Naomba Kujua Wandugu, Kuna Kijana wangu, ambae namsaport, Hili Tangazo la JWTz La Kuandikisha Watoto, nataka Kujua kama Wanapokea Barua kwa Njia ya Ems au, Kwa Mkono tu yaani apeleke mwenyewe Dodoma.
Maana naona kutumia kwa Njia ya kawaida naona kama itachelewa kufika.