hiphop

Hiphop Tamizha (Tamil pronunciation: [hiphaːp t̪amiɻaː]) is an Indian musical duo based in Chennai, Tamil Nadu. The duo consists of Adhithya "Adhi" Venkatapathy and R. Jeeva. Hiphop Tamizha are credited with being the pioneers of Tamil hip hop in India.The group remained underground until the commercial success of their track, "Club le Mabbu le" in 2011. The international brand Remy Martin launched Hiphop Tamizha as an official brand after hearing the song. In 2012, Hiphop Tamizha released their debut album Hip Hop Tamizhan, which is India's first Tamil hip hop album. It was a major success with both the general public and critics. While the duo were originally independent musicians, since 2013 they have contributed primarily to composing for films.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    Muziki wa Warekani Weusi hasa hiphop ni sumu, Wazazi na walezi tujitahidi kuwaepusha watoto na huu ujinga

    Ni muziki ambao umesambaza culture ya kijinga sana. 1. Kuwaendekeza wasikilizahji kudharau shule, Kusifia ujeuri dhini ya walimu utoro, na kuwaaminisha watoto elimu ya mtaani (street smrts za kutoboa kwa shortcuts) ina thamani kuzidi elimu ya shuleni, Wengi wameon shule ni upuuzi na kujikita...
  2. U

    Orodha ya wasanii ambao bongo fleva / hiphop imewapa mafanikio makubwa

    1. DIAMOND PLATNUMZ - CEO wa wasafi fm na tv + label, msanii pekee mwenye msururu wa ndinga za kwenda mbele 2. MR NICE - Ni Diamond pekee ndie alieweza kumfikia ukwasi akiwa peak, miaka hio ya 2003 inasemekana alikuwa anamiliki ukwasi wa bilioni 1 ya enzi hizo 3. AY - Mzee wa commercial...
  3. C

    Naombeni ratiba ya clubs zipi zinapiga 80's, 90' and maybe 20's Hiphop

    Naombeni ratiba ya clubs zipi zinapiga 80's, 90' and maybe 20's Hiphop --- Just OldSchool. J3 wapi? J4? J5? Alh? ... JPili? Hizi Amapiano siyo type zangu, zinaniboa sana.
  4. sky soldier

    Utamaduni wa wamarekani weusi huchangia kuwa nyuma zaidi kimaendeleo, Vitu kama muziki wao wa hiphop sio wa kuendelea kuusikiliza unasambaza sumu

    Ni kweli kabisa wamarekani weusi walipitia utumwa lakini sio sababu ya wao kuendelea kuwa nyuma, Walichobaki kukipigia kelele ni kulipwa fidia za utumwa wa mababu zao ila ni kusubiri maembe chini ya mpera, hata waafrika wenzao weusi wanaohamia Marekani wanazidi kuwachapa gepu. Shule zipo...
  5. Fortilo

    Hawa hapa 30 bora,(Top Bongo Music Beast) watoto wa mjini, bila hawa Bongoflava isingekuwepo

    Hii hapa ni list ya wasanii wa bongo hiphop, kizazi cha zamani kilichoshine wakati wote.. waasisi wa Bongoflava. Kipindi hicho Tanzania kukiwa na radio tatu tu na TV moja ya burdani, yes *EATV Credits to MJRecords, Bongo Records.... Mambo yalikuwa sawa sana mpaka pale muovu alipoingia...
  6. Mi bishoo tu

    Young lunya ni mkali wa flow za hiphop

    Sikiliza freestyle season 3 utakuja kusalute mwenyewe.
  7. MamaSamia2025

    Tazama hapa Hiphop freestyle ya wanamuziki wa Congo. This is a pure talent.

    Muziki unawatii hawa viumbe. Wameshindikana.
  8. central midfielder

    Fid Q Vs Ngwair

    Wadau me Naleta hoja kwenu, kuna watu naona wanaleta list tofauti za wana hiphop kila mtu na mtazamo wake anavyoona yeye, lakini kinachonichanganya kuna baadhi ya watu wanasema kuwa Ngwair alikuwa ni zaidi ya Fid Q kitu ambacho kwangu sijawahi kukubaliana nacho. Maana kwa mtazamo wangu sidhani...
  9. sajo

    TANZIA Msanii wa HipHop SALU T afariki dunia

    Msanii mkongwe wa Hip Hop nchini, Salutaba Mwakimwagile maarufu kama Salu T amefariki dunia jijini Mbeya leo tarehe 15 Aprili 2023. Msanii huyo amefariki akiwa anaendelea kupewa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya. Akitoa taarifa ya awali, Msanii mwingine wa HipHop, Taikun Ally maarufu...
  10. OKW BOBAN SUNZU

    Tuzo ya Mwanamuziki Bora Hiphop ni dharau kwa wana Hip Hop

    Wasanii waliochaguliwa kuwania Tuzo ya Mwanamuziki Bora wa Hiphop wa Mwaka kwa upande wa Wasanii wa Kiume katika Tuzo za Muziki za Tanzania TMA2022 ni Kala Jeremiah Billnass Countrywizzy Fid Q Joh Makin Hakika wana Hip Hop tumedhalilishwa sana, tunazidi kudhalilishwa. Sikubaliani na uwepo wa...
  11. H

    Mfalme wa muziki wa Hip Hop Tanzania

    Nikifatilia muziki hasa Hip Hop Bongo sasa naona kuna utofauti mkubwa, yaani kama pengo vile hawa wasanii wasasa wanashindwa kufikia swhemu ya walotangulia. Hamna maudhui ya maana kwa muziki wa sasa, kuanzia mashairi ni sifuri, kidogo mdundo Producers wanajitahidi sana, Producer ndiyo wanafanya...
  12. YGM

    VERZUZ TZ: LIL KIM VS FOXY BROWN. (EP 3)

    VERZUZ TZ: EPISODE 3 * Lil Kim * Kimberly Denise Jones (born July 11, 1974), better known by her stage name Lil' Kim, is an American rapper and reality television personality. Born and raised in Brooklyn, New York City, she lived much of her adolescent life on the streets after being expelled...
  13. bahati93

    Sio kila ndio ina ukweli kiundani kuna baadhi ya ndio zaambatana na utani

    Jamii Hip #0p wozaa Nadhani sina haja ya kusema mengi kwani kuna baadhi ya mambo yanafanana na utani. Mambo yenyewe ni msanii kulalamika kuibiwa mistari. Msanii ni mtu muhimu sana katika jamii yeye anafanya kazi sawa na watu wa dini na mizimu kwa namna yake. Mtu msanii hutumiwa na jamii kama...
  14. Lycaon pictus

    Je Mbeya ndiyo chimbuko la hiphop hapa Tanzania?

    Habarini. Si ku nyingi nimekuwa naona wasanii waanzilishi wa hiphop hapa Tz walikuwa wanatokeo, au hasa waliowahi kuishi Mbeya. Sugu anatajwa kama watu wa mwanzo kuanza kuimba hiphop Tz. Huyu ni mzaliwa na mkazi wa Mbeya kabisa. Kuna mtu kama Prof J, Advance kasoma shule ya Lutengano Mbeya...
  15. Miguel Alvarez

    Ni msanii gani wa HIPHOP ni mkali wa Storytelling song

    Natumaini wote ni wazima humu jamvini poleni na majukumu pia..! Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza mm ni mpenzi sana wa Ngoma za Hiphop leo na taka tushare pamoja kuhusu Rappers wa kibongo hata huko majuu(ulaya) je ni msanii gani ni best kwa Storytelling song kwa mimi msanii wa kibongo...
  16. Jasusi Mbobezi

    Wachungaji wa Kisabato Wachana mashairi ya Hip Hop kanisani

    Jamaa ni wakali sana, msikilize huyo wapili alivyo flow na biti. Anaweza fanya collabo na nani?
  17. C

    Hiphop DX wameidhalilisha nchi, tuwashukieni mzimamzima

    Haiwezekani kwenye picha kuwe na kijana tajiri anayemiliki escallade 2 na mi mali kibao yenye thamani kama dollar millions 400 ,kijana ambaye hadi anao ujeuri wa kuwatukana forbes na kuwaambia kama vipi wa m google, kijana ambaye anavaa saa "original" yenye thamani ya milioni 80 na kama haitoshi...
  18. Red Giant

    Nyimbo hizi za hiphop ni nani waliimba?

    Kuna nyimbo za Hiphop Bongo nimewahi zisikia mara chache ila ni kali sana 1. Kuna wimbo wa mpenzi bubu. Achana na ile ya Hbaba. Hii ni hiphop mwanzo mwisho na jamaa anaflow vibaya mno japo kuna kauli kalikali. Aliimba nani huu wimbo? 2. Kuna wimbo mashairi yake yanasema, 'Ni hiphop, sikia...
  19. sinza pazuri

    Stereo Singasinga album yako kali sana, inabidi ujiongeze

    Moja kati ya wasanii wachache wa Hiphop nchi hii naoweza kukaa na kuwasikiliza ni Stereo aka Singasinga aka Chundabadi. Katoa album kali sana inaitwa Experience, naweza sema ni kati ya album kali sana za Hiphop ya kizazi hiki. Nachoshangaa ukienda YouTube hakuna wimbo uliofikisha views 100...
  20. funluverx

    Mwamba wa Hiphop halisi, Saigon 'Treach' wa iliyokuwa D.P.T ana masahibu gani hivi?

    Huyu ni Saleh, almaarufu 'Saigon'. Mwanachama wa-miongoni mwa makundi ya awali kabisa kuwahi kutamba katika tasnia ya muziki wa Hiphop. Hapa tunazungumzia mwanzoni kabisa mwa miaka ya 90. Jamaa alikuwa Mkali kwa kwa maana halisi ya ukali kuanzia katika Tungo na Style yake. Si hivyo tu Mchizi...
Back
Top Bottom