barabara

A barabara or barabora (Russian); ulax̂, ulaagamax, ulaq, or ulas (plural) (Aleut); and ciqlluaq (Alutiiq ~ Sugpiaq) were the traditional, main or communal dwelling used by the Alutiiq people and Aleuts, the indigenous people of the Aleutian Islands. They lay partially underground like an earth lodge or pit-house, and most of the house was excavated from the dirt so as to withstand the high forces of wind in the Aleutian chain of islands. Barabaras are no longer used, as present-day Aleuts live in modern houses and apartment buildings.

View More On Wikipedia.org
  1. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Utawala wa Rais, Samia Suluhu Hassan unastahili kongole kwa barabara za Mitaa na taa za barabarani

    Moja ya jambo zuri linaloipendezesha miji mingi Tanzania ni uwepo wa barabara nzuri za mitaa zenye taa za barabarani. Hakika Utawala huu kwenye suala hili umejitahidi sana kwa sababu mitaa yetu sasa imekuwa na hadhi nzuri pamoja na muonekano maridhawa. Biashara ndogondogo zinazofanyika usiku...
  2. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Rolls Royce, Aston Martin na Lamborghini kwa barabara zipi?

    Hawa watoto wanashangaza Sana yaani ununue Lamborghini sijui Aston Martin mara Rolls Royce kwa barabara zipi za hapo Tungekinya kila sehemu mituta tu? Chama kitengeneze Barabara/miundombinu ya kupitisha hizo Lamborghini kabla ya kuleta hayo magari ya Watoto wa Viongozi nchini
  3. Y

    JamiiForums Tanzania KATAVI FULL PICTURE : Wapokea shilingi bilioni 921.3 za barabara sasa mtandao wafikia kilometa 4,000

    Sekta |Wakala Kipengele Urefu | Idadi Gharama (Tsh) Hali | Tarehe TANROADS Mtandao wa barabara 1,201.81 km (kuu 594.46, za mikoa 607.35) - - Barabara Kimkakati Mpanda–Tabora 352 km 273,829,309,854.29 Imekamilika Barabara Kimkakati Mpanda–Sitalike 35.9 km 38,042,000,000 Imekamilika...
  4. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa barabara nchi nzima umeanza kuporomoka!

    Mtandao wa barabara nchi uko hatarini. Kote unakoweza kupita barabara za lami zimeanza kubomoka kwa kasi ya kutisha. Shughuli zangu zinanifanya kutembea sehemu nyingi nchi, kw gari. Kahama-Mwanza barabara mbovu. Dodoma -Singida hali mbaya. DSM-Lindi narabara mbovu kabisa. Somanga pale...
  5. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Nataka kufungua kijiwe cha kitimoto pembezoni mwa barabara. Je, wazo hili ni sahihi?

    Wakuu nimenunua eneo la biashara mji X na lipo pembezoni mwa barabara nzuri tu, moja ya biashara nayotaka kufanya eneo hilo ni kuweka kibanda cha kisasa cha nyama ya kitimoto. Sasa najiuliza Je, nitakuwa nimevunja sheria yoyote kwa kufanya hivyo ikiwa watakaokuwa wanapita eneo hilo ni ndugu...
  6. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Eneo la ekari 1,linauzwa, ni kiwanja cha kwanza barabara ya bahari beach Dar es salaam Tanzania,bei ni billion 1.2

    #plotsforsale KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWA UKUBWA WA KIWANJA NI 4,000SQM NI KIWANNA CHA KWANZA KUTOKA BARABARA YA LAMI (Bahari Beach) RAMANI YA MUUZAJI ULIKUWA NI KUJENGA APARTMENTS,KWAHYO AKAGAWANYA FENSI VIPANDE VINNE NDANI YA KIWANJA KIMOJA ENEO NI ZURI SANA KWA SHUGHULI MBALIMBALI ZA...
  7. J

    JamiiForums Tanzania RC TABORA: Mkoa umepokea kiasi cha TZS226bn kwa ajili ya barabara tayari kilometa mpya 100 za lami zimejenjwa ndani ya miaka minne ya Rais Samia

    Katika ripoti yake kwa waandishi wa habari Mkuu wa Mkoa wa Tabora amesema yafuatayo namnukuu Katika kipindi cha 2021|25 Serikali ya Rais Samia imetumia TZS225.993bn kwa mchanganuo ufuatao TANROADS TZS124.277bilioni, TARURA TZS101.716bilioni kuimarisha mtandao wa barabara wa kilometa 10,592...
  8. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa,ipo Mbweni Dar es salaam Tanzania, nyumba ni mpya ni ya kwanza kutoka barabara ya lami, bei ni billion 1,

    HOUSE FOR SALE Location: Mbweni JKT
Ukubwa wa kiwanja: SQM 1,860
Umiliki: Hati miliki ipo, eneo lina hati mbili-eneo moja limejengwa jingine lipo wazi. 💰 Bei: TZS Bilioni 1 kwa hati zote mbili Sifa za Nyumba: #Vyumba 4 vyote ni master bedrooms (vina makabati) #Balcony mbili Sea View...
  9. F

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna kelele katika Msikiti wa Kunduchi Beach

    Sisi majirani karibu na msikiti wa kunduchi Beach eneo la Mtakuja, tunapenda kutoa malalamiko yetu kuhusu kelele kubwa kutoka msikiti huo uliopo mtaa wa Mbudya. Ibada katika msikiti huu huanza kuanzia saa 10 alfajiri, na sauti inayotumika ni kubwa kupita kiasi cha kuwasumbua wakazi wa eneo hili...
  10. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini barabara ya Bahi Road Dodoma haina taa za usiku?

    Serikali ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma iliangalie hili la Ukosefu wa taa za usiku barabara ya bahi road kipande cha machinga complex mpaka 4ways ni hatari sana kwa watumia vyombo vya moto na watembea kwa miguu Lile tuta la katikati ya barabara halionekani nyakati za usiku magari mengi...
  11. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Makandarasi Wanawake watakiwa kutekeleza miradi ya barabara kwa ufanisi

    Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi imetoa rai kwa Makampuni 15 ya Makandarasi Wanawake waliopata fursa ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami yenye urefu wa kilometa 20 katika barabara ya Ruanda - Idiwili Mkoani Songwe kuutekeleza mradi huo ipasavyo kwa ubora, uaminifu na muda uliopangwa...
  12. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Eneo la Ekari 78 linalogusa Kilwa road linauzwa Kiparang'anda, Mkuranga

    #plotsforsale Eneo la Ekari 78 linalogusa Kilwa road linauzwa Kiparang'anda, Mkuranga Location Eneo liko upande wa kushoto ukitokea Mbagala -Eneo lina Visima 7 vya kisasa, Minazi pamoja na Umeme Eneo linafaa kwa matumizi ya Kiwanda, Godown, Yard, Shule n.k -Plot size Ekari 78...
  13. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Miaka 25 ya ubunge huna Barabara siku ukifa wataka ichongwe? Ni aibu sio uzalendo

    Miaka 25 ya ubunge alafu unakufa madarakani inachongwa Barabara kufikia pahala pako pa kuzikwa?haya hawezi tokea kilimanjarooo
  14. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Barabara Zinazoelekea Kwa Hayati Job Ndugai Zinatengenezwa Muda huu

    Barabara zimeanda kufanyiwa marekebisho nyumbani kwa marehemu Job Ndugai, Njedengwa jijini Dodoma ili kurahisisha upitaji wa magari. Soma pia: Mbunge Boniphace Getere: Tunachotaka ni kuona PM Majaliwa anarudi bungeni kuhusu vyeo anajua Mungu Watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa Chama Cha...
  15. Knock life

    JamiiForums Tanzania Ndugai alikaa miaka 25 Bungeni ila barabara za Jimboni kwake zilimshinda

    Kiufupi Ndugai hajaacha Legacy yoyote . Miaka 25 Bungeni , miaka saba Kama Speaker wa Bunge Ila hakuna alichoacha kwao Kongwa . TAIFA halina cha kujivunia . Naipa pole familia yake. Pia soma >> TANZIA - Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia
  16. kadeti

    JamiiForums Tanzania KERO TANROADS Mwanza tunaomba Barabara ya Pamba road to Mkuyuni mchepuko wa SGR mtukwangulie

    Habari wadau....tunakoishi Mwanza hasa maeneo ya kuanzia Nyegezi na kuendelea mbele njia ya kwenda Shinyanga tunateseka sana na Barabara hiyo hasa mchepuko wa SGR Barabara imejaa mashimo pamoja na mbavu za mbwa (Rasta) kiasi kwamba magari yanakimbia taratibu sana hasa nyakati za asubuhi na jioni...
  17. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Serikali Kujenga Barabara ya Njia Nne Mwanza

    SERIKALI KUJENGA BARABARA YA NJIA NNE MWANZA. Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS) imejipanga kikamilifu kuleta mapinduzi ya miundombinu katika Jiji la Mwanza kupitia ujenzi wa barabara ya njia nne kuanzia Mwanza Mjini hadi Usagara pamoja na njia ya mabasi ya mwendokasi, hatua...
  18. Shakala

    JamiiForums Tanzania Barabara ya hombolo iangaliwe kiroho

    Imepita miaka kibao wakazi tunaotumia hii barabara tumekua tukidanganywa juu ya ujenzi wake kwa kiwango cha lami mpaka tumechoka,tangu enzi za mbunge madeje mpaka huyu mavunde kila awamu wameitumia kuombea kura lakini matokeo yake wanaishia kupitisha greda na kumwaga vimaji...baada ya wiki mbili...
  19. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Abdallah Kirungu: Kununua trekta na kuchonga barabara sio kazi za Mbunge

    Mtia nia wa nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Ulanga Mkoa wa Morogoro Abdallah Kirungu kupitia Chama cha Mapinduzi amewataka Wananchi kutokubali kudanganyika kwa pesa za mtu bali wamchague Kiongozi mwenye maono na uwezo wa kuwasaidia Wananchi wa Ulanga. Kirungu ni mmoja kati ya watia nia sita...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Rc Shinyanga: Tumepokea shilingi bilioni 588 kila kona barabara zinajengwa chini ya Rais Samia

    == Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe Mboni Mhita akiongea mbele ya waandishi wa habari alisema , Rais Samia anatekeleza Miradi mbalimbali ya kimkakati inayojumuisha, Ujenzi wa Mradi wa Umeme Jua Ngunga (MW 150) kwa shilingi bilioni 323, ukarabati wa Kiwanja cha Ndege Ibadakuli (km 2.2) na jengo la...
Back
Top Bottom