In British English, Bongo Bongo Land (or Bongo-bongo Land) is a pejorative term used to refer to Third World countries, particularly in Africa, or to a fictional such country.
Hawa mastaa Hawaa zama hizi wamevurugwaa sana, ingawa wanaweza imba mashairi matamu juu ya mapenzi. Lakini, kwenye utendaji wako sifurii sana. Sio wasanii wa nje au wa bongoo wotee mahusiano yao yamekuwa ya mashaka sana. Hawa mastaa wafwatao wa bongo mahusiano yao yatavunjika na sababu za...
Jamii Hip #0p wozaa
Nadhani sina haja ya kusema mengi kwani kuna baadhi ya mambo yanafanana na utani. Mambo yenyewe ni msanii kulalamika kuibiwa mistari. Msanii ni mtu muhimu sana katika jamii yeye anafanya kazi sawa na watu wa dini na mizimu kwa namna yake. Mtu msanii hutumiwa na jamii kama...
Bongo Flava ni jina Mbadala la muziki wa Hip hop ya Tanzania. Mtindo huu ulianzishwa kwenye miaka ya 1990, hasa ukiwa kama mwigo au utokanaji wa hip hop kutoka Marekani, ikiwa na ongezeko la athira ya muziki wa reggae, R&B, afrobeat, dancehall, na mitindo ya asili ya Kitanzania kama vile taarab...
Asalaam alaikum ndugu zangu, habarini za usiku. Kwanza poleni na majukumu yenu ya siku nzima na Mungu awape nguvu na afya za kuwawezesha muamke mkiwa fit katika majukum yenu ya kujenga Taifa.
Kuna msemo unasema "ACHA INYESHE TUONE PANAPO VUJA"Kinacho endelea mitandaoni hizi siku mbili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.