biashara

  1. Corona kusababisha biashara kushuka kwa asilimia 32 duniani

    Ripoti mpya ya mwaka kuhusu Takwimu na Makadirio ya Biashara iliyotolewa jana Jumatano na Shirika la Biashara Duniani WTO, inasema biashara duniani inakadiriwa kupungua kati ya asilimia 13 hadi asilimia 32 mwaka huu, kutokana na athari za mlipuko wa COVID-19 unaokithiri kote duniani. Ripoti...
  2. Naomba mwenye uzoefu wa biashara shule za msingi wa uuzaji barafu anipe mchanganuo

    Naomba mwenye uzoefu na biashara ya barafu shule za msingi anipe mchanganuo
  3. Karibuni wageni na wafanya biashara

    ..
  4. Fursa ya kuuza magazeti kwa kilo

    ......
  5. Y

    Jipatie Mfumo kwa ajili ya biashara microfinance

    Mfumo wetu unasifa zifuatazo 1.Unaweza kua na branch zaidi ya mmoja 2.Unaweza jua maresesho ya siku husiko 3. Unaweza generate cashbook kwa ajili yenye taarifa za mikopo iliyotelewa matumizi na marejesho kwa muda husika 4.Unaweza pata report ya siku mmoja husik(daily) report 5.Watumiaji...
  6. S

    Unafanyeje biashara kipindi hiki cha Corona?

    Habari za Kwako Mwana Jamii Mwenzangu! Natumaini upo poa na unaendelea kujikinga na Corona iliyokuja kwa kasi 2020, Natumaini Mungu atatuvusha! Wakati China wakiwa wamefunga milango yao na wamerudi makazini na shughuli zikiwa zinaendelea kama kawaida ( masks, sanitizers, kupimwa joto la mwili...
  7. Baada ya Corona kuisha sheria ndogo zipitishwe kwenye Halmashauri, maeneo yote ya biashara yawekewe vitakasa mikono

    Yakiwemo maji yanayotiririka na sabuni au sanitilizer. Aidha iwe lazima baada ya COVID-19 kuisha maeneo yote yanayokusanya idadi kubwa ya watu yawe na mapipa madogo ya kuweka taka na iwe marufuku kubwa kwa yeyote kuonekana na taka katika eneo lake la biashara. Maeneo kama vile - Maduka Makubwa...
  8. Wafanyabiashara 650 waomba kufunga biashara TRA

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kilimanjaro, imepokea zaidi ya maombi 650 kutoka kwa wafanyabiashara wakiomba kufunga biashara za maduka na hoteli za kitalii kutokana sababu mbalimbali. Miongoni mwa sababu walizozieleza ni watalii kusitisha safari zao za kuja kutalii na kupanda Mlima...
  9. H

    Kubadili Jina la Biashara (Kampuni)

    Habari wanajamvi, napenda kuuliza utaratibu wa kufuata wakati wa kubadili Jina la Biashara ( Kampuni).
  10. Mtaji na Faida ya Biashara ya Grocery

    Wakuu, Kwa wenye ujuzi na uzoefu naomba mawazo yenu juu ya biashara ya Bar. Vitu gani vinatakiwa, vitu gani vya kuzingatia kabla ya kufungua na mahala ambapo panafaa zaidi kwa hizi biashara za Bar. Naombeni ushauri wenu.
  11. N

    Naomba tufahamishane kwa wajuzi na wanaofanya biashara ya kununua nguo za kike za mitumba(especially suruali nzur za kike na blouses)pale memorial mos

    Habari wanajamvi naomba msaada kwa wabobezi na wanaofanya biashara hii ya kuchukua nguo za mitumba kwa kupoint suruali na blouses za kike pale sokoni memorial moshi,binafsi ni mgeni Kanda hii ya kaskazini na natarajia kuanza kufanya biashara io ya nguo Kali za mitumba za kike. Naomba...
  12. Vile mitandao ya simu ilivyofanya Corona kama biashara ya kuwanyonya wateja

    Habari zenu wadau, Kutokana na matamko ya serikali ya watu kujifungia ndani ama kalantin kama inavyojulika, mitandao mingi ikiwemo TTCL, VODACOM, TIGO wamekua waki pandisha bei za vifurushi vyao kiholela na kupunguza thamani ya vifurushi hivyo. Wakati ili hali wanajua watu wengi wapo nyumban...
  13. Fursa Biashara ya supu na chapati

    Habari wakuu, Natafuta binti alie tayari kwa kufanya biashara ya kupika chapati na supu na kuuza. Awe anaishi maeneo karibu na Ubungo (mfano Magomeni, Manzese, Mwananchi, Buguruni, Sinza, Kimara n.k). Nitatoa kila kitu (mtaji na vyombo pia) faida tutagawana kwa maelewano tutakayo kubaliana...
  14. T

    Wapi napata orodha ya categories za leseni za biashara nchini?

    Wakuu, Wapi naweza kupata (kwenye mtandao) orodha ya aina (categories) za leseni za biashara Tanzania? Ahsante.
  15. Mawimbi yanapotulia ndiyo tunajua nani anaogelea uchi (Hatua 10 za kuchukua ili kuizuia biashara yako isife kwa mlipuko wa Corona)

    Mlipuko wa virusi vya Corona unaoendelea sasa duniani (COVID - 19) una madhara kwenye kila eneo la maisha yetu. Madhara makubwa kabisa yako kwenye upande wa afya, siyo tu kwa mtu mmoja mmoja, bali kwa mfumo mzima wa afya. Kwa sababu uwezo wa mfumo huu ni mdogo ukilinganisha na uhitaji...
  16. Natafuta eneo la biashara ya chips Morogoro

    Wakuu habari anayefahamu eneo zuri au Kama unalo eneo naweza kuweka banda la chips niPM tuyajenge. Ni kwa maeneo ya Morogoro mjini kama unaweza kuwa na mgahawa mi nikaongezea chips au una duka mi nikaweka hapo karibu vinywaji vitembee nicheki
  17. T

    Ipi ni njia bora: Kufungua biashara kama mtu binafsi au kwa kutumia kampuni?

    Wakuu, Kuna biashara nawaza kuianzisha, sasa kwa mazingira ya sasa ya nchi yetu na kwa mustakabali wa biashara husika, njia ipi ni bora? Kufungua biashara na kuiendesha kama mtu binafsi au kuiendesha chini ya kampuni? Faida na hasara zake ni zipi? Hebu wazoefu fungukeni.
  18. Je, kuwa na website tu kunatosha kuanzisha biashara?

    Hili ni swali ambalo huwa nakutana nalo mara kwa mara ninapokuwa katika shughuli zangu hasa pale ninapomsaidia mtu kuanzisha biashara. Mara nyingi wanaouliza swali hili ama huwa wanataka kujifunza au basi wanakuwa wanaona kama haina umuhimu. Katika kuwashauri huwa nawaambia kwamba Unapofikiria...
  19. Biashara ya nguo za dukani

    Habari, Naomba nipewe 1,2,3 kuhusu biashara ya nguo za dukani (kijijini kwetu tunaita special). Nahitaji kuchukulia Dar - Kyela border. Naomba kujua profit, cost, TRA. Binafsi nimekomaa mpaka mwisho nimepata 1M. NB: Fremu ipo free, ni yangu. Mchango wa mdau
  20. Wadau na wajasiriamali, naomba kujuzwa kuhusu Mr. Kuku Farms na uhalisia wa aina ile ya biashara

    Juzi kuna jamaa yangu kanipigia simu akawa ananieleza vitu sivielewi elewi. Ni kitu kinaitwa Mr. Kuku Farms akidai ni mradi mkubwa wa ufugaji kuku una physical presence na ni kampuni iliosajiliwa ndio inaendesha huo mradi. Yeye ameshawishika kuwekeza huko kwamba kuna faida nzuri compared na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…