Umoja wa Ulaya imeisifia Tanzania chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa namna inavyofanya mageuzi ya kiuchumi na kisiasa ikiwemo kuimarisha masuala ya haki za binadamu.
EU imeahidi kuendelea kumwaga mapesa kwa miradi mbalimbali ya maendeleo kwa Tanzania. Hii tafsiri yake ni kuwa EU...
Kiongozi wa upinzani nchini Urusi aliye gerezani ambaye pia ni mkosoaji mkubwa wa rais Vladmir Putin, Alexei Navalny leo ametunukiwa tuzo ya juu kabisa inayotolewa na Umoja wa Ulaya kuhusu haki za binadamu.
Katika ishara ya wazi ya ukosoaji kwa Ikulu ya Kremlin, viongozi wa bunge la Umoja wa...
1. Nyumba unayokaa kama unafuga Njiwa na ukiwa Unauguza Mgonjwa ndani ukiona Njiwa Wote wanaondoka anza kuweka Oda ya Jeneza kwa Mgonjwa wako kwani utake usitake atakufa tu.
2. Nyumba unayoishi kama unafuga Mbwa kuanzia Saa 5 Usiku na Saa 11 Alfajiri ukisikia wanabweka sana jua Wachawi...
RAIS wa Kwanza wa Bunge la Afrika, Balozi Getrude Mongella amesema demokrasia ni ushirikishwaji wa kila mmoja na kwamba huwezi kutofautisha usawa wa binadamu na demokrasia. Amesema “Unapokuwa unaamini usawa wa binadamu ukiacha baadhi ya binadamu nje wewe ni mnafiki.
Huwezi ukasimama hapa...
SIRI YA MAFANIKIO KATIKA MAISHA YA BINADAMU
NA: NESTER REUBEN
'Unazo nguvu za kujidhuru au kutojidhuru mwenyewe kama utachagua kutokuwa na furaha hakuna mtu anayeweza kukufanya ufurahi''
Angalia maisha yako. Je, kuna maeneo katika maisha yako hayakufurahishi?
Maisha yako ni wajibu wako...
Mafundisho ya uislamu, ukristo Na uyahudi KUHUSU chanzo Na Sababu ya binadamu kuwepo katika sayari ya Dunia wote mnayajua so sipo hapa Kwa ajili ya kuyarudia..
Nipo hapa Kwa ajili ya kuelezea Nadharia KUHUSU chanzo Na Sababu ya Maisha ya binadamu ulimwenguni ambazo zilitolewa Na watu walio...
Kila siku imayoenda kwa Mungu tunasakikia malalamiko ya wananchi juu ya askari polisi kufanya vitendo vya kikatili dhidi ya raia. Lakini waziri mwenye dhamana yupo kimya tu hatoi tamko wala kukemea.
Mfano ni huko Handeni tumeshuhudia akina mama wakilalama hadharani kupigwa na kutomaswa kwa...
Kwenye Nyanja ya Haki za binadamu.
Kila binadamu ana haki ya kupata huduma za kilazima kama maji,Chakula na mahala pakuishi lakini kila binadamu ana haki ya kupata huduma za Ki afya pindi anapohitaji huduma hizo
l
#StoriesOfChange #CitizenJournalisim
Lakini pia kila binadamu ana haki ya...
Wasalaam.
Kitendo cha Serikali ya CCM kutunga sheria ya tozo za simu na kisha bunge la CCM kupitisha na mwenyekiti wa CCM kusaini na kuwa sheria kiliibua vilio nchi nzima. Lakini leo hii tunaambiwa mh mwenyekiti yule yule aliesaini amepunguza tozo ni jambo jema.
Swali ambalo nimekosa majibu...
Swali ni je imekuwa scientifically approved au politically approved?
The F.D.A. approved full licensure of the Pfizer vaccine this morning and has also, I’m sure you’re aware, back in August on the 9th, the secretary articulated that it was his intent to mandate Covid-19 vaccines upon F.D.A...
Mdau mkubwa wa maendeleo wa Tanzania Denmark anasema kuwa wanataka kuhakikisha watu wao wako salama kwenye Dunia inayozidi kupoteza muelekeo wa kidemokrasia na HAKI za Binadamu.
Wameyasema haya baada ya kutoa tangazo kuwa watafunga balozi zao Tanzania.
Ikumbukwe kuwa Denmark imekuwa mdau...
Tumeona ufundi wa kibiolojia ukibadilisha mambo mengi sana. Tumepata ng'ombe wa kisasa wanaotoa maziwa na nyama nyingi. Tuna kuku wa kisasa wanaotaga sana na kutoa nyama kibao. Tuna miwa yenye sukari nyingi, nguruwe wakubwa. Aina mbalimbali za mbwa. Mimea inayostahimili ukame na magonjwa nk...
Team inayoongoza msimamo wa EPL ligi ni MANCHESTER UNITED
Top Score anatokea MANCHESTER UNITED
Top assists anatokea MANCHESTER UNITED
Timu ilofunga magoal mengi ni MANCHESTER UNITED
Team yenye hat trick mpaka asaivi ni MANCHESTER UNITED
GLORY GLORY MAN UNITED...
Habarini,
Leo nazungumza juu ya biashara haramu ya binadamu (human trafficking) naielezea, lengo kuu ni wote tuifahamu tujilinde na tulinde ndugu zetu. Ndio maana naomba sana kama una mchango wa mawazo, uzoefu au mifano halisi utushirikishe ili pamoja tulinde wapendwa wetu.
Human trafficking...
Kama kweli mission ya covd ni kupunguza ongezeko la watu Duniani, basi huo ni mpango wa kidicteta uliopitiliza
Kwa sababu mission hii, haibagui wema wala majambazi!
Ninachotaka kusema, Wakubwa wa Dunia hii ni watu wanaocheza na akili zetu ili tusitoke mahali pa kuombaomba misaada kwao na...
Umofia Kwenu!
Nilipokuwa nikipitia baadhi ya stori za wadau mbalimbali nami nikahamasika kuweza kuandika walaka huu kwa kufuata mawazo na fikra zangu binafsi kuweza kuweka mbegu mpya au mtazamo mpya juu ya ulimwengu wetu huu tulionao.
Lakini zaidi ya yote nimevutaka kuandika waraka huu kutokana...
WAJUE MALAIKA, MAJINI NA BINADAMU KWA UFUPI.
Kwa Mkono wa, Robert Heriel.
Leo tutajadili Kwa ufupi Sana habari za viumbe watatu ambao ni Malaika, Majini na Binadamu.
Mada hii inaweza kuwafikirishi mno, mada Tata lakini haitatufanya tusiijadili.
Niite Taikon wa Fasihi, Mwana kutoka Nyota ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.