Borá is a municipality in the state of São Paulo in Brazil. The population is 838 (2020 est.) in an area of 119 km². The elevation is 582 m.
Borá is the least populated Brazilian municipality.
HABARI NJEMA KWA WAKULIMA.
Hakuna tena kuumiza kichwa kuhusu kutibu magonjwa nyemelezi kwenye mazao yako kama vile manjano, fangasi, na kudhoofika kwa mazao.
Tumia mkojo wa sungura pia kuongeza mazao na uzito kwenye mazao kama mpunga, mahindi, maharage, ulezi na mtama.
Mkojo wa sungura pia...
Igweeeee!
Adui unayemmudu usimuachie Mungu
Watanzania tumejeruhiwa na kudharauliwa sana na hawa wasaliti
Huyu yeriko nyerere jasusi feki anashindana katika zikomo award,, the best author in africa na kura ndizo zitakazotoa mshindi
Niwaombe wanajf wote tuingie katika link ya zikomo award...
Faharasa hupima nguvu kazi, vifaa, na rasilimali za kifedha ili kutoa “Kielezo cha Nguvu” linganishi.
Katika ripoti hii, tunaangazia mataifa 10 yenye majeshi bora zaidi barani Afrika, tukielezea uwezo na nguvu zao muhimu, pamoja na takwimu za hivi punde za bajeti ya ulinzi kwa dola za...
Mama hauwi watoto wake, bali huwakumbatia na kuwalinda.
Hata vitabu vya dini vinasema, Mtoto wako akiomba mkate huwezi kumpa jiwe.
Hata sisi tuliomba haki hatukustahili kupewa vifo, vilema na majeraha..!!
Kama kulikua na makosa mama anatumia kiboko kukanya na kuadhibu na sio risasi za moto...
Hawa ndugu zetu hivi karibuni walianza kuwabana wenzao na kuwakataza wengine kufanya kazi hii adhimu kwamba hawana Elimu na ili kufanya hii kazi lazima wao kama Tasnia waamue nani wa kuifanya (amekidhi vigezo). Wengine tuliona karne hii ya Citizen Journalists na kila mwenye simu na habari kuwa...
Chochote kinachofanywa na Mtanzania yoyote ilimradi kisukumwe na Watekaji/Wauaji wa Watanzania , kitajulikana .
Imegundulika, Baada ya Kuona hawatoweza kuwahakikishia Usalama wao na Mali zao dhidi ya Adhabu kuunga MUNGU
Watekaji/ Wauaji wamewapanga WASANII wajifanye wanapost wanayoendelea...
Viongozi wote tuliowaamini wakishirikiana na wezi na mafisadi kama akina Rostam Aziz na wengineo wamemaliza utajiri wa nchi, hawana uchungu na nchi yetu, wakati wananchi wa kawaida wanateseka wanakosa hata jinsi ya kupata matibabu.
Hao ndiyo wanaotuua kwa sababu wanaogopa maslahi yao...
Tundu Lissu wapewa heshima ya kuwa bingwa wa demokrasia barani Afrika hii huwezi kuona machawa wakipost
lissu sio muhaini ni kesi za vitoto vya shetani
Tofauti Kati ya GTX na RTX
Na Its MalekoGJ
Kama umewahi kununua laptop au desktop yenye graphics card, kuna uwezekano mkubwa umekutana na maneno GTX au RTX kwenye maelezo ya kifaa.
Lakini, je, unajua tofauti halisi kati ya hizi mbili? 🤔
Kwa ufupi
GTX ni teknolojia ya zamani zaidi ya graphics...
Kama sio mchunguzi na mdadisi huwezi kuelewa hizi picha hapa chini mwanzo nilidhani nimepigwa au kioo kibovu maana haiwezekani monitor ya mwaka 2011 Hp ya kushoto iizidi quality monitor ya mwaka 2022 Dell ya kulia
GT
Haya wale wazee wa miwani myeusi ni CDF yupi alifanya jeshi liheshimike zaidi tuanzie enzi za mwalimu.
Mimi naanza na huyu jamaa Davis hakuwa mwanasiasa uwepo wa mkapa ulimfanya Kikwete asikohoe
🕌 MUHTASARI: SIFA ZA MWANAMKE MWEMA KWA AJILI YA NDOA (KWA MUJIBU WA QUR’AN NA SUNNAH)
1. Mwenye Imani na Uchamungu (Taqwa)
Qur’an:
An-Nur 24:26 —
“Wanawake wema ni kwa wanaume wema, na wanaume wema ni kwa wanawake wema...”
Al-Baqara 2:221 —
“Wala msiwaoe washirikina mpaka waamini; kwa hakika...
Queen Masanja: "Bora nirudi kwa Mume wangu kuliko hawa Vijana wa siku hizi!".
Msanii maarufu wa Bongo Movie, Queen Masanja, ambaye pia ni aliyekuwa Mke wa Dkt. Juma Mwaka, ameibua mjadala mkali mitandaoni baada ya kufunguka wazi kuhusu maisha yake ya uhusiano.
Kupitia mahojiano yake, Queen...
Salaam!
Wanaotekwa na kupotezwa wengi hata SI wanasiasa,
Wengine ni wachunggaji, wafanyabiashara,wanahabari, wakulima nk nk.
Na ukisikiliza ahadi za wagombea hakuna anayeapa au kukemea vitendo vya utekaji..
Sasa machaguo ni mawili;
1. Kukaa ndani usubiri mlango uvunjwe, wakupoteze ujumla...
Pumzika kwa amani mwanangu, Kapteeeeeeeeeeeni G Habash
https://www.jamiiforums.com/threads/gardner-g-habash-mtangazaji-wa-clouds-media-afariki-dunia.2205794/
Hawa ni viongozi wa kijeshi Africa waliotwaa madaraka kutoka tawala za kiraia zilizoharibika na kujaa udhalimu kisha kuyaweka mataifa yao katika mkondo sahihi wa mageuzi, haki na utawala bora.
1. Jerry Rawlings- Ghana
2. Olusegun Obasanjo- Nigeria
3. Thomas Sankara- Burkinafaso
4. Meles...
Hongera sana NMB Bank kwa kuthamini utu, hakika ninyi ni bank bora kila Mtanzania ni shuhuda wa maneno haya, mnasifika kwa kuepuka dhuluma kwa wateja wenu
Mnaonesha uaminifu wa hali ya juu na taarifa zote za miamala kwa wateja wenu ni za wazi na zenye maelezo yanayojitosheleza
Tangu mtoe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.