burkina faso

Burkina Faso (UK: , US: (listen); French: [buʁkina faso]) is a landlocked country in West Africa that covers an area of around 274,200 square kilometres (105,900 sq mi) and is bordered by Mali to the northwest, Niger to the northeast, Benin to the southeast, Togo and Ghana to the south, and the Ivory Coast to the southwest. The July 2019 population estimate by the United Nations was 20,321,378. Previously called Republic of Upper Volta (1958–1984), it was renamed "Burkina Faso" on 4 August 1984 by President Thomas Sankara. Its citizens are known as Burkinabé or Burkinabè ( bur-KEE-nə-bay), and its capital and largest city is Ouagadougou. Due to French colonialism, the country's official language of government and business is French. However, only 15% of the population actually speaks French on a regular basis. There are 59 native languages spoken in Burkina, with the most common language, Moore, spoken by roughly 50% of Burkinabé.The Republic of Upper Volta was established on 11 December 1958 as a self-governing colony within the French Community and on 5 August 1960 it gained full independence with Maurice Yaméogo as President. After protests by students and labour union members, Yaméogo was deposed in the 1966 coup d'état, led by Sangoulé Lamizana, who became president. His rule coincided with the Sahel drought and famine, and facing problems from the country's trade unions he was deposed in the 1980 coup d'état, led by Saye Zerbo. Encountering resistance from trade unions again, Zerbo's government was overthrown in the 1982 coup d'état, led by Jean-Baptiste Ouédraogo.
The leader of the leftist faction of Ouédraogo's government, Thomas Sankara, was made Prime Minister but was later imprisoned. Efforts to free him led to the 1983 coup d'état, in which he became president. Sankara renamed the country Burkina Faso and launched an ambitious socioeconomic programme which included a nationwide literacy campaign, land redistribution to peasants, railway and road construction and the outlawing of female genital mutilation, forced marriages and polygamy. Sankara was overthrown and killed in the 1987 coup d'état led by Blaise Compaoré – deteriorating relations with former coloniser France and its ally the Ivory Coast were the reason given for the coup.
In 1987, Blaise Compaoré became president and, after an alleged 1989 coup attempt, was later elected in 1991 and 1998, elections which were boycotted by the opposition and received a considerably low turnout, as well as in 2005. He remained head of state until he was ousted from power by the popular youth upheaval of 31 October 2014, after which he was exiled to the Ivory Coast. Michel Kafando subsequently became the transitional president of the country. On 16 September 2015, a military coup d'état against the Kafando government was carried out by the Regiment of Presidential Security, the former presidential guard of Compaoré. On 24 September 2015, after pressure from the African Union, ECOWAS and the armed forces, the military junta agreed to step down and Michel Kafando was reinstated as acting president. In the general election held on 29 November 2015, Roch Marc Christian Kaboré won in the first round with 53.5% of the vote and was sworn in as president on 29 December 2015.

View More On Wikipedia.org
  1. Magical power

    Korea Kaskazini imepeleka makomando 700 nchini Burkina Faso kwa ajili ya kumlinda raisi Ibrahim Traore.

    Korea Kaskazini imepeleka makomando 700 nchini Burkina Faso kwa ajili ya kumlinda raisi Ibrahim Traore na kuhimarisha ulinzi nchini Burkinabe.
  2. GENTAMYCINE

    Rais wa Burkina Faso akithubutu tu kufanya Ziara nchi moja ya Kipuuzi Afrika Nitamdharau mazima, ila akienda Rwanda na Uganda nitampongeza sana

    Ataendaje katika hiyo nchi ambayo kwa sasa ina Wapumbavu, Wezi, Washamba, Washirikina na Wauwaji ni wengi sana?
  3. Mateso chakubanga

    Rais wa Korea kaskazini: Tutaipa Burkina faso msaada wo kijeshi.

    Kutokana na matishio ya kiusalama na matishio ya kumuua Rais Ibrahim Traore wa Burkina faso, kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un amesema serikali yake itaipatia Burkinafaso msaada mkubwa wa kijeshi endapo Taifa lolote la nje litajaribu kuivamia Burkinafaso. Sambamba na Korea kaskazini nchi...
  4. The Supreme Conqueror

    Jasusi hatari nyuma ya NGO nchini Burkina Faso.

    Jasusi hatari nyuma ya NGO nchini Burkina Faso. Jasusi Joe Bassey kutoka Perrot Island nchini Cana ameachia nyaraka za siri zinazofichua kwamba Bi Claire Dubois, mwanamke Mfaransa katika miaka 30 iliyopita aliwasili Burkina Faso akijifanya kama mkurugenzi wa NGO ya Magharibi iitwayo Hope...
  5. L

    Rais Wa Burkina Faso Ibrahim Traore akutana uso kwa uso na Rais Wa Urusi. Amsalimia kwa heshima bila mbwembwe za kuweka silaha kiunoni au kutoa tano

    Ndugu zangu Watanzania, Kumbe Rais Wa Burkina Faso Ibrahim Traore tabia ya kufanya mbwembwe za kuweka Silaha Kiunoni ikiwa nje nje pamoja na kusalimia watu na viongozi mbalimbali kwa kuwapa Tano anafanyia huku huku Afrika tu na siyo nje ya mipaka ya Afrika. Kwa hakika huyu kijana inatakiwa...
  6. S

    Ibrahim Traore awasili Moscow-Urusi kuhudhuria sherehe za kumbukumbu ya ushindi dhidi ya Wanazi

    Kiongozi wa kijeshi wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traore amewasili mjini Moscow nchini Urusi leo tarehe 8 Mei 2025. Kapteni Traore ni miongoni mwa viongozi walioalikwa nchini Urusi kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za kumbukumbu ya ushindi walioupata Urusi dhidi ya wanazi kutoka nchini...
  7. Mkalukungone Mwamba

    Urusi yatuma Vikosi Maalum kumlinda Rais wa Burkina Faso Ibrahim Traoré kufuatia jaribio la mapinduzi

    Mei 2025, vikosi maalum vya Urusi kutoka kwa jeshi la serikali la Afrika vilitumwa Burkina Faso kumlinda Rais Ibrahim Traoré, kufuatia majaribio ya hivi karibuni ya mapinduzi na ukosoaji mkubwa wa Magharibi. Kikosi cha Afrika, kinachofanya kazi nchini Mali, Niger, na Burkina Faso, kinaonyesha...
  8. SankaraBoukaka

    Vijana wa Afrika wanaopigania Uhuru na Uchumi wa Bara lao, Wazee bado wanaendelea kuuza Maliasili kwa Mabwenyenye

    Afrika ni tajiri kwa kila namna – lakini umasikini wake ni matokeo ya wasaliti wa ndani wanaouza utu wa bara hili kwa maslahi yao binafsi. Ni jukumu la vijana kuamka, kuungana, na kuchukua nafasi yao katika kujenga Afrika huru, ya haki, na yenye uchumi imara kwa wote. 1. Vijana Wanataka Uhuru wa...
  9. Lycaon pictus

    Ni kweli kuwa Burkina Faso wamegundua mafuta mapipa bilioni 50?

    Nimeona huku na kule habari kuwa Burkina Faso wamegundua reserve ya mafuta mapipa bilioni 50. Kampuni ya Russia ndiyo imefanya utafiti. Hayo ni mafuta mengi kuliko hata ya Nigeria yenye karibu mapipa 40bilioni. Hizi habari zina ukweli gani?
  10. Sigonella Island

    Russia yapeleka Komando Burkina Faso

    Russia imepeleka Special Forces Burkina Faso kwa ajili ya kuongeza ulinzi na mafunzo maalum. Unakuja baada Ufaransa kuonyesha tamaa ya kutaka kutawala Nchi za kiafrika na kuendelea kuzinyonya kadri wanavyo hitaji BREAKING Russia has reportedly sent special forces trained with unique skills to...
  11. Mr Why

    Vladimir Putin aahidi kumlinda rais Ibrahim Traoré dhidi ya majangili wa Marekani na Ufaransa wanaodhulumu rasilimali za Afrika

    "Hakuna kitu kitakachompata Ibrahim Traoré ilimradi mimi bado niko hai. Marekani au Ufaransa hawana haki ya kumkamata Rais wa taifa huru la Afrika." __ Rais wa Urusi, Vladimir Putin. "Nataka kufanya mambo kuwa wazi kabisa. Rais Ibrahim Traoré alinifata baada ya yeye mwenyewe kutathmini na...
  12. MakinikiA

    Putin atamka kumlinda Raisi wa Burkina Faso " Ibrahim Traore" dhidi ya mataifa yanayotaka kumkamata

    VLADIMIR PUTIN "Hakuna kitu kitakachompata Ibrahim Traoré ilimradi mimi bado niko hai. Marekani au Ufaransa hawana haki ya kumkamata Rais wa taifa huru la Afrika." __ Rais wa Urusi, Vladimir Putin. "Nataka kufanya mambo kuwa wazi kabisa. Rais Ibrahim Traoré alinifata baada ya yeye mwenyewe...
  13. The Mongolian Savage

    TISS ya Burkina Faso Bora Africa

    Idara ya usalama ya Burkina Faso ANR ndio Bora kuliko idara za usalama Africa. Idara Hiyo chini ya bwana mdogo the son of Africa Ibrahim Traure imeweza kuzuia mapinduzi dhidi ya Traoure Kwa ustadi na mbinu ya aina Yake Kwa kufichua mbinu ovu za CIA, Mi6 pamoja na ufaransa na kuzuia kumwangamiza...
  14. Richard

    Kwanini Kikwete na Janabi walienda Burkina Faso, Tanzania ina uhusiano upi na Burkina Faso?

    Picha na Daily News. Rais wa zamani wa Tanzania Jakaya Kikwete ambae ni mjumbe maalum wa raisi Samia, siku ya tarehe 17 April alifanya ziara ya kikazi nchini Burkina Faso. Akiwa mjini Ougadougou mjumbe huyo aliwasilisha salamu kutoka kwa raisi wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambao ulisisitiza...
  15. I

    Jeshi la Burkina Faso lasema lilizuia njama 'kuu' ya mapinduzi

    Jeshi la Burkina Faso lasema lilizuia njama 'kuu' ya mapinduzi. Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imesema ilitibua "njama kubwa" ya kumpindua kiongozi wa kijeshi Kapteni Ibrahim Traoré, huku jeshi likidai kuwa wapangaji hao walikuwa na makao yao katika nchi jirani ya Ivory Coast. Waziri wa...
  16. Roving Journalist

    Jakaya Mrisho Kikwete alivyokutana na Rais wa Burkina Faso, Captain Ibrahim Traoré

    Mjumbe Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha ziara yake kwa kukutana na Rais wa Burkina Faso, Captain Ibrahim Traoré. Mkutano huo ulifanyika jijini Ouagadougou Aprili 17, 2025 na kuhudhuriwa na maafisa waandamizi kutoka Serikali zote mbili. Katika mkutano...
  17. E

    Ibrahim Traore : Umeme bure Maji bure kwa Wazee Burkina Faso Hakuna Kulipa

    Anaamini kwamba Umeme na Maji ni huduma za Msingi ambazo binadamu anahitaji kuzipata Tunayakujifunza kwa Watawala na Wapiga kura huku Kusini mwa Jangwa la Sahara Mungu ambariki huyu KIJANA !!! Earthmover Kasumbalesa
  18. Intricate

    SI KWELI Burkina Faso yalipa deni lote la taifa

    Huku kwetu kila kukicha deni linazidi kupaa na maisha kuzidi kuwa magumu. Na hapo tunajinasibu kuwa na amani na utulivu. Burkina Faso mbali ya kuwa katika machafuko kwa muda mrefu, kwa miaka 2 tu Traore kaweza kulipa deni la taifa la Dola Bil. 4. Halafu Tanzania Wasira anajisifu kuwa deni ni...
  19. Waufukweni

    Rais wa Burkina Faso Ibrahim Traoré akionesha ufundi kwenye Soka akiwa na Jay-Jay Okocha na Adebayor

    Rais wa Burkina Faso 🇧🇫Ibrahim Traoré ni mtu wa boli kweli kweli, hapa akiwa anacheza na wakongwe wa boli kwenye mchezo wa kirafiki akiwemo fundi wa Mpira kutoka Nigeria Jay-Jay Okocha, Emmanuel Adebayor na wengine.
  20. S

    Niger, Mali na Burkina Faso zajitoa kwenye Jumuiya ya nchi zinazotumia Kifaransa (Francophones)

    Baada ya kujitoa kwenye jumuiya ya kiuchumi ya nchi za Afrika Magharibi ( ECOWAS) , Niger , Mali na Burkina Faso zimejitoa rasmi kwenye jumuiya ya nchi zinazotumia lugha ya Kifaransa na zilizokuwa makoloni ya Ufaransa (OIF- Organisation Internationale de la Francophonie ). Taarifa ya kujitoa...
Back
Top Bottom