Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 21,012
Kwanini hatuna biashara ambayo unaweza ikuta imeenea nchi nzima?
Mfano biashara za wenzetu kama walmart au unakuta kuna pharmacy zimejaa nchi nzima kama Walgreens au CVS.
Unakuta kuna maduka ya electronics, vinywwji. nguo au spare parts yamesambaa nchi nzima. Yanatumia brand moja na quality ya products unakuta ni moja. Kwanini Tanzania hatuna biashara za hivyo.
Mfano biashara za wenzetu kama walmart au unakuta kuna pharmacy zimejaa nchi nzima kama Walgreens au CVS.
Unakuta kuna maduka ya electronics, vinywwji. nguo au spare parts yamesambaa nchi nzima. Yanatumia brand moja na quality ya products unakuta ni moja. Kwanini Tanzania hatuna biashara za hivyo.