burkina faso

Burkina Faso (UK: , US: (listen); French: [buʁkina faso]) is a landlocked country in West Africa that covers an area of around 274,200 square kilometres (105,900 sq mi) and is bordered by Mali to the northwest, Niger to the northeast, Benin to the southeast, Togo and Ghana to the south, and the Ivory Coast to the southwest. The July 2019 population estimate by the United Nations was 20,321,378. Previously called Republic of Upper Volta (1958–1984), it was renamed "Burkina Faso" on 4 August 1984 by President Thomas Sankara. Its citizens are known as Burkinabé or Burkinabè ( bur-KEE-nə-bay), and its capital and largest city is Ouagadougou. Due to French colonialism, the country's official language of government and business is French. However, only 15% of the population actually speaks French on a regular basis. There are 59 native languages spoken in Burkina, with the most common language, Moore, spoken by roughly 50% of Burkinabé.The Republic of Upper Volta was established on 11 December 1958 as a self-governing colony within the French Community and on 5 August 1960 it gained full independence with Maurice Yaméogo as President. After protests by students and labour union members, Yaméogo was deposed in the 1966 coup d'état, led by Sangoulé Lamizana, who became president. His rule coincided with the Sahel drought and famine, and facing problems from the country's trade unions he was deposed in the 1980 coup d'état, led by Saye Zerbo. Encountering resistance from trade unions again, Zerbo's government was overthrown in the 1982 coup d'état, led by Jean-Baptiste Ouédraogo.
The leader of the leftist faction of Ouédraogo's government, Thomas Sankara, was made Prime Minister but was later imprisoned. Efforts to free him led to the 1983 coup d'état, in which he became president. Sankara renamed the country Burkina Faso and launched an ambitious socioeconomic programme which included a nationwide literacy campaign, land redistribution to peasants, railway and road construction and the outlawing of female genital mutilation, forced marriages and polygamy. Sankara was overthrown and killed in the 1987 coup d'état led by Blaise Compaoré – deteriorating relations with former coloniser France and its ally the Ivory Coast were the reason given for the coup.
In 1987, Blaise Compaoré became president and, after an alleged 1989 coup attempt, was later elected in 1991 and 1998, elections which were boycotted by the opposition and received a considerably low turnout, as well as in 2005. He remained head of state until he was ousted from power by the popular youth upheaval of 31 October 2014, after which he was exiled to the Ivory Coast. Michel Kafando subsequently became the transitional president of the country. On 16 September 2015, a military coup d'état against the Kafando government was carried out by the Regiment of Presidential Security, the former presidential guard of Compaoré. On 24 September 2015, after pressure from the African Union, ECOWAS and the armed forces, the military junta agreed to step down and Michel Kafando was reinstated as acting president. In the general election held on 29 November 2015, Roch Marc Christian Kaboré won in the first round with 53.5% of the vote and was sworn in as president on 29 December 2015.

View More On Wikipedia.org
  1. Carlos The Jackal

    Ibrahim Traore, Rais kijana, alovuviwa Roho ya Hayati Magufuli, anayepaswa kuigwa na Vijana wa Tanzania. Burkina Faso sasa inachanua

    Unaweza kudhani ni maajabu, ila huo ndio ukweli, Kijana alozaliwa 14/3/1988, aloamua kuchukua Nchi Kwa njia ya mapinduzi mnamo 30/9/2022 .. ni Mwaka mmoja na miezi 6 tuu ila Mzalendo huyu Kijana kaamua kuanzisha safari aloiachia HAYATI Thomasi Sankara. Kwa watoto wa 2000, Thomas Sankara ni...
  2. BARD AI

    Burkina Faso yaripoti mauaji ya Watu 170 waliochinjwa ndani ya wiki moja, Machafuko ya Kidini yakitajwa

    BURKINA FASO: Takriban Watu 170 kutoka katoka Vijiji vya Komsilga, Nodin, na Soro katika Mji wa Yatenga, wameripotiwa kuuawa na Waasi wanaohusishwa na Vikundi vya al Qaeda na IS. Taarifa iliyotolewa leo na Mwendesha Mashtaka wa Serikali leo Machi 3, 2024 imeeleza kuwa mauaji hayo yaliyoanza...
  3. JanguKamaJangu

    Burkina Faso: Zaidi ya Watu 10 wauawa katika shambulio msikitini

    Zaidi ya Watu wameuawa kwa kupigwa risasi wakiwa msikitini katika Mji wa Natiaboani siku ambayo pia iliripotiwa Watu 15 kuuawa kwa kushambuliwa wakiwa Kanisani (Mji wa Essakane) ikiwa ni mwendelezo wa machafuko yanayotokea Burkina Faso. Inadaiwa waliofanya shambulizi ni sehemu ya Makundi ya...
  4. JanguKamaJangu

    Waumini 15 wa Kanisa Katoliki Nchini Burkina Faso wauawa katika shambulio la kigaidi

    Raia 15 waliuawa na wengine wawili kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi kwenye kanisa katoliki wakati wa ibada ya Jumapili kaskazini mwa Burkina Faso, afisa kwenye kanisa hilo alisema. “Tunataka kuwafahamisha kuhusu shambulio la kigaidi ambalo lililenga jamii yetu ya kikatoliki katika kijiji...
  5. BARD AI

    Burkina Faso, Mali na Niger zatangaza kujiondoa ndani ya Umoja wa ECOWAS

    UPDATE: Ecowas yawaondolea Vikwazo Guinea, Mali, Niger na Burkinafaso Jumuiya ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS) imeamua kuondoa vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa kwa Niger, Mali, na Burkina Faso Hatua hii ni kufuatia majadiliano ya muda mrefu ya viongozi wa kikanda katika...
  6. w0rM

    Marekani inafundisha Wanajeshi wa Kiafrika kufanya Mapinduzi nchini mwao? Walioongoza mapinduzi Guinea na Burkina Faso ni zao lao

    Katika majibizano makali mnamo Machi 23, 2023, Congressman Matt Gaetz alimuhoji kiundani Kamanda wa Kamandi ya U.S. Afrika, Jenerali Michael Langley kuhusu Dola za Walipa Kodi wa Marekani zilizotumika kuwafunza Viongozi wa Kijeshi wa Mapinduzi barani Afrika Mnamo Januari 2022, Luteni Kanali...
  7. JanguKamaJangu

    Urusi yafungua ubalozi nchini Burkina Faso baada ya miaka 30

    Burkina Faso imeegemea Urusi tangu Jeshi lilipochukua Madaraka kwa njia ya Mapinduzi Mwaka 2022 kisha kuwafukuza Wanadiplomasia wa Ufaransa na kufunga kambi ya Kijeshi ya Ufaransa Nchini humo. Ufaransa ililaani mapinduzi ya Burkina Faso pamoja na katika Nchi jirani za Mali na Niger. Hatua hiyo...
  8. R

    Burkina Faso yafuta Kifaransa kama lugha yao ya Taifa, yabakia kuwa Lugha ya Kazi

    Burkina Faso ikiwa chini ya Ibrahim Traoré kwa mpito umepitisha muswada wa marekebisho ya Katiba na hivyo kutangaza lugha zao za ndani kuwa lugha rasmi badala ya Kifaransa ambayo sasa imeshushwa hadhi kuwa "Lugha ya kazi". "Katika rasimu hii, lazima tukumbuke kuwa lugha za kitaifa zimeainishwa...
  9. Bull Bucka

    CPJ: Mamlaka za Burkina Faso zihakikishe usalama wa mwandishi wa habari Boureima Ouedraogo kutokana na vitisho vya kutekwa nyara

    Mamlaka nchini Burkina Faso inapaswa kurejesha agizo la kuwajumuisha kijeshi waandishi wa habari Issaka Lingani na Yacouba Ladji Bama na kuhakikisha usalama wa mwandishi wa habari Boureima Ouedraogo kutokana na vitisho vya kutekwa nyara, Kamati ya Kulinda Waandishi wa Habari ilisema Jumatano...
  10. JanguKamaJangu

    EU yasema Watu 100 wahofiwa kuuawa nchini Burkina Faso

    Umoja wa Ulaya (EU) umetaka uchunguzi ufanyike kuhusu madai ya Watu 100 kuuawa katika Vijiji kadhaa Nchini Burkina Faso hasa katika Kijiji cha Zaongo. Marekani pia imetoa kauli ya kulaani mauaji hayo licha ya Serikali ya Kijeshi ya Burkina Faso kutotoa kauli yoyote hadharani juu ya taarifa hizo...
  11. JanguKamaJangu

    Utawala wa Burkina Faso wadaiwa kulazimisha wakosoaji kujiunga kwenye vita dhidi ya Wanamgambo

    Utawala wa kijeshi wa Burkina Faso inatumia vibaya sheria ya dharura kuandikisha wanaodhaniwa kuwa wapinzani na wakosoaji wake kuijiunga kwenye vita hatari dhidi ya wanamgambo. Watu hao wanasemekana kulazimishwa kupambana na watu wanaohusishwa na makundi ya kigaidi ya Al Qaida na Islamic State...
  12. R

    UZUSHI Daktari aliyemkosoa Rais wa Burkina Faso kushindwa kushughulika na ugaidi apelekwa kukabiliana na ugaidi huo

    Wakuu, Habari hii imesambaa kwenye mitandao ya kijamii, kwamba huyu Daktari baada ya kumkosoa Rais wa Burkina Faso Kpt. Ibrahim Traore kuhusu kushindwa kupambana na magaidi, alikamatwa, akavishwa magwanda kwenda kupambana na magaidi hao kwakuwa yeye analiweza suala hilo kuliko jeshi. Hii...
  13. Juma Wage

    "Aliou Sawadogo" kijana wa Burkina Faso aliyeitungua "Drone" ya Ufaransa kwa manati

    Novemba 24, 2021 Kijana wa miaka 13 raia wa Burkina Faso, Aliou Sawadogo akiwa na manati yake porini akiwinda ndege, aliona kitu kikiambaa angani. Sawadogo akatoa jiwe kutoka katika kaptula yake kisha akaliweka katika kigozi cha manati na kuanza kutafuta shabaha. Akavuta pumzi na kuzishusha...
  14. Lady Whistledown

    Ufaransa yasitisha Misaada Burkina Faso kwa kuiunga Mkono Niger

    Ni baada Serikali ya Kijeshi Nchini Burkina Faso kusema itapigana na yeyote atakayejaribu kuwavamia Kijeshi viongozi waliofanya mapinduzi nchini Niger ili kumrejesha Madarakani Rais Mohamed Bazoum Hatua hii inakuja baada ya muda ambao Jumuiya ya Afrika Magharibi ECOWAS iliwataka Viongozi wa...
  15. Notorious thug

    Raisi Samia Suluhu muige Ibrahim Traore wa Burkina Fasso

    Kwa umri wake wa miaka 35 kaptein Ibrahim Traore ni mtoto kwa umri wa Samia Hassan Suluhu ila kwa utendaji wake wa kazi Ibrahim Traore ni mwalimu kwa Samia. Ni raisi mwenye msimamo na uthubutu hazungukwi na Wezi na Machawa inakatisha tamaa kuona Raisi ana chama chake cha Machawa(AIBU)...
  16. U

    The Banner of Burkina Faso: History, Significance, and Imagery;What it symbolise?

    It is 1984. President Thomas Sankara moves to change his nation's name from the Republic of Upper Volta to Burkina Faso 24 years after freedom from French rule. This name change gives way to new public images like the song of devotion, maxim, and banner (all the more later).<br> He made another...
  17. U

    The History of Burkina Faso: Which nation Colonized Burkina Faso?

    Which nation Colonized Burkina Faso? The historical backdrop of Burkina Faso incorporates the historical backdrop of different realms inside the country, like the Mossi realms, as well as the later French colonization of the region and its autonomy as the Republic of Upper Volta in 1960. What...
  18. JanguKamaJangu

    Burkina Faso yawafukuza Waandishi wa Habari wa Ufaransa

    Kitendo cha Wanahabari hao wawili wanaoripoti katika magazeti ya Ufaransa ni mwendelezo mbovu wa uhusiano kati ya Serikali za mataifa hayo. Waandishi hao ni Sophie Douce na Agnes Faivre ambao waliwaili Ufaransa baada ya kupewa saa 24 za kuondoka, Chanzo kikiwa ni kuchapishwa kwa uchunguzi...
  19. MK254

    Wanajihadi wanahisiwa kuua 28 Burkina Faso

    Ni mwendo wa kuua tu, Twenty-eight people have died in new attacks by suspected jihadists in Burkina Faso, including 15 who had been abducted at the weekend, the authorities said Tuesday. Fifteen bodies bearing bullet impacts were found on Monday near Linguekoro, a village in the western...
  20. JanguKamaJangu

    Ufaransa yamwita nyumbani balozi wake nchini Burkina Faso

    Wizara ya mambo ya nje ya Ufaransa ilisema Alhamisi kuwa inamwita nyumbani balozi wake nchini Burkina Faso, ikitaja muktadha wa matukio ya hivi karibuni, siku moja baada ya Paris kutangaza kuwa itaondoa wanajeshi wake katika nchi hiyo. Tumeamua kumrudisha balozi wetu mjini Paris ili kufanya...
Back
Top Bottom