bodaboda

Boda bodas are bicycle and motorcycle taxis commonly found in East Africa. While motorcycle taxis like boda bodas are present throughout Africa and beyond, the term boda boda is specific to East Africa. In Kenya, they are more frequently called piki pikis. Their ubiquitous presence in East African cities is the result of a number of factors including an increasing demand for public transit, the ability to purchase motorcycles on credit, and an influx of cheap imports from Indian manufacturers like Bajaj. In the countries where they are present, boda bodas can provide transportation options to riders and job opportunities to drivers while at the same time resulting in an increase in road hazards and collisions and unnecessary injuries and deaths.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Waliomkata kichwa dereva bodaboda Mwanza wauwawa na wananchi

    Watu wawili wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya kijana mmoja, jinsi ya kiume ambaye awali hakutambuliwa huku kiwiliwili chake kikiwa kimetenganishwa na kichwa chake kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali (panga) na kupelekwa kusikojulikana, wameuawa baada ya kushambuliwa na wananchi wenye hasira kali...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia apewa Mbuzi wa Supu na Madereva Bodaboda na Bajaji baada ya kuchukua Fomu

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye ni mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi amepewa Mbuzi kwa ajili ya supu atakayotumia baada ya kuchukua Fomu ya Kugombea urais. Mbuzi hiyo iliyotolewa na Madereva Pikipiki za miguu mitatu (bajaji)na miwili...
  3. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Nimeuza kiwanja changu milioni 10, nataka ninunue bodaboda 3. Hii biashara mnaionaje?

    Nimeuza kiwanja changu jana kilichokuwepo Kibaha nimepata milioni 10 nikaona nifanye biashara ya bodaboda. Nizinunue 3 halafu niwape vijana waniletee hesabu. Je itanilipa wakuu Kwa mliowahi kufanya hii biashara au nitaingia loss?
  4. kavulata

    JamiiForums Tanzania Polepole kasema nyuma yake wapo kina Mzee Warioba

    Humphrey PolePole ni kama vile alikuwa akiwahutubia vijana wa bodaboda ambao wengi wao hawakuwepo wakati wa Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Mzee Kikwete na namna walifanikiwa kuwa Marais wa Tanzania. Pia alifanikiwa kutuambia kuwa nyuma yake wako pia akina Mzee Warioba na wazee wenzake wa...
  5. McLaren

    JamiiForums Tanzania Hivi Bodaboda wanashindwa kubeba kitu gani?

    Wakuu, Hivi hapa duniani kuna kitu ambacho bodaboda hawezi kubeba? Maana hawa jamaa wanabeba hadi mafriji na ukiwaita wabebe futniture wanabeba Yaani pamoja na udogo wa bodaboda lakini hawa jamaa wanaweza kubeba kila kitu.
  6. Amba Samedi

    JamiiForums Tanzania Idea ya Bodaboda Forums - Njoo Tuzungumze

    Habari wanadau, Naandika kwa tumaini kubwa kuwa wote tunaendelea vizuri. Ni mchana na kuna kajoto hapa Morogoro. Nashukuru Mola kwa nafasi nyingine ya kupigana. Tuendelee kupambana, kwani iko siku. Mwezi Mei mwaka 2018, nilikaribishwa na mwandishi mmoja maarufu ambaye alikuwa ameombwa na...
  7. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania GE2025 Leo nimeingia center hapa Mvuti nashangaa bodaboda karibu wote wako na barakoa zenye picha na maandishi ya mi 5 TENA

    Leo nimeingia center hapa Mvuti nashangaa bodaboda karibu wote wako na barakoa zenye picha na maandishi ya mi 5 TENA. Mmewatengeneza wajinga na wapumbavu na sasa wanaogelea kwenye bwawa la umaskini hawaoni mbele wala nyuma, option yao ya mwisho ni kufukuza upepo. Mmeshindwa kuondoa bodaboda au...
  8. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Nimemaliza chuo nimeingia kwenye bodaboda, nimekutana na yule aliishia form four huku huku

    Kwaiyo Mimi na yule jamaa alieishia form four ni sawa ndio maana wote tumekuwa mabodaboda Depression
  9. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Daraja la Kijazi pale chini, ndio sehemu pekee Tanzania bodaboda wanafata sheria ya taa za kuongozea magari

    Kila nikipata daraja la Kijazi pale Ubungo kwenye mataa ndio sehemu pekee nawakuta bodaboda wanatii sheria ya taa za barabarani. Nadiriki kusema ndio sehemu pekee yenye mataa ambayo bodaboda wanatii. Unajua siri ya mchezo?
  10. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe imetoa elimu kwa bodaboda kuepeuka kutumika vibaya kipindi cha uchaguzi

    Katika kuhakikisha Uchaguzi Mkuu 2025 unafanyika kwa usalama na amani Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe kupitia watendaji wake wa kata limeendelea kutoa elimu kwa makundi mbalimbali katika jamii, wakiwemo wasafirishaji wa abiria kwa kutumia Pikipiki maarufu kama bodaboda, kuhusu umuhimu wa...
  11. Zamaulid

    JamiiForums Tanzania Bodaboda anaswa akiendesha basi la abiria

    Polisi mkoani Morogoro wamemnasa dereva mwenye leseni ya kuendesha bodaboda akiendesha basi la abiria!!!
  12. figganigga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msafara wa Rais Ruto wagonga Bodaboda 🤔

    Boda Boda amegongwa na gari ya msafara wa rais huko Kenya na walikufa papo hapo na gari ikaingia huko kwenye maporomoko Magari hayo yalikuwa yakimsindikiza Rais William Ruto na Gavana Cecily Mbarire baada ya kuhudhuria ibada ya kanisa katika Chuo cha Kigari.
  13. Mr George Francis

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mama Yake Ana Mahusiano Na Kijana Wao Wa Bodaboda.

    "Habari yako kaka George, Mimi ni mfuatiliaji sana wa post zako. Naomba unipostie na mimi ili watu wasijue kuwa ni Mimi ila nitasoma comments. Mimi kuna jambo linanitatiza naomba ushauri wako na hata ukipost kweye page zako itakuwa vizuri pia na nitakuja kusoma ushauri kutoka kwa wadau...
  14. MoroGent

    JamiiForums Tanzania GE2025 David Silinde, madereva wa Boda boda na bajaji Wamlipia fomu ya ubunge jimbo la Tunduma

    Salamu waajukwaa, Utangulizi Niliwahi kutamka hapa kuwa Mheshimiwa David Ernest Silinde ni mfano wa kiongozi mwenye ushawishi mkubwa, anayekubalika na kuungwa mkono na jamii yake. Kukubalika kama Kiongozi Kitendo cha madereva bodaboda na bajaji kumchangia na kumlipia fomu ya kugombea ubunge...
  15. F

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni bodaboda, basi zingatia haya bodaboda mwenzangu!

    Sheria si za mamlaka bali zimewekwa kulinda mwananchi kama wewe pale majanja yanapotokea.
  16. Right Marker

    JamiiForums Tanzania Je, una tukio gani la bodaboda lililowahi kukuudhi?

    Ukimkuta bodaboda hospitali amevunjika viungo chake vya mwili utamwaga machozi mengi sana. Lakini pindi unapomwaga machozi yako usijaribu kukumbuka fujo zao za mtaani/barabarani, hakika machozi yako yatakata papo hapo, utaanza kucheka kitu ambacho si kizuri kama binadamu. Aisee hawa jamaa...
  17. M

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya bajaji na bodaboda jijini Dar

    Hasa maeneo ya Kisutu na kariakoo bajaji na bodaboda wamekuwa kero sana hawafauti foleni wala alama za barabarani na huko wakisababisha foleni zisizo na sababu tunaomba hatua dhidhi zichukuliwe ku punguza hii kero. Hatuna na shida na biashara yao lakini ni lazima wapewe elimu ya kuendesha kwa...
  18. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Uzinduzi wa C4C ya CHAUMMA Mwanza, Uwanja mweupe, kuna bodaboda tu ambao ni kama wamewekewa mafuta ya bure

    Wakuu Uzinduzi wa C4C ya CHAUMMA Mwanza, Uwanja mweupe hakuna watu, yaani kuna bodaboda tu ambao ni kama wamewekewa mafuta ya bure. Maandalizi yakiendelea katika uwanja wa Furahisha kikundi Mwanza. Uzinduzi wa kampeni hiyo utafanyika baadae leo na kisha itapelekwa katika mikoa mbalimbali kwa...
  19. PendoLyimo

    JamiiForums Tanzania Lema na Heche wakivutana kuhusu bodaboda

  20. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Bodaboda Ni Jeshi kubwa. Nahofia siku moja hawa watu wakipata akili wakatumika vizuri.

    Kwa sasa hatari kubwa ni kuwa hawana Elimu, Akili. Na wanarisk maisha kwa vitu vya kijinga. Lakini hawa siku wakipata akili wakakubali kutumika kwa manufaa. Ni Jeshi kubwa.
Back
Top Bottom