Natumaini ni wazima ndugu zangu
Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu
Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.
Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.
Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata...