Askofu Gwajima: Chawa silaha yao ni kujipendekeza, mwenye uwezo anabebwa na uwezo wake
Soma pia PreGE2025 - Askofu Gwajima: Utekaji si utamaduni wetu na halitakiwi kuchekewa!
"Mrisho Jakaya Kikwete wewe unasehemu kubwa kuifanya nchi iende vizuri au vibaya, wewe ndiye Rais mstaafu ulibaki uliokuwa madarakani uliye hai kila unachokifanya kinatafasiri mwelekeo wa nchi, kwahiyo nakushauri sana Mungu akutumie kuweka nchi katika reli". - Amesema Askofu Gwajima
Soma pia...
Katika kipindi cha miaka 5 ndani ya Jimbo la Kawe nimejenga ofisi za chama 42 halafu mtu anasema siipendi CCM, ila mimi naipenda CCM sio awo wanaongea kwa maneno tu. Ndio maana sitaki kuiona CCM inapotea Askofu Gwajima
Leo tarehe 15 Agosti 2025 saa 2:30 usiku, Dkt. Josephat Mathias Gwajima, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (MNEC), atatoa ushauri wake kwa Taifa la Tanzania pamoja na viongozi wake.
https://www.youtube.com/live/94t64efdNxY?si=RslQI2cPUgAZ5-74
Soma pia PreGE2025 - Askofu Gwajima: Utekaji...
Yanayoendelea ndani ya CCM kwa sasa yanatia wasiwasi. Kumekuwa na taarifa za vurugu, vitisho, na migogoro ya ndani ambayo inapaswa kutazamwa kwa jicho la tahadhari na huruma kwa mustakabali wa demokrasia yetu.
Nashukuru sana Mheshimiwa Tundu Lissu kwa maono ya mbali – kama hali ndani ya chama...
Sote tunajua, tuliambiwa kuwa waumini wa Askofu Gwajima wanaleta taharuki, kila jumapili walipokusanyika waliishia kupingwa virungu na mabomu ya machozi.
Mungu si Abdul Wala Mchengerwa, kanisa katoliki likawapa ukumbi wa kanisa lake, Cha kushangaza Leo hakuna askari yeyeto aliyepeleka pua pale...
https://youtu.be/bcL6AEYmMXA?si=u4EQo7Wo1DtZr7c7
Kwa ufupi kabisa Askofu Gwajima anasema:
👉 DC Albert Msando anatuita twende ofisini kwake kufanya nini wakati aliyeandika barua ya kufunga kanisa ni Msajili wa vyama vya kiraia...?
👉Na je, Ina maana huyu DC Msando hajui kuwa kuna kesi mahakamani...
1. Ndugu zangu yale maombi ya Baba Askofu Mkuu Dr Josephat Gwajima (PhD) yamejibu?
2. Wanasiasa wengi kwa sasa wamechafuka zaidi ya kinyesi chenyewe!
Lucas Mwashambwa
Isanga family
ChoiceVariable
Tlaatlaah
DR HAYA LAND
Umefanya vyema umeuzilia ibada na watu wenye msimamo mkali juu ya Mungu wanaomwabudu
Wewe kama wakili hujui kuwa ibara ya 19 ya katoba ya JMT imetoa uhuru wa kuabudu bila ya bugudha?
Sasa unataka majadiliano gani na hawa waumini?
Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Bara Amani Golugwa amefika ukumbi wa Tanzanite Kimara Korogwe kushiriki ibada ya jumapili na waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima.
Golugwa amepokelewa na Naibu Katibu Mkuu wa Makanisa ya Ufufuo na Uzima Glory Of Christ Tanzania Church...
Shekh Mwaipopo anasema Askofu Gwajima ndio anaeandaliwa na CHADEMA kugombea Urais kwenye uchaguzi Mkuu 2025 utakaofanyika Oktoba
Gwajima huyu anaunga mkono No reforms No Election, lakini habari tulizo nazo Gwajima anaandaliwa kushika bendera ya CHADEMA agombee urais ili apambane na rais Samia...
Wakati fulani nyuma niliandika humu kuwa siasa za mwaka huu zitakuwa kama za Kenya ambapo Rais ataungana na kiongozi mkuu wa upinzani kwenye jukwaa moja kama Uhuru na Odinga walivyoungana.
Nilisema Mbowe ataungana na Mama Samia na kuunda timu moja ya Kampeni wakati Lissu ataungana na Sukuma...
Kimsingi, Askofu Gwajima anachochea majeshi yafanye uasi, na yaache kutii viapo vyao. Nampa ushauri kwamba ajichunge sana na kauli zake, yeye ni mtu mmoja tu, hawezi kuteketeza maisha ya watu milioni sabini.
Tuna mafunzo ya wachungaji na maaskofu wa Rwanda wakati wa mauaji ya kimbari, nadhani...
Ndugu zangu Watanzania,
Lazima tukubali ukweli ya Kuwa Askofu Gwajima siyo mwana CCM na hajawahi kuwa mwana CCM kiuhalisia. Askofu Gwajima siyo Mwenzetu na hajawahi kuwa mwenzetu hata siku moja. Hajawahi kuwa na uchungu wala kuwa na maombi mema au mazuri kwa CCM.
Askofu Gwajima na Humphrey...
Habari ya muda huu wakuu, bila shaka walio wengi wetu wamepata fursa ya kumsikiliza Gwajima katika press conference yake , kwa ufupi baadhi yetu tumepokea ujumbe huu namna hii...
~Wengine wanamuunga mkono wakiona anagusa mambo ya msingi kama usalama na mageuzi ndani ya CCM.
~Wengine wanamkosoa...
https://www.youtube.com/live/jINnZ9eLnwE?si=GDIRDB1V7Sl-7kpn
Kwenye hotuba yake ya youtube ya leo anadai Serikali imefunga makanisa 2,000 ya Ufufuo na Uzima, na wafuasi wake milioni 4 hawana mahali pa kusali.
Kwa mujibu wa majibu ya AI CHATGPT, wafuasi wa madhehebu ya Pentecostal ni kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.