askari

An askari (from Somali, Swahili and Arabic عسكري ʿaskarī, meaning soldier, or military) was a local soldier serving in the armies of the European colonial powers in Africa, particularly in the African Great Lakes, Northeast Africa and Central Africa. The word is used in this sense in English, as well as in German, Italian, Urdu and Portuguese. In French, the word is used only in reference to native troops outside the French colonial empire. The designation is still in occasional use today to informally describe police, gendarmerie and security guards.During the period of the European colonial empires in Africa, locally recruited soldiers designated as askaris were employed by the Italian, British, Portuguese, German and Belgian colonial armies. They played a crucial role in the conquest of the various colonial possessions, and subsequently served as garrison and internal security forces. During both World Wars, askari units also served outside their colonies of origin, in various parts of Africa, the Middle East and Asia. In South Africa the term refers to former members of the liberation movements who defected to the Apartheid government security forces.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Washtakiwa watatu kesi ya mauaji ya askari Loliondo waachiwa huru

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewafutia kesi na kuwaachia huru washtakiwa watatu kati ya 27 waliokuwa wanakabiliwa na makosa mawili likiwamo la mauaji ya askari katika eneo la Loliondo wilayani Ngorongoro. Washtakiwa hao wameachiwa huru baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), kueleza...
  2. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Askari Uwanja wa Ndege KIA wanaharibu taswira ya nchi kwa kubugudhi wasafiri

    Heshima sana wanajamvi, Uwanja wa ndege wa kimataifa (KIA) Kilimajaro International Airport ni lango la utalii Tanzania.Uwanja huu umekuwa ukipokea wageni wengi wanaokuja kutalii katika Hifadhi zetu zilizojaliwa kila aina ya vivutio. Bahati mbaya yupo askari mmoja kijana Mwanaume anayevalia...
  3. EINSTEIN112

    JamiiForums Tanzania Askari wa Ukraine wapoteza morali ya vita limeripoti gazeti la NEWYORK TIMES

    Ukraine’s military morale in decline – NYT Those willing to fight are left behind while the unwilling are drafted, according to the US newspaper. Ukrainian servicemen run for cover amid a Russian shelling. © AFP / Aris Messinis Kiev’s “secretive and arbitrary” military recruitment, which...
  4. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kawaondoeni Askari wenu wa MONUSCO huko Goma (Kivu) Congo DR kwani Wakongo Wenyewe hawawataki tena

    "Haiwezekani kila Siku Wakongo tunakufa hapa kwa Kushambuliwa na Waasi wa Mai Mai na hata wale wa M23 huku wengine Wakibakwa na Nyumba zetu Kubomolewa halafu Askari wa Kulinda Amani hawa wa MONUSCO wapo tu wanaangalia na hawatusaidii chochote. Wamekuja kutulinda Wakongo au Kukaa tu huku na...
  5. Old Woman

    JamiiForums Tanzania Matapeli wa ardhi Morogoro wanatamba wanavyotaka kwakuwa wanashirikiana na baadhi ya watumishi wa Serikali

    Naam hili halina ubishi. Morogoro kumekuwa na migogoro mingi sana ya ARDHI ambapo chanzo ni matapeli kuuza maeneo ya watu. Matapeli wa Morogoro wanatamba Wanavyotaka na wanatapeli pesa nyingi sana kupitia kuuza maeneo ya watu, wamekuwa na kiburi Kwa vile mgao wanapeleka Kwa wakubwa wa polisi...
  6. Kamgomoli

    JamiiForums Tanzania Askari wa Mikumi hawakagui magari bali wanakusanya hela wazi wazi bila woga

    Askari (traffic) wa kituo cha ukaguzi wa magari eneo la Mikumi hawakagui magari bali wanachokifanya ni kukusanya hela tu! Kila basi wakilisimamisha trafic anaenda moja kwa moja kwa dereva anachukua 5000 kisha anaruhusu gari kuondoka. "Bus" likikaribia tu konda anashika hela mkononi trafic...
  7. shampondo shila

    JamiiForums Tanzania Kwa ukatili nilioufanya kwa huyu paka, naomba tu Mungu unisamehe

    Nikiwa zangu nimetulia na familia yangu chini ya mti hapa nyumbani akaja paka na mwanae wakakaa pembeni yetu kama kawaida kwa paka wanaoishi vizuri na binadamu hawaogopi hata wanaweza kukuchezea kama kuku tupia mguu hivi Basi bhana yule paka mdogo sijui ni shetani gani alimuingia ghafla...
  8. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro: Kijana apigwa risasi hifadhini, Familia yadai ushahidi unapotezwa

    Utata umeibuka baada ya familia ya mtoto, Ngatipa Parmao(17) anayedaiwa kuuawa kwa risasi na askari wa wanyamapori wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) kudai kuna njama zimefanywa kuondoa risasi mwilini kwa mtoto huyo katika hospitali ya awali alikokimbizwa kwa matibabu. Familia ya mtoto...
  9. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Askari wawili JWTZ wafa ajalini, wanne wajeruhiwa

    Askari wawili wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wa kikosi cha 825 KJ kambi ya Mtabila iliyopo wilayani Kasulu mkoani Kigoma, wamefariki dunia na wengine wanne kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wamepakia kuacha njia na kupinduka. Kaimua Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Menrad Sindano...
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mauaji ya Mkuu wa Gereza la Liwale na wenzake yasikilizwa Mahakamani, yaahirishwa leo Julai 6, 2022

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Lindi imeahirisha kesi ya mauaji ya mfungwa Abdallah Ngalumbale inayowakabili maafisa watatu wa Magereza Mkoani Lindi kutokana na upelelezi kutokamilika. Watuhumiwa hao ambao ni ACP Girbert Sindani ambaye ni Mkuu wa Gereza la Liwale, Sajenti Yusuph Selemani...
  11. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Askari Polisi wanafunzi 156 wafukuzwa mafunzoni

    Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema takribani askari Polisi wanafunzi 156 wamefukuzwa mafunzo ya kijeshi kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo za utovu wa nidhamu na kufanya mambo ambayo hayakubaliki ndani ya shule ya Polisi IGP Sirro amesema hayo wakati alipofanya ziara...
  12. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Nakumbuka ile siku askari wa JWTZ alipokula kichapo cha fedheha kutoka kwa aAkari wa Magereza

    Hello! Ilikuwa miaka ya 1997-1999, kumbukumbu zangu zinaniambia hivyo. Kulikuwa na gulio la mazao (korosho) katika viwanja vya magereza Liwale-Lindi. Sasa huyo jamaa wa JWTZ alikuja likizo kuwasalimia wazazi na ndugu. Naye akaenda gulioni kusaidia wazazi kupima korosho. Yule mjeda alitumia...
  13. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Ikitokea Askari MP wa JWTZ na wa Magereza 'wamekubananisha' katika '18' zao utachagua nani ndiyo wakupe Adhabu?

    Nijibuni haraka kwani kuna safari ( chocho ) ninataka kupita na najua nitakamatwa na Mmoja wao je, nani anisulubishe?
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Askari Feki afikishwa Mahakamani kwa kumpiga Askari wa Kweli

    Edward Motaroki Nyaanga Edward Motaroki Nyaanga amefikishwa Mahakamani kwa makosa ya kujifanya ni askari, pili kumjeruhi kwa kumpiga askari halisi Nchini Kenya na kumsababishia majeraha kichwani na mikononi. - Amesomewa shitaka la kumpiga Konstebo Dominic Obura tukio lililotokea Juni 16, 2022...
  15. Buyaka

    JamiiForums Tanzania RPC Arusha tuoneshe homicide scene evidence ya askari aliyeuawa

    Ma RPC wana kawaida ya kuja kwenye press conference kuonyesha mabunduki ya majambazi, masimu yaliobiwa, ma cash money, mikuki, mapanga, na kuyabwaga mezani pwaaaaa..... Sasa kuna polisi kauliwa Ngorongoro, allegedly. KABLA hujagusa maiti na kuibeba polisi na wachunguzi duniani kote...
  16. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania RPC wa Arusha hii nguvu unayoitumia kutafuta waliomuua Askari Ngorongoro kwanini hukuitumia mwanzoni kuzuia kuibuka kwa huo mzozo?

    Kwahiyo ukishawapata ndiyo wataenda kuirudisha pumzi na uhai wa huyo Askari Polisi wenu aliyeuwawa? Na wala GENTAMYCINE hapa sitetei au sifurahii huko kuuawa kwake na nimesikitika kuuliwa ila nimesikitika zaidi kuona leo hii Jeshi la Polisi Arusha linatumia nguvu kubwa ya Kijeshi katika...
  17. Taifa Digital Forum

    JamiiForums Tanzania Mwili wa Askari aliyeuawa Loliondo kwa mshale, waagwa na kusafirishwa

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amemtaka aliyehusika na mauaji ya Askari Polisi kwa kutumia mshale wakati wa uwekaji wa mpaka Loliondo Mkoani humo ajisalimishe. Amesema hayo leo wakati wa kuaga mwili wa marehemu Garlus Mwita, ambao umepelekwa kwao Musoma Mkoani Mara.
  18. frankkilulya

    JamiiForums Tanzania Kwanini sanamu ya askari iliyopo Posta jijini Dar imeelekea baharini?

    Wadau naomba kujua kwanini sanamu ya askari pale posta inaelekea baharini na je inamaanisha nini?
  19. figganigga

    JamiiForums Tanzania Ngorongoro - Loliondo: Askari Polisi amekufa baada ya kupigwa Mshale mmoja tu, RC Mongella amlilia

    Askari Polisi mmoja ameuawa kwa kupigwa mshale wilayani Ngorongoro mkoani Arusha wakati wa zoezi la uwekaji mpaka katika eneo la pori tengefu kwenye Tarafa ya Loliondo. Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella akisema kwamba kifo hicho kilitokea Juni 10 alasiri, na...
  20. Replica

    JamiiForums Tanzania Fumanizi: Mwanajeshi JWTZ anyofolewa pua kwa kutembea na mke wa askari mwenzie

    Mwanajeshi wa JWTZ kutoka shule ya Uongozi TMA Monduli, Muhidin Kimaro amenyofolewa pua baada ya kufumaniwa na mke wa askari mwenzake nyumbani kwake ambapo anaishi na wanawe watatu baada ya kutengana na mke wake kwa muda, Neema Kimaro. Kimaro anadaiwa kuwa na tabia kujihusisha na uhusiano na...
Back
Top Bottom