barua

Barua (Assamese: বৰুৱা), also; Baruah, Barooah, Baruwa, Baroova, Barooa, Baroowa, Borooah, Boruah, Baroa is a very common Assamese surname.

View More On Wikipedia.org
  1. Moaz

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 BARUA YA WAZI: Sauti ya Busara katika wakati wa mgawanyiko

    Ndugu Watanzania, Katika kipindi hiki ambacho hisia zimepanda, sauti zimegawanyika, na tumaini limeanza kuyumba, tunalazimika kurejea kwenye msingi mmoja unaotufanya tuwe taifa: Amani, utu na busara. Leo, nchini mwetu zipo sauti nyingi. Serikali inaona inalinda utulivu. Wananchi wanaona...
  2. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Barua ya wazi kwa Othman Masoud na Jussa - Mtoseni Samia muinusuru Zanzibar

    Salam ndugu Othman Masoud na Jussa Bi mkubwa kwa sasa ni rais asiyekubalika na wananchi kwa hiyo kufanya siasa zozote za kumlinda na kumsaidia "mwenzetu" apate ahueni ya kutawala hakutaisaidia Zanzibar na wala hakuisaidii ACT, sanasana kunaisaidia CCM. Nasema hivi kwa sababu sasa hivi bi...
  3. Registered_jf

    JamiiForums Tanzania Barua za Habil ziko wapi?

    Alisema ameandika kiapo kwenda kwa rais wa ICC chenye kurasa 168. Alisema walituma barua kwenye mashirika ya ndege kuwaambia wasije huku kutakuwa na maandamano yasiyo na kikomo. Mashirika gani, mangapi?... Alisema walituma barua kwa ofisi za mabalozi zote. Alisema watatuma barua Mecca na...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Barua kutoka kwa Tundu Lissu: Samia Suluhu Hassan hakuchaguliwa na sio Rais halali wa nchi yetu

    BARUA KUTOKA GEREZA KUU LA UKONGA. Samia Suluhu Hassan hakuchaguliwa na sio Rais halali wa nchi yetu: Kwa mujibu wa Taarifa ya awali ya watazamaji wa uchaguzi kutoka umoja wa Africa (AU); 1. Taratibu za kisheria za uchaguzi zilizotumika zilikuwa "...kinyume na viwango vya kikanda, kibara na...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa shangazi Maria Sarungi: Ni makosa makubwa ya kimkakati kuitisha maandamano mengine hivi karibuni

    Shangazi wa Taifa Maria, pole sana kwa harakati zako za kupigania haki, na Tanzania yenye demokrasia ya kweli, maendeleo kwa watu na kupinga ufisadi na ubadhirifu na kila aina ya dhulma nchini. Nitoe pole nyingi sana kwa Watanzania waliofiwa na ndugu zao kutokana na yaliyojiri katika maadamano...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Kumbe CDF alikubali ombi la barua ya Captain Tesha na wenzake

    https://youtu.be/nirLti-Vxt0?si=a_hn41CAuu1SUE0m
  7. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Mnapolichokoza Kanisa Katoliki Kwa Barua zenu Feki ili kuleta Chuki baina ya Waumini na Viongozi , Jiandaeni Kwa Mapigo Oktoba 29!!

    Kwenye Hili ni Ama mtuue tusiendelee kushuhudia Maovu yenu au Tuwashinde na tuwafikishe kwenye Vyombo vya Dola.!!. Mmekuja na Operation ya Kuwatambua "Wazalendo namba Moja " wenye Imani ya Katoliki ? Na wale wa Ufufo na Uzima ? Mmekoswa Akili, Mmekoswa Elimu, Mmekoswa Busara, Mmekoswa...
  8. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Majibu yangu kwa Balile wa TEF kuhusu barua yake. Lini ulikemea, utekaji, uuaji na uminywaji wa haki kwa watu na vyama vya siasa?

    Tunakujua Ndani nje , tunajua Maisha yako na Mali zako ambazo umezipata Kwa Hila , tukikaa vijiweni unajitamba Kwa majumba yako uloyapata au sio ?. Mara ya Mwisho tumekaa Butiama. Ujifungue mwenyewe Chumbani kwako, Mkeo akikupikia Chai, kwakua tu wee ni TISS na Mwenyekiti wa TEF ndio uje na...
  9. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Sikiliza barua ya Vitali Maembe na Siasa za Tanzania

  10. Mashamba Makubwa Nalima

    JamiiForums Tanzania Barua kwa Kwanza Kwa Mr. Ebbo: Labda leo Wamasai wangepata mtetezi, shida wanazopitia sio, waliitwa mpaka "waKenya", Huu ndiyo UTU???!!!

    Kwa kinachotokea kwa Wamasai sasa sio UTU kabisa na nakumbuka mara kadhaa tulipokutana uliniambia kuhusu ndugu zako Wamasia unavyotaka kuona wakiheshimiwa kama watu wengine. Leo hamna thamani yoyote, waandishi wa habari hawawataki kuwasikia na kureport taarifa zenu, wanasiasa wanafurahi...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Mkurugenzi wa VETA; Ombi la kuruhusiwa kuomba nafasi ya kazi

    Ombi la Kuruhusiwa Kuomba Nafasi ya Kazi – Vocational Teacher II (Plumbing and Pipe Fitting) Ndugu Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), Kwa heshima kubwa, mimi naandikia barua hii kwa niaba ya wahitimu wa Diploma in Pipe Works Engineering nikiwa na lengo la...
  12. Zehoes

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mimi na Mke wangu tunatishiwa kuuawa kwa tuhuma za uongo

    Mimi, mwalimu katika Shule ya Sekondari Likongowele, Wilaya ya Liwale, kwa heshima kubwa napenda kuwasilisha malalamiko haya kwa mamlaka husika kuhusu hali ya usalama wangu pamoja na familia yangu. Kwa muda mrefu sasa tumekuwa tukikabiliwa na tishio kubwa la usalama (hata kuuwawa) kutokana na...
  13. Getrude Mollel

    JamiiForums Tanzania Maamuzi ya CHADEMA Kuandika Barua UN, US, EU, AU, EAC ni sawa na kupaka rangi upepo.

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza mpango wa kuandika barua kwa mashirika ya kimataifa Umoja wa Mataifa (UN), Umoja wa Ulaya (EU), Marekani (US), Umoja wa Afrika (AU) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kikilalamikia mifumo ya uchaguzi. Kulingana na Makamu Mwenyekiti wake...
  14. Stroke

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tunapeleka barua ya uchumba Iringa tusaidieni tunatakiwa kufanya nini?

    Wakuuuuuu. Dogo anavuta chuma toka iringa kwa wabena. Barua inatakiwa kuwa na nini? Afanye nini?
  15. Y

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Mtume Mohammad (S A W)

    As-salatu na salam, ewe Rasul wa Rahma, Nuru yako bado inang’aa, hata karne zikipita, Tumekuletea kilio cha Umma, kutoka Tanganyika hadi Gaza, Kwamba hatuwezi tena kuishi bila mwongozo wako. Baada yako, Bakr al-Siddiq aliweka msingi, ʿUmar akaleta adili, ʿUthmān mnyenyekevu, ʿAlī jasiri...
  16. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwana CCM amuandikia Msajili wa Vya Siasa barua ya Malalamiko ya UKIUKWAJI wa taratibu za kupata Mgombea Urais wa CCM

  17. Abdul Said Naumanga

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yaishitaki YANGA kwa barua kwenda FIFA

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewasilisha malalamiko rasmi kwa FIFA Ethics Committee dhidi ya Klabu ya Young Africans SC (Yanga). Malalamiko hayo yanahusu mchango wa TZS milioni 100 uliotolewa na Yanga kwa chama cha siasa (CCM) katika hafla ya Gala Dinner iliyofanyika Mlimani...
  18. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Barua ya Lissu kwenda kwa Dkt. William Leo

    Barua ya Lissu kwenda kwa Dr William Leo. Dr William habari, sitaweza kuandika mengi kwenye barua hii sababu sina karatasi za kutosha, ila kama ujumbe utafika naomba uwatumie na watanzania wote mimi nikiwa bado kwenye nondo za gereza. Siku ambayo nilisema nitasimama na taifa langu la Tanzania...
  19. N

    JamiiForums Tanzania Barua Kwa FIFA

    Ngurumbizi Dudumizi P.O. Box 1920 Iringa, Tanzania 13 August 2025 Head of Integrity & Compliance Fédération Internationale de Football Association (FIFA) FIFA-Strasse 20 8044 Zürich, Switzerland Subject: Grievance regarding Young Africans SC pledge of TZS 100 million to a political party...
  20. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Natoa huduma ya kuandika CV na barua ya kikazi

    Natoa huduma ya kuandika CV na barua ya kikazi kwa gharama ya 10,000 Tsh. Mawasiliano: 0756704145 Napatikana: dar es salaam, mbezi
Back
Top Bottom