bora

Borá is a municipality in the state of São Paulo in Brazil. The population is 838 (2020 est.) in an area of 119 km². The elevation is 582 m.
Borá is the least populated Brazilian municipality.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    JamiiForums Tanzania SoC02 Familia Bora, Taifa Bora

    Familia Bora hujenga Taifa bora FAMILIA BORA, TAIFA BORA Ningependa tuelimishane namna familia zinavyoweza kujenga taifa bora au kuaribu taifa. Kwanza kabisa ningependa kueleza maana ya familia na aina zake. Familia ni muunganiko wa baba, mama na watoto au kikundi cha watu wanaoishi pamoja...
  2. M

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kitendawili cha utawala bora kwa watawala na viongozi wetu

    Neno “Utawala”pekee linaweza kutumika katika fasihi kadhaa, mfano utawala katika ngazi za taasisi (corporate governance), utawala wa kimataifa,(international governance),utawala wa kitaifa, (national governance) lakini pia utawala wa mitaa (local governance). Utawala bora ni matumizi ya uwezo...
  3. JamiiForums Tanzania Gold Metal Detector gani ni bora kwako na inakupa Matokeo...?

    Habari Wakuu! Naomba kupata Uzoefu wenu, aina gani ya Gold Detector ambayo imekupa matokeo Mazuri....!? Iwe ni Detector ya Coil au high range detector...! NB. Binafsi nahitaji Detector kwa ajiri ya kutafuta Gold Nuggets kijijini kwetu....! Pia kama inaweza ku detect Hidden treasures itakua...
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba msijidanganye kwamba mnayo timu bora kwa kuifunga ST. George

    Nilishangaa Sana simba kwenda kuwaalika st.george ya ethiopia kucheza nao, kweli wamechagua timu ya kupata matokeo hili kuwafurahisha mashabiki wao lakini kama ni kipimo cha kujiandaa kucheza mechi za kimataifa basi wamepotea njia kwa aina ya timu waliyocheza nay. Timu inapiga chenga na...
  5. JamiiForums Tanzania Ipi ni siasa bora!

    Siasa ni nini tuanzie hapo kwanza. Siasa ni shughuli za kumuinua mtu hadhi yake au nguvu yake katika taasisi fulani. Je kiserikali siasa ina maana gani? Hapa tunaona siasa ni shughuli za kichama kupata nguvu kuongoza eneo au nchi. Sasa umewahi kujiuliza siasa ina faida gani katika nchi yetu na...
  6. S

    JamiiForums Tanzania SoC02 Utawala bora

    Utawala ni uongozi ambao unakuwa madarakani katika kipindi fulani, utawala huu unaweza kutokana na kuchaguliwa, kurithi kama ilivyo katika baadhi ya nchi kama Korea Kaskazini ama mapinduzi. utawala bora no utawala unaozingatia misingi ya haki, taratibu na kanuni kwa mujibu wa sheria ambazo nchi...
  7. JamiiForums Tanzania Mabilioni ya ruzuku kwenye mafuta bora yangefanya kazi nyingine tu

    Nasikitika nilichogundua Ugumu wa maisha siyo kwa wote Kuna wengine kama wale wanawekewa mafuta kwenye gari serikali ,wanaletewa vyakula nyumbani na serikali watoto wanasomeshwa na serikali ,hawa wakisikia mafuta kupanda bei wanaona kama hadithi tu. Nchi isingepitiwa na bahari hii ingekuwa...
  8. JamiiForums Tanzania SoC02 Elimu Bora ilenge kutimiza mambo manne kwa mwanadamu

    ELIMU BORA ILENGE KUTIMIZA MAMBO MANNE KWA MWANADAMU. Na PrMujuni ELIMU BORA inahitajika sana na kila siku inaimbwa na wanaharakati wa kisiasa na kijamii. Leo nakuja na wazo kuwa ELIMU yoyote iliyo Bora inapaswa kutimiza malengo makuu manne kwa mwanadamu. Nitatumia msitari wa Biblia kufafanua...
  9. U

    JamiiForums Tanzania Nani Rais bora Tanzania?

    Habari wanajamvi . Naleta mada tajwa hapo juu tujadili pamoja kwa hoja. Nikianza na Raisi wa awamu ya kwanza huyu alikuwa muhimu sana kwa kuwa tanzania ndo ilikuwa inajenga msingi. Ukiangalia kiufundi msingi wa Tanzania ulijengwa kwa tope na kupakwa rangi. Nasema hivo kwa sababu baada ya...
  10. JamiiForums Tanzania Ushiriki Huru wa Wananchi Katika Shughuli za Kisiasa Ndiyo Msingi Thabiti wa Utawala Bora

    Ushiriki wa umma katika masuala ya kisiasa na kidemokrasia hauishii kwenye kufahamu tu yanayoendelea, bali wanaoathiriwa na maamuzi wana haki ya kushirikishwa kisawasawa katika mchakato wa kufanya maamuzi hayo. Ushiriki huu ni sehemu muhimu ya utawala wa kidemokrasia. Lengo kuu la...
  11. S

    JamiiForums Tanzania SoC02 Ushirikishwaji wa Wananchi katika utekelezaji wa maamuzi ni nguzo ya Utawala Bora

    UTAWALA BORA huusisha ushirikishwaji wa wananchi wote walioko ndani ya jamii au nchi kiujumla juu ya utekelezaji wa maamuzi pendekezwa na viongozi Kwa ajili ya maendeleo ya wananchi ndani ya jamii na taifa kwa ujumla kwa kuzingatia haki na usawa wa kila mwananchi aliye ndani ya jamii husika...
  12. JamiiForums Tanzania Gharama za kumuuguza Mzee zinaongezeka. Sisi tumeshachoka kwa kweli. Bora tu achukuliwe

    Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana. Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp...
  13. J

    JamiiForums Tanzania SoC02 Utawala Bora ni Uzalendo sio matokeo ya Siasa wala Diplomasia

    Utawala bora tunaweza kusema ni namna ambavyo waliopewa dhamana wanaendendesha taasisi na shughuli za umma katika kusimamia rasilimali za umma, haki za binadamu kwa kuzinagatia sheria ambazo kama nchi imejiwekea likini siasa nikimnukuu moja kati ya platinum member wa jamii forum akimjibu swali...
  14. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KIUNGO mpya wa Yanga, Stephane Aziz Ki ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Ligi ya Ivory Coast

    KIUNGO mpya wa Yanga, Stephane Aziz Ki ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Ligi ya Ivory Coast kwa msimu uliopita wakati akiichezea Asec Mimosas. Nyota huyo ambaye amejiunga na Yanga msimu huu usajili wake ulikuwa gumzo kutokana na utambulisho wake uliofanyika Julai 15 alfajiri huku akitegemewa...
  15. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haijawi tokea pair bora ya viungo kama hawa

    Xavi,Iniesta,Busquets
  16. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vilabu bora barani Africa 2022

    Vilabu 20 bora zaidi Afrika; 1. Al Ahly 2. Raja Casablanca 3. CR Belouizdad 4. Wydad Casablanca 5. Pyramids FC 6. Atletico Petro De Luanda 7. Zamalek 8. Mamelodi Sundowns 9. JS Kabylie 10. ES Setif 11. Simba SC 12. RC Berkane 13. Orlando Pirates 14. JS Souara 15. TP Mazembe 16...
  17. JamiiForums Tanzania SoC02 Misingi ya Utawala Bora ni ipi? Tufanye nini ili tuwe na Utawala Bora?

    Habari zenu Wana JAMII FORUMS, Hususa ni jukwaa la "STORIES OF CHANGE" Nimatumaini yangu kuwa nyote ni wazima na mnaendelea na majukumu ya kila siku. Andiko hili litaangazia katika ngazi za utawala Hususa katika misingi ya utawala bora ni ipi?hali imekua tofauti kwa kipindi Hiki misingi ya...
  18. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Orodha mpya ya vilabu bora ishirini Afrika kwa mujibu wa CAF

    1. Al Ahly 🇪🇬 2. Wydad Casablanca 🇲🇦 3. Petro de Luanda 🇦🇴 4. CR Belouizdad 🇩🇿 5. Raja Casablanca 🇲🇦 6. Mamelodi Sundowns 🇿🇦 7. Pyramids FC 🇪🇬 8. ES Setif 🇹🇳 9. Zamalek SC 🇪🇬 10. JS Saoura 🇩🇿 11. RSB Berkane 🇲🇦 12. Simba SC 🇹🇿 13. Orlando Pirates 🇿🇦 14. Al Hilal 🇸🇩 15. Esperance 🇹🇳 16. TP...
  19. D

    JamiiForums Tanzania Serikali, huu ndiyo muda muafaka wa kubadilisha sheria za wafanyakazi; Nyongeza ya mishahara iwe ni kwa wafanyakazi bora au maalum tu

    Naomba kutoa Rai kwa serikali! "Ukicheka na nyani Utavuna mabua" TUCTA must watch out! Kuna HAKI na WAJIBU wa kila MTU Haki ya mfanyakazi ni kulipwa ujira wake kama kanuni zinavyosema! LAKINI wajibu wa mfanyakazi ni kufanya kazi bora ili mwajili awe na sababu ya kulipa ujira huo hata Zaidi...
  20. F

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kujitegemea Vijana kiuchumi

    KIJANA mwenye ndoto za kuwa na maisha bora huonekana kwa namna mbali mbali akijituma,kujishughulisha na kutumia mda wake mwingi kwa asilimia kubwa kuzalisha fedha ili aweze kutimiza malengo na mipango anayotamani kuwa nayo ili kuuoa moyo wake kile kitu unahitaji.(vijana wa namna hii huwa Ni...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…