mbona kama ni mkakati hivi wa kutaka kututoa kwenye Reli? Msanii wa Bongo Fleva, Nadeem Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platnumz amemuoa mpenzi wake wa muda mrefu Zuhura Othman Soud maarufu Zuchu. Msanii wa lebo yake WCB Wasafi. Ndoa hiyo imeibuka katikati mjadala mkali baada ya...
  4. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mvutano Viongozi wa CCM Simiyu: Kengele ya hatari kabla ya Uchaguzi Mkuu 2025

    Mvutano unaoendelea kati ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Simiyu,Shemsa Mohamed na Katibu wake,Eva Degeleki umeanza kuzua taharuki miongoni mwa wanachama na wachambuzi wa siasa, wakionya kuwa hali hiyo inaweza kudhoofisha nafasi ya chama hicho tawala kuelekea uchaguzi mkuu wa...
  5. Technophilic Pool

    JamiiForums Tanzania Daraja la Dar-Zanzibar linawezekana sana! Ila CCM haijawai waza

    Haya ni madaraja maarufu duniania Madaraja kumi marefu yote yako china (hayo tuyaache) Saudi arabia -Bahran Hongkong -Macau lake Pontchartrain causewa-USA-38km Zanzibar na Dar ni karibu mno!! Watu akiwa serious ni jambo la chapu sana
  6. Tabutupu

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Chadema Zanzibar Sasa ni moto, baada ya Mamluki wa CCM Mwalimu na wenzake kusepa

    Leo Chadema Zanzibar imefanya press nzuri sana na unaonyesha matimaini makubwa sana. Wameongea issue za msingi sana na huu ni mwanzo mzuri. Miaka yote tumekuwa tunashangaa kwanini CHADEMA Zanzibar kama haipo vile, kumbe Mwalimu na yule jamaa makamu aliye fungua kesi dhidi ya chadema walikuwa...
  7. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ahadi Hewa za CCM: Barabara Nyingi zina hali mbaya, zimechakaa!

    ccm, Samia na machawa wenu iwafikie taarifa kuwa barabara nyingi za lami kuunganisha mikoa na wilaya zimechakaa! Mifano michache ni barabara za Arusha mjini! Ongezea barabara kuu inayounganisha mikoa ya Manyara, Singida na Ngeza! Kutoka Utegi kwenda Shirati kule Rorya ukirejea salama hujaumwaa...
  8. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Waliyesema wamemkamata ameonekana kwenye mkutano wa CCM juzi

  9. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Gwajima ni akili kubwa sana , sioni Mwanacm wa kupambana na Gwajima

    Juzi nilimsikiliza yule jamaa wa Yanga Anajiita Muro, nikamsikiliza yule jamaa Anajiita Furaha aliyetemeshwa tonge mdomoni Na nikawasikiliza CCM siku wanazindua Ilani ya Chama Aisee to be honest CCM bado Sana . Bora Mkubali kujirekebisha maana Gwajima yupo anointed , and intelligent. Sisiemu...
  10. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Bunge la Ulaya laionya Serikali ya CCM , Uchaguzi Mkuu bila Chama cha upinzan chenye Nguvu (CHADEMA) hautakua uchaguzi wa Harali na wa Kidemokrasia!

    Sasa ninawaonya CCM na Machawa wenu , Njia mnayoelekea mbeleni ni Giza kubwa. Warusi na Wachina na Wakorea wasiwadanganye !!. UKWELI NI KUA, UCHAGUZI 2025 BILA CHADEMA, HAUTATAMBULIWA NA BARA LA ULAYA, WALA MAREKANI !!. Nadhani Athari ya Jambo Hilo juuu mnaijua vizuri kabisa !!. Tunaenda na...
  11. mike2k

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kwanini Bunge linatoa Tuzo kwa Rais kupitia jina la CCM? Hili ni jambo la hatari kwa Katiba yetu

    “Simba hana haja ya kujitangaza. Ukisikia mwituni kimya kingi, ujue ama amecheua au yuko katika mawindo.” Methali hii ya Kiswahili imenikumbusha taarifa ya tarehe 1 Juni 2025 iliyotolewa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ikitoa pongezi kwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kupokea Tuzo Maalum...
  12. Mzalendo Uchwara

    JamiiForums Tanzania Hii ya Gwajima ni sinema ya CCM wenyewe, kufuatilia ni kupoteza muda

    Inakatisha tamaa namna ambavyo watanzania wanashikwa akili kirahisi. Yaani idara inatumia mbinu za propaganda za enzi za USSR huko na bado zinafanya kazi dhidi ya wadanganyika. Sio bahati mbaya anaongea anayoyaongea, and nothing of substance will come out of it. Hata kama anaongea vitu vyenye...
  13. L

    JamiiForums Tanzania CCM yatoa pongezi kwa Rais Samia kwa kupewa tuzo na Bunge

    Ndugu zangu Watanzania, Chama cha Mapinduzi CCM,chama kiongozi Barani Afrika,chama kilichobeba matumaini ya watanzania,chama kinachoaminika ,kupendwa na kuungwa mkono na mamilioni ya watanzania kimempongeza Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia...
  14. SankaraBoukaka

    JamiiForums Tanzania Mwezi mmoja kabla sikuwa na mpango wa kupiga KURA ila kwa huu upepo nimeamua kikamilifu kwenda Kituoni asubuhi na mapema siku hiyo ya kuwanyoa watu...

    Mara nyingi uchaguzi unapokaribia, hisia huwa za kuchanganyikiwa. Wapo wanaosubiri kwa hamu kutimiza haki yao ya kidemokrasia, lakini wapo pia – kama nilivyokuwa mie – waliopoteza imani na mchakato mzima. Nilijiona kama mtu mmoja tu asiyeweza kubadili lolote, na kwa muda mrefu nilikuwa nimeamua...
  15. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kama ningekuwa kampeni meneja wa mgombea wa CCM ningehakikisha USHINDI wa asilimia 90+

    Binafsi Sina mashaka na uwezo wa CCM katika kushinda , ina uwezo mkubwa wa kushindana na kushinda tena kwa kishindo hivyo kama siku moja ningebahatika kuwa meneja wa kampeni za mgombea wa urais wa CCM ningemhakikishia USHINDI wa asilimia 90+ na angeupata kwa sababu: 1. CCM Ina wagombea wenye...
  16. Genius Man

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Chama cha CCM hakina mgombea urais mpaka sasa kwani mchakato wa kumpata Samia haukuzingatia katiba ya CCM

    Rais Samia ni mgombeaji batili wa uraisi kwa kupitia CCM mchakato wa kumpata mgombea huyo haukuwa wa kikatiba nimeshangaa nilipo msikia hivi karibuni anahamasisha mchakato wa kupata wabunge uwe wa haki inamaana haki hiyo yeye haimuhusu yupo juu ya katiba ya CCM kwamba uchaguzi utakuwa ni kwa...
  17. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania CCM Haina mpango wa KATIBA MPYA hili liko wazi, Kuichomekea Katiba Mpya kwenye Ilani ni Uhuni tu

    Sasa Kwa CCM na Serikali yake zote zilizopita ni nani anaweza kusimama bila kuguswa na Sheria ??. Ufisadi, Wizi, maumivu yaloletwa na CCM Kwa Wananchi miaka yote hiii, wanajua kabisa siku wakitoka Kwa Dola ,watawajibishwa !!. Hivi Mafwele atakua wapi kuacha CHADEMA ICHUKUE Nchi?. Akina...
  18. Doctor Mama Amon

    JamiiForums Tanzania Swali kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Uliozindua Ilani ya CCM 2025-2030: Mbona Hakuna Sera ya Kutenganisha Maisha ya Majeshi na Maisha ya Raia?

    Ukosefu wa “Sera ya Kutenganisha Maisha ya Majeshi na Maisha ya Siasa za Kidemokrasia” umekuwa ukifungua milango ya “demokrasia ya kijeshi,” yaani “militarised democracy,” jambo ambalo linapingana na Kanuni ya Imani ya Utanzania iliyotamkwa kwenye katiba ya nchi. Hivyo, nimeisoma Ilani ya CCM...
  19. kyagata

    JamiiForums Tanzania Hapa Vwawa kwa akina Lucas Mwashambwa panachekesha sana

    1.Mijanaume na nguvu zao kabisa imevaa t-shirt za ccm. 2.saa 7 mchana wa jua kali mtu kavaa rain boots. 3.Chadema office zao zimefungwa nasikia ni mwezi wa nne huu sasa eti wameahindwa kulipa kodi ya pango ambayo ni elfu 15 kila mwezi 4.Maji ni changamoto 5.kuna lodge za hadi elfu 5 mpaka...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwana CCM - Ninauliza kuwa Ilani ya CCM iliandikwa kufuata utaratibu gani?

    Kama nilivyoeleza hapo juu mimi ni mwana CCM na juzi niliona ilani ya CCM ikiwasilishwa mbele ya Mkutano Mkuu kule Dodoma. Kwa kawaida na kwa utaratibu ilani inatakiwa ianzie kwenye ngazi za chini (grassroot) wakiulizwa maoni yao na hii inatakiwa iwe kwa nchi nzima na baadaye maoni haya...
Back
Top Bottom