basi

  1. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Kama Tume inapewa maagizo mchana kweupe ni jibu tosha. October 29 yalikua ni maagizo tufunge Mjadala

    MUNGU ni mkubwa sana kama kuna mtu anaweza kukaa anasubilia majibu ya tume kwamba yanaweza kuja na kitu cha maana huyo inatakiwa kuwahi Mirembe hospital mara moja na kupata matibabu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Uliwahi fukuzia basi kwa boda au Taxi baada ya kuachwa stendi ?

    Ilishawahi kukukuta ?
  3. B

    JamiiForums Tanzania Ulisema uchaguzi umekwisha, basi ondoa mapicha yako mitaani, pleaseee!

    Kama uchaguzi umekwisha ondoa hii mipicha mitaani, please! Watu walizichoma walizoweza, hawataki kuziona Si kila kitu lazima ushindane na matakwa ya wananchi
  4. Nitaenda Misaa yaTatu

    JamiiForums Tanzania Mwamposa aambiwe ukweli kuwa maandamano si dhambi mbele za Mungu

    Mwamposa amesema maandamano yanaondoa utukufu wa Mungu! Nina uhakika Mwamposa hata Bibilia hasomi kama tunavyojua wote wenye akili timamu kwa pamoja wetu kuwa huyu Mwamposa ni Tapeli. Kwenye agano la kale tunasoma wana Waisraeli (Musa&Haruni)walimfuata mara kadhaa farao awape ruhusa waende...
  5. D

    JamiiForums Tanzania Kama Ikulu, Polisi na Idara zote za Serikali zinafunga “comments”, basi Umma umeshinda

    Kama kuanzia huyo “Rais” mwenyewe na Ikulu yake wakichapisha chochote mtandaoni wanafunga comments, maana yake Umma umeshinda. Jeshi la Polisi, Idara, viongozi binafsi na taasisi zote ambazo zinalalamikiwa kwa dhulma na maovu pia wanafunga comments, kuanzia Msemaji wa Serikali hadi akina...
  6. Keynez

    JamiiForums Tanzania Sawa mmeshindwa kujizuia kwenda kwenye mamipira, basi hata kusimama kuimba Wimbo wa Taifa?

    Labda mmeshindwa kujizuia kwenda kwenye hayo mamipira yenu. Labda ni addiction mnayoshindwa kuizuia. Labda wengine mnaona ni sehemu ya "kusahau" kwa muda machungu ya maisha. Sawa tunakubali. Ila hata kujiorganize na wote kwa pamoja kusimama wakati mpira unaanza na kuimba Wimbo wa Taifa? Hili...
  7. toobiter

    JamiiForums Tanzania Kwako madam President: Watu wasipokuelewa basi jaribu kuwaelewa

    Kuna mtu aliwahi kusema "A great man shows his greatness by the way he treats little men" -Wewe ndiyo "great man" kwa sasa na hilo hakuna namna ya kulikwepa kulikiri. -Kwa sasa Kila mtu anasubiri kuona how you treat your "little men" Sio kwa tusi,kwa kashfa au dhihaka ila ni kwa kanuni ya...
  8. Teslarati

    JamiiForums Tanzania Kama mnadai kwamba waandamanaji walianza wizi na uharibifu wa mali ndio wakapigwa risasi basi mafisadi wote nao tuwapige risasi hadi kwao

    Kuna mpuuzi mmoja nimekutana nae anasema eti waandamanaji walianza kupigwa risasi sababu ya wizi. Kama ni hivyo basi majizi yote yalioko serikalini nayo yapigwe risasi hadi nyumbani kwao tena mbele ya familia zao. Ukitumia logic hio yaani kama mtu kuharibu mwendokasi kumefanya apigwe risasi je...
  9. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kama hujafa maandamano ya 29/10 basi wewe ni key board warrior tu, msituchoshe

    Wanajijuwa, kazi zao kuchochea maandamano, wanakufa vijana wasiojielewa wao wanabakia kuandika threads tu za kuonyesha maandamano yalivyofanikiwa. Hawa hapa; Mshana Jr, brazaj, Carlos The Jackal, Lord Denning, Kalamu, CHIEF PRIEST, Seran, Mayor Quimby, The seer, Mbaga Jr, JokaKuu, Mzee...
  10. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Kwa alichosema Mange Kimambi kama ni kweli, basi JWTZ walipaswa waseme mapema zaidi

    Ipo video amepost dada wa Taifa imenifanya kuleta uzi huu kwani nimewaza mengi bila majibu. Mange anasema yaani kuna vikosi vinamilki bunduki bila risasi! Kikosi kingine kinamilki risasi lakini hakina bunduki! Dada wa Taifa anasema kuna vikosi vina milki vifaru lakini hizina munitions Na walio...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mpina shuka hilo basi, tunakuhitaji kwenye mjadala wa Kitaifa

    Watu wa karibu na Mpina, mwambieni/mshaurini ajitenganishe na Zitto na ACT haraka sana. Tarehe 30 tutahitaji kuunda baraza jipya la mageuzi kwa ajili ya mustakabali wa Tanganyika, waliojihusisha na Uchaguzi kwa kiwango kikubwa wanatumika na hili kundi ambalo wengi wao watakuwa kizuizini. Jana...
  12. Chibike

    JamiiForums Tanzania Kama hamtaki watu waandamane basi fanyeni hivi

    Nchi Ina pesa sana hii. Watu Wana machungu. Kikundi Cha watu wachache ndio wanaofisadi nchi huku wengine wakilia shida, jobless, matibabu, chakula, makazi,..watu wanaona mtu mmoja ananunua gari za bilioni ... Kama mnataka watu hao wasiandamane basi tatueni shida zao. Kila mwenye akaunti NMB...
  13. Vedasto Prosper

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Kuna ajali imetokea ya basi na Costa Bahi

    Kuna ajali mbaya imetokea ya Basi na Costa huko Bahi. Watu ni wengi sana. Stay tuned.
  14. MK254

    JamiiForums Tanzania Njaa imetanda Sudan huku wakiuana na kuchinjana hadi basi tu, binadamu amechafukwa hana huruma

    Haya mapicha yanasikitisha, hapa kuna link kwa yeyote mwenye uwezo wa kutoa misaada abofye akasaidie, hali ni mbaya, hadi nimekosa hata hamu ya kula...
  15. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kama wamemnasa Polepole, basi RIP

    Japo wote ni chama kimoja, kinachoendelea kinaonyesha kuwa macc siyo binadamu hasa yanapoingiliwmaslahi yao au kufichuliwa uovu wao. Kama kweli kilichotokea kwa Humphrey Polepole kilimhusisha, uwezekano wa kuwa marehemu ni mkubwa. Tujikumbushe walivyommaliza: Edward Sokoine, Horace Kolimba...
  16. William Mshumbusi

    JamiiForums Tanzania Kama Tunaamini kuhusu deep state basi Tusimlaumu Mama bali tumuhurumie, na Tumsaidie

    Imani ya Deep state imekuwa sana. Maana ya Taifa kuwa chini ya watu wasiojulikana(deep state) liko nje ya uwezo wa Raisi. Inaaminika ata tawala za ulaya zipo chini ya deep state. Kwanini nasema hivyo. Moja vaa viatu vyake. Deep state ni kama Shetani mkuu. Atakupandisha juu ya mlima mrefu...
  17. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Jimmy Mafufu, Stivin Mangele, Mbona hamumjibu Captain Tesha? Jitokezeni mjue vizuri tuko serious !!

    Wakuu Mama sianaupiga Mwingi? Jitokezeni Wakuuu ,au nyie Hamlindwi?? 🤣🤣
  18. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Maandamano yasipofanikiwa basi ujue yule Mkandamizaji atakua amepata Nguvu kwa 100% kufanya atakalo bila wasi wasi

    Maandamano yasipofanikiwa basi ujue yule adui uliekua unamtisha na maandamano Utakua umempa nguvu kwa 100% ya kuwafanya atakavyo maana atajua nyie ni debe tupu.Na atazizoea kelele zenu mpaka 2030 atafanya atakavyo yeye.
  19. M

    JamiiForums Tanzania Kama huyu mwalimu kaonekana katili basi walimu wa zamani wa Manyara ranch primary wangepelekwa the Hague kabisa

    Kwa wale tuliozaliwa na kukulia Arusha na Manyara lazima wengi wetu tunaijua au kuisikia shule ya msingi Manyara Ranch ilivyokuwa enzi hizo. Miaka ya 90 nikiwa mwanafunzi wa shule ya msingi hiyo shule ilikuwa kama vile shule maalum ya watoto watukutu... ikumbukwe shule ilikuwa porini makuyuni...
  20. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Abiria warukia madirishani baada ya basi la mwendokasi kukamatwa na polisi kisa kuzidisha abiria

    Abiria wanaotumia usafiri wa Mwendokasi wameshuka kupitia madirishani katika Kituo cha Magomeni Mwembechai, jijini Dar es Salaam, baada ya basi walilokuwa wakisafiria kusimamishwa na polisi kwa madai ya kuzidisha abiria kupita kiasi. Tukio hilo lilitokea leo asubuhi, majira ya 08:25, ambapo...
Back
Top Bottom