burkina faso

Burkina Faso (UK: , US: (listen); French: [buʁkina faso]) is a landlocked country in West Africa that covers an area of around 274,200 square kilometres (105,900 sq mi) and is bordered by Mali to the northwest, Niger to the northeast, Benin to the southeast, Togo and Ghana to the south, and the Ivory Coast to the southwest. The July 2019 population estimate by the United Nations was 20,321,378. Previously called Republic of Upper Volta (1958–1984), it was renamed "Burkina Faso" on 4 August 1984 by President Thomas Sankara. Its citizens are known as Burkinabé or Burkinabè ( bur-KEE-nə-bay), and its capital and largest city is Ouagadougou. Due to French colonialism, the country's official language of government and business is French. However, only 15% of the population actually speaks French on a regular basis. There are 59 native languages spoken in Burkina, with the most common language, Moore, spoken by roughly 50% of Burkinabé.The Republic of Upper Volta was established on 11 December 1958 as a self-governing colony within the French Community and on 5 August 1960 it gained full independence with Maurice Yaméogo as President. After protests by students and labour union members, Yaméogo was deposed in the 1966 coup d'état, led by Sangoulé Lamizana, who became president. His rule coincided with the Sahel drought and famine, and facing problems from the country's trade unions he was deposed in the 1980 coup d'état, led by Saye Zerbo. Encountering resistance from trade unions again, Zerbo's government was overthrown in the 1982 coup d'état, led by Jean-Baptiste Ouédraogo.
The leader of the leftist faction of Ouédraogo's government, Thomas Sankara, was made Prime Minister but was later imprisoned. Efforts to free him led to the 1983 coup d'état, in which he became president. Sankara renamed the country Burkina Faso and launched an ambitious socioeconomic programme which included a nationwide literacy campaign, land redistribution to peasants, railway and road construction and the outlawing of female genital mutilation, forced marriages and polygamy. Sankara was overthrown and killed in the 1987 coup d'état led by Blaise Compaoré – deteriorating relations with former coloniser France and its ally the Ivory Coast were the reason given for the coup.
In 1987, Blaise Compaoré became president and, after an alleged 1989 coup attempt, was later elected in 1991 and 1998, elections which were boycotted by the opposition and received a considerably low turnout, as well as in 2005. He remained head of state until he was ousted from power by the popular youth upheaval of 31 October 2014, after which he was exiled to the Ivory Coast. Michel Kafando subsequently became the transitional president of the country. On 16 September 2015, a military coup d'état against the Kafando government was carried out by the Regiment of Presidential Security, the former presidential guard of Compaoré. On 24 September 2015, after pressure from the African Union, ECOWAS and the armed forces, the military junta agreed to step down and Michel Kafando was reinstated as acting president. In the general election held on 29 November 2015, Roch Marc Christian Kaboré won in the first round with 53.5% of the vote and was sworn in as president on 29 December 2015.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania FT | Burkina Faso 2-1 Twiga Stars | Kundi B | Uwanja wa Larbi Zaouli | 31.07.2026 | Saa 5 Usiku

    Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars, leo itashuka dimbani kuwania kuongeza nafasi ya kutinga robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 itakapovaana na Burkina Faso katika mchezo wake wa pili wa Kundi B utakaopigwa saa 5:00 usiku. Mchezo...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Burkina Faso yavunja Uhusiano wa kidiplomasia na Ufaransa

    Utawala wa kijeshi wa Burkina Faso imevunja uhusiano wa kidiplomasia na Ufaransa rasmi kuanzia Juni 26, 2026, nchi ambayo ilikuwa mtawala wao wa zamani wa kikoloni, ukiishutumu kwa kuendelea kufanya mambo yanayokwenda kinyume na maslahi yake. Taarifa iliyotolwa na Serikali hiyo ya kijeshi...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Burkina Faso yaifungia Televisheni ya Ufaransa 'TV5 Monde' kwa habari za uongo

    Burkina Faso imeipiga marufuku televisheni ya Ufaransa, TV5 Monde, ikiituhumu kwa kueneza "habari za uongo" kuhusu hali ya ugaidi nchini humo na nchi jirani ya Mali. Uamuzi huo ulitangazwa na mamlaka ya kusimamia vyombo vya habari nchini humo siku ya Jumanne Mei 5, 2026. Hii si mara ya kwanza...
  4. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania TRUE Burkina Faso has officially banned the importation of rice in order to boost local production

    A post has been circulating widely on social media claiming that the government of Burkina Faso has officially banned the importation of rice in order to boost local production. According to the post, rice is a staple food in the country, with most households consuming it several times a week...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Burkina Faso: Serikali ya Traore yavunja zaidi ya Mashirika 100 ya Kiraia

    Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imevunja takriban mashirika 100 ya kiraia katika taarifa iliyotolewa Aprili 15, 2026, mamlaka zilitangaza kuwa vyama 118 mengi yakiwa yanajishughulisha na kazi za haki za binadamu sasa yamepigwa marufuku kufanya kazi nchini kote. Baraza la kijeshi...
  6. R

    JamiiForums Tanzania BURKINA FASO: Serikali yakana ripoti ya zaidi ya raia 1,800 kuuawa kipindi cha uongozi wa Traore

    Burkina Faso imekanusha taarifa inayodai kuwa zaidi ya raia 1,800 wameuawa katika matukio yanayochukuliwa kama “uhalifu dhidi ya ubinadamu” tangu Ibrahim Traoré alipochukua madaraka kwa nguvu miaka mitatu iliyopita. Shirika la Human Rights Watch, lililotoa ripoti hiyo, linasema kuwa mauaji...
  7. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Ibrahim Traore anaendelea kudanganya umma kwa simulizi kwamba bado yuko madarakani ili kuilinda Burkina Faso dhidi ya ushawishi wa Magharibi

    Muafrika na demokrasia ni kama maji na mafuta. Hio ni kwa sababu mtu mweusi ni mbinafsi, mwenye dharau, amekosa utu na mwenye kulewa na madaraka. Niliwahi kuleta uzi kuww ipo siku mwamba atazingua ila watu wakaleta makasiriko kwamba namchafua boy wao. Sasa ndio inaanzaga hivi kitakachofata...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Rais wa mpito wa zamani Burkina Faso, Paul-Henri Sandaogo Damiba akamatwa na kufukuzwa kwa kupanga njama za Mapinduzi

    Rais wa mpito wa zamani wa Burkina Faso, anayehusishwa na kupanga njama kadhaa za mapinduzi, amekamatwa nchini Togo na kufukuzwa, kwa mujibu wa vyanzo vya ndani vya habari. Paul-Henri Sandaogo Damiba alimwondoa madarakani Rais wa Burkina Faso Roch Marc Christian Kaboré kupitia mapinduzi ya...
  9. W

    JamiiForums Tanzania Waziri wa zamani wa Burkina Faso, Yolande Viviane Compaoré, auawa

    Waziri wa zamani wa Burkina Faso, Yolande Viviane Compaoré, ameuawa katika makazi yake mjini Ouagadougou. Maafisa wamesema kuwa mwili wa Compaoré uligunduliwa nyumbani kwake Jumamosi iliyopita, na ushahidi uliopatikana eneo la tukio unaonyesha kuwa alishambuliwa kisha kuuawa. Mamlaka za mahakama...
  10. McLaren

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Burkina Faso: Kulikuwa na njama za kumuua Rais Ibrahim Traore, tumezizuia

    Serikali ya Burkina Faso imesema imefanikiwa kuzuia jaribio la mapinduzi dhidi ya Rais Ibrahim Traoré, ikimtuhumu aliyekuwa rais wa mpito, Luteni Kanali Paul-Henri Sandaogo Damiba, kuwa mpangaji mkuu wa njama hiyo. Waziri wa Usalama, Mahamadou Sana, amesema mpango huo ulihusisha mauaji ya...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Mali na Burkina Faso zaweka marufuku kwa raia wa Marekani kuingia kwenye nchi hizo kama hatua ya kumjibu Trump

    Mali na Burkina Faso zimetangaza kuwazuia raia wa Marekani kuingia katika nchi zao, zikieleza kuwa hatua hiyo ni jibu la moja kwa moja kwa uamuzi wa Marekani wa kuwazuia raia wao kuingia nchini humo. Mataifa hayo mawili ya Afrika Magharibi yanayoongozwa na serikali za kijeshi yalitangaza uamuzi...
  12. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Burkina Faso, Mali na Niger Zazindua Benki ya Kanda kwa Uwekezaji wa Pamoja

    Bamako, Mali – Nchi tatu za Afrika Magharibi, Burkina Faso, Mali na Jamhuri ya Niger, zimezindua rasmi benki ya uwekezaji ya kikanda yenye mtaji wa awali wa faranga bilioni 500 za CFA, sawa na takribani dola milioni 895 za Marekani. Hatua hii inalenga kuimarisha uhuru wa kiuchumi wa mataifa...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Burkina Faso, Mali na Niger zajitoa kwenye mahakama ya ICC, wataja kuwa sababu ni ukoloni mambo leo

    Burkina Faso, Mali na Niger zimetangaza uamuzi wao wa kujiondoa mara moja kuwa wanachama wa mahakama ya kimataifa inayoshughulikia kesi za uhalifu wa kivita na kibinadamu ICC,zikidai mahakama hiyo ni chombo cha kuendekeza ukoloni mambo leo na ubaguzi katika hukumu zake. Mataifa hayo matatu ya...
  14. S

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Burkina Faso inajenga sanamu kwa ajili ya Rais wao Traore

    Wakuu nimeona huko mitandaoni hili jambo lina trend sana
  15. S

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Burkina Faso yatambulisha vazi rasmi la kazi kupiga marufuku wafanyakazi wake kuvaa suti

    Wakuu kwenye pitapita zangu huko mtandaoni nikakutana na hii "Katika mabadiliko yanayoendelea kufanywa na Rais wa Burkina Faso, Ibrahim Traore ametoa vazi maalum la kuvaa wakati wa kazi na amepiga marufuku uvaaji wa Suti kwa mtumishi au mtu yoyote anaefanya kazi."
  16. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Burkina Faso kutoa visa bure kwa raia wa Afrika

    Burkina Faso inasema imeanzisha mfumo wa visa bila malipo kwa raia wa Afrika, kwa nia ya kuwezesha usafirishaji wa watu na bidhaa ndani ya nchi. Uamuzi huo ulitolewa Alhamisi, wakati wa Mkutano wa Baraza la Mawaziri ulioongozwa na kiongozi wa kijeshi Kapteni Ibrahim Traoré "Kuanzia sasa, raia...
  17. bro alex

    JamiiForums Tanzania Kama dhahabu tu inatosha kibadili taswira ya Burkina Faso je dhahabu ya Geita ingeifanya Geita kuwa ya namna gani?

    Kuna muda Huwa naona Bora GEITA ingekuwa ya wachaga si wasukuma huenda ingekuwa MBALI sana. Burkinafaso fujo zote Mali ,Ghana, afrika kisini kwa mbali fujo zote ni DHAHABU njoo nyumbani GEITA ujionee umaskini miundombinu Dunia dah. Maana hao jamaa wanauelewa ila nyumbani huko ni ccm tu hata...
  18. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Rais Ibrahim Traore anataka kuifanya kiswahili kuwa lugha rasmi ya taifa la Burkina Faso

    Wakuu ==== Ni kweli kuwa Rais wa Burkina Faso anataka kuidhinisha kiswahili kuwa lugha ya taifa badala ya Kifaransa? Msaada Kwa mwenye ukweli wa taarifa hizi??
  19. R

    JamiiForums Tanzania Shirika la Chakula Duniani la Umoja wa Mataifa (WFP) yasitisha Safari za Ndege kuelekea Mji wa Burkina Faso Baada ya Mlipuko wa Helikopta

    Shirika la Chakula Duniani la Umoja wa Mataifa (WFP) limesitisha safari za ndege kuelekea mji wa Solle, kaskazini magharibi mwa Burkina Faso, baada ya mlipuko kutokea karibu na helikopta waliyoikodi na kujeruhi afisa wa serikali pamoja na mhudumu wa ndege. Tukio hilo lilitokea Agosti 12, 2025...
  20. J

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi 60,000 waanza mafunzo ya uzalendo Burkina faso

    Takribani wanafunzi 60,000 waliomaliza elimu ya sekondari nchi Burkina Faso wameanza mafunzo ya uzalendo yatakayodumu kwa mwezi mmoja kama sehemu ya kuwajengea uwezo wa kutetea na kupigania taifa hilo la Afrika magharibi linalokumbwa na changamoto za ghasia za kijahidi, Mpango huo umepanga...
Back
Top Bottom