Askofu Gwajima amesema, "Kushinda Uchaguzi ni jambo jepesi lakini kuitawala Nchi na kuiletea Maendeleo iliyomeguka meguka kutokana na Makovu na Majeraha ya Kiuchaguzi ni kazi ngumu sana, sisi kama CCM tunaweza kuamua kuendelea [na Uchaguzi] na tukashinda lakini jaribu kuwaza tangu siku unapo...
Askofu Gwajima amesema kuhusu suala la utekaji hamuogopi mtu hata kama kanisa litafungw akwa miaka 100. Ameyasema hayo wakati kizungumza na waandishi wa habari leo Julai 16, 2025. Amemalizia kwa kusema haina maana kuwa CCM ndiyo watekaji.
"Nimeshauri yote haya kwa namna nzuri kanisa likafungwa...
Akizungumza na wananchi, Mbunge wa Jimbo la Kawe kupitia tiketi ya CCM, Askofu Josephat Gwajima amesema Rais sio mzalendo namba moja. Wanajeshi ndio wazalendo namba moja kwa kuwa wanatoa uhai wao ili kuilinda nchi.
Hata hivyo amesema kisiasa Rais anaonekana ni mzalendo namba moja. Nje ya siasa...
Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, akizungumza leo Julai 16, 2025 jijini Dar es Salaam na waandishi wa habari, amesema, "Nataka nisisitize kwamba mimi bado ni Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi na nitaendelea kuwepo"
"Mara nyingi Watu wasiopenda mema, ukizungumza tu jambo...
Yaani mnajitekenya wenyewe halafu tena mnacheka wenyewe. Kwahiyo mmeana Suala la 'Genius' Lissu huko Mahakamani linawaendea vibaya mkaamua kukaa Kikao na Mfumo ili kuja na Jambo la ghafla ambalo litateka Akili za Watanzania na kutotilia maanani Sakata la Lissu?
Halafu nikiwaambia hamna Akili...
Wakuu,
Kupitia ukurasa wake wa instagram Askofu Gwajima ameandika kuzungumza na vyombo vya habari leo Julai 16, 2025 saa saba mchana
Je leo atatoa povu gani kwa umma?
https://www.youtube.com/live/jINnZ9eLnwE?
si=gFkBJUPxNlpuD-gR
Ni muhimu sana wakuu wa vyombo vya dola wawe na...
Mbunge wa Iringa Mjini, 2020 - 2025, Jesca Msambatavangu akipangua maswali ya Charles_william kupitia One on One ya Wasafi TV.
Amesema "Wakati fulani uangalie maoni unyaotoa wewe ni nani na una influence kwenye jamii. Na kingine kuna mambo yako sensitive ndo maamna kuna vitu vingine vyombo vya...
Baadhi ya waumini wa Kanisa la Kilutheri la Afrika Mashariki (KKAM), lililopo eneo la Ubungo Kibo jijini Dar es Salaam, leo wameendelea na ibada zao kama kawaida licha ya kuwepo kwa ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi katika maeneo ya jirani na kanisa hilo.
Askari wa Jeshi la Polisi walionekana...
Salaam, Shalom!
Huu ni ushauri wangu na maoni yangu binafsi. UWEZO unao, Nia Unayo, na ujasiri huo pia unao.
Nakushauri, chukua fomu ya kuwania Urais baada ya reforms kufanyika kupata Tume huru ya uchaguzi.
Ubunge si level yako tena.
Nawasilisha 🙏
Yaani kanisa lake limegalagazwa na serikali ya CCM , waamini wake wanapigwa wakati wa ibada, wanapigwa mabomu ya machozi, wanaumizwa vibaya na dola inayoagizwa na serikali ya chama chake huku wakinyimwa Pf3 kwenda kwenye matibabu ,
Bado jamaa anaenda kidete mstari wa mbele kuchukua fomu ya...
Askari wa Jeshi la Polisi wakivutana na waumini wa kanisa la Ufufuo na Uzima waliokuwa wakisali katika kanisa lililopo pembeni kidogo mwa Barabara ya Morogoro.
Askari walifika jirani na kanisa hilo ambapo waliwakuta waumini wakiwa wanafanya ibada kisha ndipo walipoanza kuwaamuru kutoka...
Waumini wa Kanisa la ufufo na uzima waonekana wakivutana na askari wa Jeshi la Polisi katika kanisa lililopo pembeni kidogo mwa Barabara ya Morogoro.
Inaelezwa Askari walifika jirani na kanisa hilo ambapo waliwakuta waumini wakiwa wanafanya ibada kisha ndipo walipoanza kuwaamuru kutoka kutawanyika.
Waumini wa kanisa la Ufufuo na Uzima(Glory Of Christ Tanzania Church) wameonekana kuendelea kuwa na ari kubwa ya kuimba na kufanya maombi huku wakitaja jina la "Yesu" na wengine wakifanya maombi hata baada ya kukamatwa na kuwekwa kwenye magari ya Jeshi la Polisi.
Waumini hao wamekamatwa baada...
https://www.youtube.com/live/o_B5LqZdbCY?si=omR1VXMDoSHBZPLq
Honestly, nimeshindwa kuelewa hii maana yake ni nini hasa...
Polisi wamezuia majengo na mali zote za kanisa la GCTC - Ufufuo na Uzima Tanzania nzima zisitumiwe na wenye Mali kwa kuwa eti "jina la kanisa" lililosajiliwa serikalini...
Friends and Our Enemies,
Gwajima alishazoea kuichezea serikali zama na zama ndani ya nchi hii.
Tabia yake ya kugeuza madhabahu yake kama vijiwe vya siasa na kubishana na mamlaka iliota sugu na kumfanya ajione kuwa yeye ni UNTOUCHABLE.
Hapa karibuni kanisa hilo limefutwa kwa kukiuka taratibu za...
Wakuu,
Kwenye heka heka na Polisi leo, muumini wa Kanisa la Gwajima ameonekana akiwa ameumizwa maeneo ya kichwani baada ya kupokea kichapo kutoka kwa Polisi. Yaani damu zinatirirka kama maji waku
Kama mnamsikia hapo kuna muumini anasema "Samia utalipa damu hii. Mama Samia popote ulipo, damu...
Askofu Josephat Gwajima akiwa na walinzi wake aenda kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya WanaCCM kumteua tena kugombea ubunge wa jimbo la Kawe.
======
Ufuatiliaji uliofanywa na JamiiCheck umejiridhisha kuwa kipande cha video kinachomuonesha Askofu Josephat Gwajima akienda kuchukua fomu ya ubunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.