Hivi kwanini Sisi binadamu tunakubali kutawaliwa (to be controlled) na binadamu mwingine?

Natalia

JF-Expert Member
Jul 3, 2011
4,324
1,892
Hivi kwanini Sisi binadamu tunakubali kutawaliwa (to be controlled) na binadamu mwingine -- Mfano wanasiasa, relationships, lazima mtu awe juu yetu
92132B63-7B57-4D5A-8C90-48B90E53CD66.jpeg
A827BFAD-3099-4364-85DA-5929FDD165A8.jpeg
E4D15BA4-4433-4496-8E8C-4457C68C7AF1.jpeg
E4D15BA4-4433-4496-8E8C-4457C68C7AF1.jpeg
E4D15BA4-4433-4496-8E8C-4457C68C7AF1.jpeg


ACB992F6-0A69-475D-8674-F77AA5E825D0.jpeg
 
Kama wewe ni mkristo Kasome kitabu cha waamuzi kwenye Biblia utajua ukweli!!kifupi zamani Sana Mungu ndio alitawala wanadamu na kushusha jumbe na mwelekeo wa mataifa kupitia manabii Sasa wanadamu wakataka wawe na mfalme atakae waongoza !Ndipo wakamwambia samweli nabii kuhusu hilo!! Mungu akasema laana kuhusu ombi hilo ambalo hakupendezwa kuwa wafalme watatufanya watumwa SANA ndio hivyo Hadi leo!!!
 
The answer lies in “ human nature “

Ukielewa human nature utaelewa kwa nini kuna uongozi, politics, power and power games, Finance,music,law, medicine,army, police, prison, officials wa hizo fields nk

Na utaacha kumhusisha Mungu,ambaye wenye akili tunajua yupo, Kwenye mambo ya kipumbavu .

Ujinga ukiwa chanzo cha kwanza why mtu anatawaliwa!

Remember we all are Humans
Ukijua kuplay na human nature umeula, Mungu tu can prevent you to soar, a thing he can not do because he is a good God!
 
Kama wewe ni mkristo Kasome kitabu cha waamuzi kwenye Biblia utajua ukweli!!kifupi zamani Sana Mungu ndio alitawala wanadamu na kushusha jumbe na mwelekeo wa mataifa kupitia manabii Sasa wanadamu wakataka wawe na mfalme atakae waongoza !Ndipo wakamwambia samweli nabii kuhusu hilo!! Mungu akasema laana kuhusu ombi hilo ambalo hakupendezwa kuwa wafalme watatufanya watumwa SANA ndio hivyo Hadi leo!!!
Mambo ya binadamu waachie wenyewe.
ni vizuri kumuelewa binadamu mwenzio otherwise utajikuta used manipulated and even killed
 
Kwangu kutawala si tatizo ila tatizo ni huo utawala unatawala vipi..???
Kuna watu acha tu watawaliwe maana wakiwa hivihivi kitawaka hapata kalika acha watawalike kiimani, kiongozi na kiuchumi.

Kutawala au kutawaliwa kunategemea na uweza wa mtu katika nafasi husika kupo mahali patahitaji elimu fulani ili mtu atawale maana maarifa yake huenda ndio mwanga zaidi hapo lazima mtawalike otherwise mumzidi maarifa.. zipo sehemu nyengine hutumika ujanja ujanja na hii ndo ipo zaidi kwasasa haswa kwenye siasa na dini pia..
 
Kwangu kutawala si tatizo ila tatizo ni huo utawala unatawala vipi..???
Kuna watu acha tu watawaliwe maana wakiwa hivihivi kitawaka hapata kalika acha watawalike kiimani, kiongozi na kiuchumi.

Kutawala au kutawaliwa kunategemea na uweza wa mtu katika nafasi husika kupo mahali patahitaji elimu fulani ili mtu atawale maana maarifa yake huenda ndio mwanga zaidi hapo lazima mtawalike otherwise mumzidi maarifa.. zipo sehemu nyengine hutumika ujanja ujanja na hii ndo ipo zaidi kwasasa haswa kwenye siasa na dini pia..
Are you serious why need of controlling other person
 
Kama wewe ni mkristo Kasome kitabu cha waamuzi kwenye Biblia utajua ukweli!!kifupi zamani Sana Mungu ndio alitawala wanadamu na kushusha jumbe na mwelekeo wa mataifa kupitia manabii Sasa wanadamu wakataka wawe na mfalme atakae waongoza !Ndipo wakamwambia samweli nabii kuhusu hilo!! Mungu akasema laana kuhusu ombi hilo ambalo hakupendezwa kuwa wafalme watatufanya watumwa SANA ndio hivyo Hadi leo!!!
Je maeneo ambayo hayakuwa na manabii wa Mungu (mfano huku kwa wabantu na huko kusin mwa Africa, American,australia kabla ya ujio wa hiz din) walitawaliwa na nan?
 
Tumekubari kutawala kwasababu tumekubari kuwapa mamlaka na nguvu watu wachache (wenye nguvu na ushawishi au la) ili watuongoze kufikia malengo ambayo wengi tunayaitaji kufikia
NB: japo sio wote wanatusaidia kufikia malengo ya wengi
 
Tumekubari kutawala kwasababu tumekubari kuwapa mamlaka na nguvu watu wachache (wenye nguvu na ushawishi au la) ili watuongoze kufikia malengo ambayo wengi tunayaitaji kufikia
NB: japo sio wote wanatusaidia kufikia malengo ya wengi
What about kwenye uhusiano.why wanawake wengine wapo controlling na wengine hawapo controlling
 
What about kwenye uhusiano.why wanawake wengine wapo controlling na wengine hawapo controlling
Nako ni Hvyo hvyo wamekubari kuwapa mamlaka na nguvu wenza wao wakiamin kuwa watawafikisha pale wanapoamin mahusiano yao yanatakiwa kufika. Na ndio maana wakigundua kuwa wanasalitiwa unaanza kuwaona kama vile wanakuwa na viburi vile sio viburi bali wamechukua zile nguvu na mamlaka waliokuwa wamewapa ili kuwaongoza kufikia target za mahusiano yenu.
 
Eti Wanasaikolojia wanaiita "herd instict" ile hali ya kipenda kuwa kwenye makundi.
Ni kama mifugo tunapenda kukaa kwenye makundi.
Yawe ya dini, ukoo,ukanda,makabila,siasa...
Na mifugo inatakiwa kuongonzwa.
Iwe Mungu,wazee,wanasiasa...
 
Nako ni Hvyo hvyo wamekubari kuwapa mamlaka na nguvu wenza wao wakiamin kuwa watawafikisha pale wanapoamin mahusiano yao yanatakiwa kufika. Na ndio maana wakigundua kuwa wanasalitiwa unaanza kuwaona kama vile wanakuwa na viburi vile sio viburi bali wamechukua zile nguvu na mamlaka waliokuwa wamewapa ili kuwaongoza kufikia target za mahusiano yenu.
Unasikia mtu Anasema ngoja nimuombe Mume wangu ruhusa ,why
 
Kwasasa hii inshu ya viongoz wa kisiasa ndo inanikera balaa

Mjinga makonda enzi zile anasema bar za dar zifungwe saa 6 usiku na asubuh asionekane mtu anakunywa bia,yaan yeye na matako yake anaamua kutoa maagizo hayo

Lingine linaloniboa ni pale rais anapoongea tu kijisentens,kesho unakuta wapumbavu wameshaanza kukitekeleza bila hata kutafakar
 
Back
Top Bottom