biashara

  1. Logo, Sticker na Poster za biashara kwa bei ya chini ya 5000/=

    Habari wanajamiiforum... mimi naitwa Alpha ninapenda kuwasogezea baadhi ya huduma zangu kwenu leo. ni matumaini yangu wengi watakao soma post hii ni aidha wafanya biashara au wafanya biashara watarajiwa au vyovyote vile. Ningependa kuwashirikisha baadhi ya huduma zangu ambazo ni pamoja na 1...
  2. Ufafanuzi kuhusu thread yangu ya kununua wazo la biashara

    Salaam wakuu naomba kutoa ufafanuzi kidogo kama watafutaji na wapambanaji wazo ndio kila kitu ukiwa na wazo ni rahisi kutengeneza pesa! Napokea ujumbe mwingi pm watu ambao wako serious tunajadiliana naomba watu mjue kuhusu kiwango ambacho ninacho kinafit kwa wazo dogo na hata kubwa half of one...
  3. Nanunua wazo la biashara

    Habari wana jukwaa hili samahani kwa mwenye wazo lolote la biashara lolote nalinunua tutaingia makubaliano ya kimkakati kwa muda wa miezi kadhaa atalisimamia likileta ufanisi namlipa pesa zake au tunakuwa na ubia pamoja niko serious mambo ya utani hayatakiwi
  4. K

    Jengo la Biashara ndani ya ekari moja linauzwa

    Habari Wadau. Nauza Showroom yenye details zifuatazo: Eneo Lilipo : Kibaigwa Mjini linapakana na barabara ya Dodoma karibu na Sheli ya Olympic Eneo linapakana na barabara kubwa ya Dodoma.showroom iliyopo tulikodishia kampuni ya kuuza matractor. Eneo lina ubkuwa wa ekari moja. Documents: Eneo...
  5. MAKALA: Falsafa ya biashara ili kuleta tija na mafanikio kibiashara

    Falsafa ya biashara ni nini? Falsafa ya biashara ni seti ya kanuni, taratibu na mienendo ambayo mfanyabiashara au kampuni anaamini na hutumia kuamua jinsi ya kushughulikia maeneo tofauti ya utendaji. Falsafa ya biashara inaelezea kusudi la biashara na malengo yake. Inaweza pia kuorodhesha...
  6. Kwanini Tanzania hatuna biashara zenye mfumo wa chain?

    Kwanini hatuna biashara ambayo unaweza ikuta imeenea nchi nzima? Mfano biashara za wenzetu kama walmart au unakuta kuna pharmacy zimejaa nchi nzima kama Walgreens au CVS. Unakuta kuna maduka ya electronics, vinywwji. nguo au spare parts yamesambaa nchi nzima. Yanatumia brand moja na quality ya...
  7. Biashara ya uwakala wa vinywaji (soda)

    Mwenye A,B,C katika hii biashara naomba uelewa wenu, mtaji kiasi gani wa kuanzia na changamoto ya hii biashara!
  8. Naitaji Kiwanja cha makazi na biashara Dodoma

    Salaam. Jaman naitaji Kiwanja kwa matumizi ya makazi na biashara Mjini dodoma Ningependa Sana ukubwa wa kiwanja uwe Sq m 1500 to 2000. Na maeneo ambayo naitaji ni ilazo, Nkuhungu, au nje ya mji kidogo njia ya kwenda Dar au Iringa. Kwa yeyote ambae anauza au anamjua anaeuza basi anijulishe...
  9. Rais Magufuli alivyosaidia jamii kufanya biashara halali; kesi za kulizwa zimepotea, wajuba wanahaha wasiondoke mjini

    WanaJF. Moja ya kazi ngumu Rais wetu aliyoifanya ni pamoja na kuifanya jamii kufanya biashara halali. Ilikuwa kazi mgumu kuwaondoa wafanyabiashara matapeli kwani walikuwa washirika wakubwa na viongozi wanaoishikiria serikali. Mwanzo tunaowajua hawa wafanyabiashara tuliogopa sana kwamba wanaweza...
  10. Naomba msaada kuhusu biashara ya kuuza na Kubadilisha gesi

    ndugu wana jf, nataka kuanzisha biashara ya kuuza gesi ya kupikia na accessory zake.,naomba msaada kuhusu procedure zinazotakiwa ili niweze kufanikisha ndoto yangu. pia mwenye idea na strategic business proposal naomba anisaidie. natanguliza shukrani.
  11. B

    Mtu marketing kwa ajili ya biashara ya utalii anahitajika

    tuko katika mkakati wa kutengeneza na kukuza brand yetu mtu wa masoko ni muhimu hivyo basi kama unadhani ww ni mbunifu, mchapakazi ,unafikiri nje ya box , tuambie kwanini ni ww na si mwingine kwa maneno machache tupe pia uzoefu na ujuzi wako kwa kifupi
  12. Anzisha Biashara yako inayosimamiwa au kuwa Managed Digital Ventures

    Angalizo! Huu ni mfumo mpya kabisa wa uanzisha na uendeshaji wa biashara na uko katika majaribio.Ukishiriki katika mfumo huu basi fahamu kwamba utakuwa katika majaribio.Hata hivyo mfumo huu umewekwa katika mazingira ya kuhakikisha kwamba mjasiriamali hapati hasara au kuchukua hadhari isiyo ya...
  13. Anayejua biashara ya kununua simu used toka Kenya?

    Habari wadau. Mtu anayejua wapi unaweza nunua simu used kwa bei nafuu nje ya nchi katika huu ukanda wetu wa SADC na kuzi import hapa Tz. Asanteni.
  14. Usipende kutoa siri za biashara yako kwa watu wasio wateja wako

    Katika vitu napataga shida ni kwenye kuchagua vichwa vya habari ya thread ninazoanzisha kwahiyo ndugu zangu tuwe tunasameheana inapotokea nimeandka kichwa cha habari halafu content inapishana hapo muwe mnanisamehe tu. Leo bana kuna ishu moja nataka kuongea na wafanyabiashara/wajasiriamali sio...
  15. Orodha ya benki za biashara zilizofungwa 2015-2020

    1. Efatha 2.Covenant Bank, 3. KILIMANJARO COMMUNITY BANK 4. Njombe Community Bank, 5. Kagera Farmers’ Cooperative Bank, and 6. Meru Community Bank 7. Federal Bank of the Middle East 8. Tanzania Investment Bank (TIB) 9. China Commercial Bank Limited 10. Bank M 11. Twiga Bank 12. Mbinga Community...
  16. Maeneo ya biashara Mbezi Louis stendi mpya walengwa ni kina nani?

    Frem ya mita 3 kwa 4 ni milion 5 kwa kodi ya mwezi. Hiyo hapo ni kwa ajili ya E.MONEY shops(uwakala) sijui mtu atafanya biashara kiasi gani kuweza kupata kiasi hicho cha kodi,mshahara wa mfanyakazi/kodi za serekali, faida n.k Picha ya tatu ni mita za mraba 42 eneo la cafe na fastfood bei ni...
  17. Natafuta asali kwa mtu ambaye anauza

    Habari zenu wapendwa natafuta asali kwa mtu mwenye nayo naomba tufamiane tufanye biashara Asali nyuki wakubwa kwa wadogo awe havuni kwa kutumia moto (traditional way ) awe anavuna kwa njia tofauti na moto. Iwe pure asali mimi niko moshi nitafute kwa 0769625978 tufanye biashara nahitaji kiasi...
  18. Biashara ya matunda

    Habari za wakati huu wakuu. Katika pita pita zangu mitandaoni. Nimekutana na hii machine. Haraka haraka likanijia wazo. Je, kama nitaweza kuhifazi matunda kwa kutumia mifuko ya plastik na kuweza kibana vizur kwa machine hiyo. Swali langu liko hapa je inawezekana kuhifadhi matunda kwa njia...
  19. Biashara ya nyama choma

    Mimi kijana wa Kitanzania mwenye umri kamili wa miaka 26, mwenye Degree moja ya Procurement, ni mjasiriamali wa biashara ya chakula, Matunda na Forex ..lakini bado naitaji kuongeza kitega uchumi kimoja na nimeona ni deal na vitu hivyo vya kula kula maana mimi mwenyewe nakimbiza (nakula) japo...
  20. Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

    Poleni na majukumu wadau, me naomba kwa yeyote mwenye uzoefu wa biashara ya dagaa (wakavu) wa mwanza kupeleka Dar, naomba kujua gharama za kununulia kwa wavuvi, gharama za kuwakausha pamoja na usafirishaji, soko lake na mtaji wa kuanzia na yote yanayohusu biashara hii. Natanguliza shukrani...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…