TensorFlow
JF-Expert Member
- Feb 11, 2020
- 811
- 968
Wakuu,
Kuna biashara nawaza kuianzisha, sasa kwa mazingira ya sasa ya nchi yetu na kwa mustakabali wa biashara husika, njia ipi ni bora?
Kufungua biashara na kuiendesha kama mtu binafsi au kuiendesha chini ya kampuni?
Faida na hasara zake ni zipi?
Hebu wazoefu fungukeni.
Kuna biashara nawaza kuianzisha, sasa kwa mazingira ya sasa ya nchi yetu na kwa mustakabali wa biashara husika, njia ipi ni bora?
Kufungua biashara na kuiendesha kama mtu binafsi au kuiendesha chini ya kampuni?
Faida na hasara zake ni zipi?
Hebu wazoefu fungukeni.