asilimia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    JamiiForums Tanzania Asilimia 70 ya wafanyakazi wa serekali ya Kenya wana vyeti feki,na asilimia 30 wa mashirika wana vyeti feki

    Wafanyakazi wa serekali ya Kenya asilimia 70.na wa mashirika aslimia 30.,wana veti feki.kwa mujibu wa serekali ya Kenya
  2. B

    JamiiForums Tanzania Kumbe Likud alikuwa sahihi bana. Asilimia sabini ya wamarekani ni masikini. Ushahidi huu hapa chini

    Tena maneno ya mmarekani mwenyewe.
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Dkt. Gwajima: Vitendo vya Ubakaji na Ulawiti vimepungua kwa asilimia 6.3 na 19 mwaka 2024

    Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dkt. Dorothy Gwajima, amesema kuwa vitendo vya ukatili wa kijinsia nchini vimeanza kupungua, hususan matukio ya ubakaji na ulawiti, kufuatia juhudi mbalimbali za Serikali na wadau kuelimisha jamii. Akiwasilisha makadirio ya...
  4. Pfizer

    JamiiForums Tanzania Faida ya Benki ya Biashara ya Tanzania (TCB) kabla ya kodi ilipanda kwa asilimia 201 hadi kufikia shilingi bilioni 44.81 mwaka 2024

    IMEELEZWA a kuwa Faida ya Benki ya Biashara ya Tanzania (TCB) kabla ya kodi ilipanda kwa asilimia 201 hadi kufikia shilingi bilioni 44.81 mwaka 2024, kutoka hasara ya shilingi bilioni 44.42 mwaka 2023, huku faida baada ya kodi ikiongezeka kwa asilimia 170 hadi shilingi bilioni 32.62 kutoka...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Wabunge zaidi ya asilimia 95 wanakubaliana na alichozungumza Gwajima

    Habari JF Za chini ya kapeti, ni kuwa Gwajima nyuma yake kuna kundi kubwa hasa hasa makada wenzie, na hii ni strategic move, yapo mengi na huyu ni kwanza, makada wengine wako njiani. Ya kesho yanafurahisha
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mhandisi Leo Magomba: Wanaotumia internet ya uhakika Afrika ni asilimia 38 ya watumiaji wote, hili ni pengo kubwa

    Mhandisi wa Miundombinu ya Mawasiliano kutoka Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Leo Magomba amesema kwamba katika bara la Afrika wanaotumia internet ya uhakika ni asilimia 38 kati ya watumiaji wote, ambapo amedai kuwa zinahitajika juhudi za pamoja kuchochea...
  7. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini makato ya transactions za Mobile Money hayapo kwenye mfumo wa asilimia (in terms of percentage)??

    Kwanini mtu akitoa au kutuma pesa, kwa mfano, kiasi cha 100,000/= hakatwi gharama "in terms of percentage" bali anakatwa gharama kwa mfumo wa "range" from this amount to that?? What's the rationale behind this??
  8. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Asilimia 80 ya watumishi wa serikali ni weupe kichwani

    Ukitaka kuyagundua Haya kaa nao piga nao story yaani wengi wao ni weupe kichwani , yaani mtu hajui hata maana ya neno "hacking" wakuu Sio Siri kitaa kinachangamsha kinamfanya mtu awe mbunifu na kufikiria kwa kiwango kikubwa. Kwanini mtu akishaingia kwenye mfumo baada ya muda fulani anakuwa...
  9. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wizara ya michezo; Mmetuambia uwanjaa utachezwa final.. Umekamilika asilimia 90+ sasa na hili la Zanzibar tutawaamini tena kweli aisee?

    Haya mambo ya kuingiza siasa mchezoni NGUMU sanasana Hivi majuzi tu tuliona viongozi WA WIZARA ya MICHEZO wakinukuliwa final UTACHEZWA kwa mkapa na wakasisitixa wananchi mnunue.tkt.kwa wingi Sasa tumesikia haya ya kuprlekana ZNZ Wapendwa sasa zile semi za tutachezea kwa mkapa ziko wapi...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prof. Makame Mbarawa: Uwekezaji wa DP World, mapato yafikia TSh. Trilioni 8.26 ongezeko la asilimia 16.67

    Serikali imesema kitendo cha kushirikisha Sekta Binafsi katika uendeshaji wa shughuli za bandari kwa kuingia ubia na Kampuni za DP World na TEAGTL katika kuendeleza na kuendesha baadhi ya maeneo ya Bandari ya Dar es Salaam, kumeleta mafanikio mbalimbali yakiwemo kuongezeka kwa mapato yatokanayo...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya TAMISEMI 2025/26 yaongezeka kwa asilimia 16.38, yatengwa trilioni 11.783 kuboresha huduma na miundombinu

    Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepitisha kwa kauli bajeti ya TAMISEMI shilingi trilioni 11.783 kwa mwaka 2025/26, ikiwa ni ongezeko kutoka trilioni 10.125 mwaka 2024/25 imeongezeka kwa takribani asilimia 16.38 ikilinganishwa na mwaka wa fedha uliopita. Bajeti hii inalenga...
  12. Uponyaji na uzima

    JamiiForums Tanzania Wakristo wanamiliki asilimia 55 ya utajiri wa dunia huku waislamu wakiwa na 5.8, wahindu 3.3, wayahudi 1.1 na wengineo 34.8

  13. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Nikiwa Rais ntahakikisha uchumi unakua kwa asilimia 12 kwa mda wa miaka 10 mpaka 20

    Nikiwa Rais ntahakikisha uchumi unakua kwa asilimia 12 na ntatumia njia zifuatazo kuweza kulitimiza hili jambo Kuwekeza kwenye michezo ambayo itakuza utalii Kuwekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji cha large scale Kuwekeza kwenye viwanda vya awali ambavyo ni smelter na refining KKupitia hayo...
  14. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Sekta ya Madini Yachangia Asilimia 10 ya Pato la Taifa

    SEKTA YA MADINI YACHANGIA ASILIMIA 10 YA PATO LA TAIFA ▪️Mchango wa sekta hii kwenye pato la Taifa umeendelea kuimarika na kukua kutoka asilimia 7.3 mwaka 2021, asilimia 9.1 mwaka 2023 na kufikia asilimia 10.1 mwaka 2024 #MguuKwaMguu SHUGHULI ZA UCHIMBAJI WA MADINI WAONGEZEKA KWA ASILIMIA...
  15. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Asilimia 2.07% ya waarabu wameshinda tuzo ya Nobel Duniani toka mwaka 1901 mpaka 2025. Pongezi kubwa kwao

    Hadi mwaka 2024, zaidi ya Waarabu 20 wamepokea Tuzo ya Nobel katika nyanja mbalimbali, ikiwa ni pamoja na amani, fasihi, na sayansi. Hii ni idadi ndogo ikilinganishwa na Wayahudi, ambao wamepokea zaidi ya tuzo 200, licha ya kuwa na idadi ndogo ya watu duniani. Washindi Mashuhuri wa Tuzo ya...
  16. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Safari hii hizi asilimia 35% za increase ya pay sitathubutu kukopea.

    Ilikiwa hivi wana izengo. Nilitamani mkoko muda mrefu. Sasa mama akasema asilimia 23, si nikapiga hesabu zangu za mwalimu Juma. Nilijidhisha kwamba kwa asilimia hizi, naenda kukamata 920k take home itanitosha na wese. Nikaingia benki moja pendwa nikavuta 12m keshi. Nikapata ka vits. Basi...
  17. Sumbaye

    JamiiForums Tanzania Kuhusu sakata la G55 CHADEMA, Mbowe anahusika kwa asilimia 100

    Wataalamu wa historia wanasema historia hutuambia kwa nini tupo hapa. Nimelazimika kutafakari na kurejea matukio mbali mbali yanayomhusu Mwenyekiti Mbowe kabla ya kupumzishwa na wanachama kwenye nafasi ya wenyekiti wake. Nimerejea matukio mbali mbali hususani baada ya mwenyekiti Mbowe kutoka...
  18. Damaso

    JamiiForums Tanzania Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Mkoa wa Ruvuma, kimeiomba serikali kuwaongezea walimu kikokotoo kutoka asilimia 40 mpaka asilimia 50

    Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Mkoa wa Ruvuma, kimeiomba serikali kuwongezea walimu kikokotoo kutoka asilimia 40 wanayopokea sasa hadi kufikia asilimia 50 waliyokua wakiipokea awali ili iweze kuwapunguzia makali ya maisha na kuongeza ari na tija zaidi kwa walimu kufundisha wanafunzi...
  19. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hersi uwanja uliotuahidi kutujengea wakati wa kampeni, umefikia asilimia ngapi?

    Nasikia uko mbioni kukamilika wote, hivyo GENTAMYCINE kama mwana Yanga SC lia lia naomba kujua ulikofikia kwa sasa.
  20. Rorscharch

    JamiiForums Tanzania Asilimia Kubwa ya Wanawake Wanaosema Wanateseka Kwenye Mahusiano au Ndoa Zao, Mazingira Hayo Wameyajenga Wenyewe

    I – Inshu (Hoja Kuu) Katika jamii ya sasa inayozidi kukumbatia usawa wa kijinsia, sauti za wanawake wanaolalamika juu ya mateso ya kimahusiano na ndoa zimekuwa za kawaida. Mitandao ya kijamii, majukwaa ya wanawake, na hata mijadala ya hadharani imejaa simulizi za huzuni kuhusu wanawake...
Back
Top Bottom